Welcome!

I am John Doe Web Designer Photography

View Work Hire Me!

About Me

Web Design
Branding
Development
Who am i

John Doe.

Professional Web Designer

Nulla metus metus ullamcorper vel tincidunt sed euismod nibh Quisque volutpat condimentum velit class aptent taciti sociosqu ad litora.

Nulla metus metus ullamcorper vel tincidunt sed euismod nibh Quisque volutpat condimentum velit class aptent taciti sociosqu ad litora torquent metus metus ullamcorper vel tincidunt sed class aptent taciti sociosqu ad litora .

Services

Web Design

Nulla metus metus ullamcorper vel tincidunt sed euismod nibh Quisque volutpat

Development

Nulla metus metus ullamcorper vel tincidunt sed euismod nibh Quisque volutpat

Branding

Nulla metus metus ullamcorper vel tincidunt sed euismod nibh Quisque volutpat

Marketing

Nulla metus metus ullamcorper vel tincidunt sed euismod nibh Quisque volutpat

Our Blog

Showing posts with label UDAKU. Show all posts
Showing posts with label UDAKU. Show all posts

BASTOLA YA RAY YAZUA HOFU UKUMBINI


Mwandishi Wetu
KATIKA hali ya kushangaza, muigizaji Vincent Kigosi ‘Ray’ alizua hofu ya aina yake baada ya kutinga fulana fupi iliyosababisha silaha yake aina ya bastola kuonekana na kuwafanya watu waliomzunguka kujawa na hofu.Tukio hilo la aina yake lilitokea Jumamosi iliyopita katika ufukwe wa Escape One, Mikocheni jijini Dar kulipokuwa na uzinduzi wa video ya wimbo wa Nashindwa wa mwanamuziki Christian Bella ‘King of The Best Melodies’
Muigizaji Vincent Kigosi ‘Ray’. Mwanahabari wetu aliyekuwa akikusanya matukio ukumbini humo, aliwashuhudia watu waliomzunguka Ray wakionesha hofu yao pale fulana yake ilipopanda juu na kuiacha bastola yake aliyoichomeka kwenye suruali ikionekana bila kificho ambapo zaidi walihofia mazingira ya unywaji wa pombe uliokuwepo.
“Jamani hii si hatari na ‘masanga’ haya anayogonga hapa ukimkorofisha hata kidogo tu si anaweza kukushuti bila kuwaza nini kitatokea?,” alisikika mmoja wa watu waliokuwa wamekaa jirani na msanii huyo.Baadhi ya watu hao waliokuwa jirani na Ray aliyekuwa amekaa pamoja na msanii mweziye Jacob Steven ‘JB’, walionekana wakiondoka eneo hilo kwa hofu ya usalama wao.

Mfano wa bastola ya Rey. “Hapa si salama sana ndugu zangu bora tuondoke, unaweza hata ukamkanyaga bahati mbaya akakulipua makusudi,” alisikika jamaa mwingine aliyekuwa eneo hilo. Jitihada za mwanahabari wetu kuzungumza na Ray eneo hilo hazikuweza kuzaa matunda kufuatia mazingira ya unywaji pombe uliokuwepo, lakini alipotafutwa siku iliyofuata, simu yake iliita bila kupokelewa.

MSHTUKO MKUBWA! MAMA LULU ATAMANI MWANAYE AFE TU


Lulu akiwa hoi nyumbani.
Kufuatia kuandamwa na skendo za wanaume na kuchafuliwa kila siku, mama mzazi wa staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’, Lucresia Karugila ‘Mama Lulu’ ametoa kauli nzito yenye kushtua kwamba anatamani mwanaye huyo afe tu ili watu wanyamaze kumsemasema. Imemuuma sana!


Mama Lulu amefunguka hayo siku kadhaa baada ya mitandao ya kijamii kuchafuka kwa habari za binti yake na wanaume hasa wa watu huku mwenyewe (Lulu) akiwa nyumbani kwake Mbezi-Beach jijini Dar akiwa hana hili wala lile.
Akizungumza na gazeti hili, mama Lulu alisema mambo mazito kuwa, hakuna mzazi ambaye hata siku moja anaweza kuvumilia kuona mtoto wake akiandamwa na kashfa ambazo si za kweli.
SOMA ZAIDI>>

FAMILIA YA SECKY:"HAKUFA SABABU YA LULU"


Zimesambazwa taarifa nyingi za kifo cha Secky lakini Familia inasema hii ndio sahihi.


secky 2Mitandao ya kijamii kuanzia kwenye Whatsapp mpaka twitter, Facebook na Instagram siku hizi imekua na nguvu kubwa na ndio maana hata taarifa zinaenea kwa kiasi kikubwa sana siku hizi bila kungoja Magazeti, Radio au TV.
Najua kama unafatilia habari zinazoendelea mjini utakua umekutana na voicenote au taarifa ya kifo cha huyu ndugu yetu inaweza kuwa imekufikia lakini sio kwa usahihi, au chanzo cha kifo kinaweza kuwa kimepotoshwa.
Sasa familia ya Marehemu Lusekelo Samson Mwandenga (Secky) imekanusha taarifa zinazoendelea kusambazwa kupitia voice note na kwenye mitandao kuhusu chanzo cha kifo chake na kwamba alikwenda kwenye birthday, ukweli ni kwamba aliumizwa na kiti cha kioo akiwa kambeba mtoto wake nyumbani kwake, akapelekwa hospitali na baadae akafariki akiwa Hospitali, hakuna kingine zaidi ya hapo.
SeckySecky alikua rafiki wa watu wote wakiwemo wasanii wengi wa bongofleva na hata bongomovie pia ndio maana msiba huu umewagusa kutokana na ukarimu wake kwao akiwemo Wema Sepetu ambae amesema >>> ‘Ulikua mtu wa watu, sanaaaaa…… najua utaliliwa na wengi…. they say vizuri havidumu, pumzika kwa amani baba…. It’s jus too hard to sink in….
Diamond Platnumz ameandika ‘Gone too soon my Brother… i still don’t wanna believe that you are realy Gone….dah si jana tu tumezungumza’
R.I.P Secky.
FROM MILLARD AYO

SOMA KILICHOJIRI KATIKA MAGAZETI YA UDAKU LEO JUMANNE


WASICHANA WALIONASWA KWA MAPENZI YA JINSIA MOJA KUMBE WALIOANA, AIBU KUBWA HII


Na Haruni Sanchawa/Uwazi
SAKATA la wasichana wawili warembo, Maua Sadick (24) mkazi wa Stakishari, Ukonga, Dar es Salaam na Lucy Fred (23) mkazi wa Karakata, Dar ambao walishikiliwa katika Kituo cha Polisi Stakishari, Ukonga jijini kwa madai ya kufanya mapenzi ya jinsia moja limechukua sura mpya.

Warembo, Maua Sadick (mwenye shati la draft) na Lucy Fred wakipozi kimahaba.
Habari za kipolisi zinasema wasichana hao ambao walifunguliwa jalada kituoni hapo namba SKT/RB/463/2015 baada ya kukamatwa Januari 12, mwaka huu inadaiwa kuwa walioana.

“Zipo picha zinazodaiwa kuwa walioana na wanaonekana wakiwa wanavishana pete nyingine wakiwa wanafungua shampeni kwenye hafla fupi ambayo waliifanya jijini Dar es Salaam,” kilisema chanzo ndani ya jeshi la polisi.


Habari zaidi zinadai kuwa hafla hiyo waliifanyia katika ukumbi mmoja (jina tunalihifadhi) ambao upo Chang’ombe na unatumika kwa shughuli nyingi za burudani na hata michezo.“Mimi nilihudhuria sherehe hiyo na picha ninazo ambazo zinawaonesha wasichana hao wakivishana pete na walikuwepo pia waalikwa kama unavyoona kwenye sherehe za harusi katika jamii yetu,” alisema mtu mmoja ambaye jina lake tunalihifadhi.

Mtu huyo alidai kuwa mmoja wa wasichana hao anamfahamu kwa kuwa sasa hivi anaishi kwa dada yake karibu na Uwanja wa Ndege, Karakata nyuma ya msikiti mpya.Mara baada ya kukamatwa wasichana hao, Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Mogo, Stakishari,George Mtambalike alilithibitishia gazeti hili ofisini kwake kutiwa mbaroni kwao kwa madai ya kufanya mapenzi ya jinsia moja.

Naye Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kipolisi Ilala, SACP Mary Nzuki alisema wasichana hao bado wanapelelezwa. “Ni kwamba kesi yao ipo Stakishari na uchunguzi dhidi yao ukikamilika watafikishwa mahakamani, “ alisema Kamanda Nzuki.

Contact Us

Phone :

+20 010 2517 8918

Address :

3rd Avenue, Upper East Side,
San Francisco

Email :

email_support@youradress.com

Showing posts with label UDAKU. Show all posts
Showing posts with label UDAKU. Show all posts

Mwandishi Wetu
KATIKA hali ya kushangaza, muigizaji Vincent Kigosi ‘Ray’ alizua hofu ya aina yake baada ya kutinga fulana fupi iliyosababisha silaha yake aina ya bastola kuonekana na kuwafanya watu waliomzunguka kujawa na hofu.Tukio hilo la aina yake lilitokea Jumamosi iliyopita katika ufukwe wa Escape One, Mikocheni jijini Dar kulipokuwa na uzinduzi wa video ya wimbo wa Nashindwa wa mwanamuziki Christian Bella ‘King of The Best Melodies’
Muigizaji Vincent Kigosi ‘Ray’. Mwanahabari wetu aliyekuwa akikusanya matukio ukumbini humo, aliwashuhudia watu waliomzunguka Ray wakionesha hofu yao pale fulana yake ilipopanda juu na kuiacha bastola yake aliyoichomeka kwenye suruali ikionekana bila kificho ambapo zaidi walihofia mazingira ya unywaji wa pombe uliokuwepo.
“Jamani hii si hatari na ‘masanga’ haya anayogonga hapa ukimkorofisha hata kidogo tu si anaweza kukushuti bila kuwaza nini kitatokea?,” alisikika mmoja wa watu waliokuwa wamekaa jirani na msanii huyo.Baadhi ya watu hao waliokuwa jirani na Ray aliyekuwa amekaa pamoja na msanii mweziye Jacob Steven ‘JB’, walionekana wakiondoka eneo hilo kwa hofu ya usalama wao.

Mfano wa bastola ya Rey. “Hapa si salama sana ndugu zangu bora tuondoke, unaweza hata ukamkanyaga bahati mbaya akakulipua makusudi,” alisikika jamaa mwingine aliyekuwa eneo hilo. Jitihada za mwanahabari wetu kuzungumza na Ray eneo hilo hazikuweza kuzaa matunda kufuatia mazingira ya unywaji pombe uliokuwepo, lakini alipotafutwa siku iliyofuata, simu yake iliita bila kupokelewa.


Lulu akiwa hoi nyumbani.
Kufuatia kuandamwa na skendo za wanaume na kuchafuliwa kila siku, mama mzazi wa staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’, Lucresia Karugila ‘Mama Lulu’ ametoa kauli nzito yenye kushtua kwamba anatamani mwanaye huyo afe tu ili watu wanyamaze kumsemasema. Imemuuma sana!


Mama Lulu amefunguka hayo siku kadhaa baada ya mitandao ya kijamii kuchafuka kwa habari za binti yake na wanaume hasa wa watu huku mwenyewe (Lulu) akiwa nyumbani kwake Mbezi-Beach jijini Dar akiwa hana hili wala lile.
Akizungumza na gazeti hili, mama Lulu alisema mambo mazito kuwa, hakuna mzazi ambaye hata siku moja anaweza kuvumilia kuona mtoto wake akiandamwa na kashfa ambazo si za kweli.
SOMA ZAIDI>>

Zimesambazwa taarifa nyingi za kifo cha Secky lakini Familia inasema hii ndio sahihi.


secky 2Mitandao ya kijamii kuanzia kwenye Whatsapp mpaka twitter, Facebook na Instagram siku hizi imekua na nguvu kubwa na ndio maana hata taarifa zinaenea kwa kiasi kikubwa sana siku hizi bila kungoja Magazeti, Radio au TV.
Najua kama unafatilia habari zinazoendelea mjini utakua umekutana na voicenote au taarifa ya kifo cha huyu ndugu yetu inaweza kuwa imekufikia lakini sio kwa usahihi, au chanzo cha kifo kinaweza kuwa kimepotoshwa.
Sasa familia ya Marehemu Lusekelo Samson Mwandenga (Secky) imekanusha taarifa zinazoendelea kusambazwa kupitia voice note na kwenye mitandao kuhusu chanzo cha kifo chake na kwamba alikwenda kwenye birthday, ukweli ni kwamba aliumizwa na kiti cha kioo akiwa kambeba mtoto wake nyumbani kwake, akapelekwa hospitali na baadae akafariki akiwa Hospitali, hakuna kingine zaidi ya hapo.
SeckySecky alikua rafiki wa watu wote wakiwemo wasanii wengi wa bongofleva na hata bongomovie pia ndio maana msiba huu umewagusa kutokana na ukarimu wake kwao akiwemo Wema Sepetu ambae amesema >>> ‘Ulikua mtu wa watu, sanaaaaa…… najua utaliliwa na wengi…. they say vizuri havidumu, pumzika kwa amani baba…. It’s jus too hard to sink in….
Diamond Platnumz ameandika ‘Gone too soon my Brother… i still don’t wanna believe that you are realy Gone….dah si jana tu tumezungumza’
R.I.P Secky.
FROM MILLARD AYO



Na Haruni Sanchawa/Uwazi
SAKATA la wasichana wawili warembo, Maua Sadick (24) mkazi wa Stakishari, Ukonga, Dar es Salaam na Lucy Fred (23) mkazi wa Karakata, Dar ambao walishikiliwa katika Kituo cha Polisi Stakishari, Ukonga jijini kwa madai ya kufanya mapenzi ya jinsia moja limechukua sura mpya.

Warembo, Maua Sadick (mwenye shati la draft) na Lucy Fred wakipozi kimahaba.
Habari za kipolisi zinasema wasichana hao ambao walifunguliwa jalada kituoni hapo namba SKT/RB/463/2015 baada ya kukamatwa Januari 12, mwaka huu inadaiwa kuwa walioana.

“Zipo picha zinazodaiwa kuwa walioana na wanaonekana wakiwa wanavishana pete nyingine wakiwa wanafungua shampeni kwenye hafla fupi ambayo waliifanya jijini Dar es Salaam,” kilisema chanzo ndani ya jeshi la polisi.


Habari zaidi zinadai kuwa hafla hiyo waliifanyia katika ukumbi mmoja (jina tunalihifadhi) ambao upo Chang’ombe na unatumika kwa shughuli nyingi za burudani na hata michezo.“Mimi nilihudhuria sherehe hiyo na picha ninazo ambazo zinawaonesha wasichana hao wakivishana pete na walikuwepo pia waalikwa kama unavyoona kwenye sherehe za harusi katika jamii yetu,” alisema mtu mmoja ambaye jina lake tunalihifadhi.

Mtu huyo alidai kuwa mmoja wa wasichana hao anamfahamu kwa kuwa sasa hivi anaishi kwa dada yake karibu na Uwanja wa Ndege, Karakata nyuma ya msikiti mpya.Mara baada ya kukamatwa wasichana hao, Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Mogo, Stakishari,George Mtambalike alilithibitishia gazeti hili ofisini kwake kutiwa mbaroni kwao kwa madai ya kufanya mapenzi ya jinsia moja.

Naye Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kipolisi Ilala, SACP Mary Nzuki alisema wasichana hao bado wanapelelezwa. “Ni kwamba kesi yao ipo Stakishari na uchunguzi dhidi yao ukikamilika watafikishwa mahakamani, “ alisema Kamanda Nzuki.

Mwandishi Wetu
KATIKA hali ya kushangaza, muigizaji Vincent Kigosi ‘Ray’ alizua hofu ya aina yake baada ya kutinga fulana fupi iliyosababisha silaha yake aina ya bastola kuonekana na kuwafanya watu waliomzunguka kujawa na hofu.Tukio hilo la aina yake lilitokea Jumamosi iliyopita katika ufukwe wa Escape One, Mikocheni jijini Dar kulipokuwa na uzinduzi wa video ya wimbo wa Nashindwa wa mwanamuziki Christian Bella ‘King of The Best Melodies’
Muigizaji Vincent Kigosi ‘Ray’. Mwanahabari wetu aliyekuwa akikusanya matukio ukumbini humo, aliwashuhudia watu waliomzunguka Ray wakionesha hofu yao pale fulana yake ilipopanda juu na kuiacha bastola yake aliyoichomeka kwenye suruali ikionekana bila kificho ambapo zaidi walihofia mazingira ya unywaji wa pombe uliokuwepo.
“Jamani hii si hatari na ‘masanga’ haya anayogonga hapa ukimkorofisha hata kidogo tu si anaweza kukushuti bila kuwaza nini kitatokea?,” alisikika mmoja wa watu waliokuwa wamekaa jirani na msanii huyo.Baadhi ya watu hao waliokuwa jirani na Ray aliyekuwa amekaa pamoja na msanii mweziye Jacob Steven ‘JB’, walionekana wakiondoka eneo hilo kwa hofu ya usalama wao.

Mfano wa bastola ya Rey. “Hapa si salama sana ndugu zangu bora tuondoke, unaweza hata ukamkanyaga bahati mbaya akakulipua makusudi,” alisikika jamaa mwingine aliyekuwa eneo hilo. Jitihada za mwanahabari wetu kuzungumza na Ray eneo hilo hazikuweza kuzaa matunda kufuatia mazingira ya unywaji pombe uliokuwepo, lakini alipotafutwa siku iliyofuata, simu yake iliita bila kupokelewa.


Lulu akiwa hoi nyumbani.
Kufuatia kuandamwa na skendo za wanaume na kuchafuliwa kila siku, mama mzazi wa staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’, Lucresia Karugila ‘Mama Lulu’ ametoa kauli nzito yenye kushtua kwamba anatamani mwanaye huyo afe tu ili watu wanyamaze kumsemasema. Imemuuma sana!


Mama Lulu amefunguka hayo siku kadhaa baada ya mitandao ya kijamii kuchafuka kwa habari za binti yake na wanaume hasa wa watu huku mwenyewe (Lulu) akiwa nyumbani kwake Mbezi-Beach jijini Dar akiwa hana hili wala lile.
Akizungumza na gazeti hili, mama Lulu alisema mambo mazito kuwa, hakuna mzazi ambaye hata siku moja anaweza kuvumilia kuona mtoto wake akiandamwa na kashfa ambazo si za kweli.
SOMA ZAIDI>>

Zimesambazwa taarifa nyingi za kifo cha Secky lakini Familia inasema hii ndio sahihi.


secky 2Mitandao ya kijamii kuanzia kwenye Whatsapp mpaka twitter, Facebook na Instagram siku hizi imekua na nguvu kubwa na ndio maana hata taarifa zinaenea kwa kiasi kikubwa sana siku hizi bila kungoja Magazeti, Radio au TV.
Najua kama unafatilia habari zinazoendelea mjini utakua umekutana na voicenote au taarifa ya kifo cha huyu ndugu yetu inaweza kuwa imekufikia lakini sio kwa usahihi, au chanzo cha kifo kinaweza kuwa kimepotoshwa.
Sasa familia ya Marehemu Lusekelo Samson Mwandenga (Secky) imekanusha taarifa zinazoendelea kusambazwa kupitia voice note na kwenye mitandao kuhusu chanzo cha kifo chake na kwamba alikwenda kwenye birthday, ukweli ni kwamba aliumizwa na kiti cha kioo akiwa kambeba mtoto wake nyumbani kwake, akapelekwa hospitali na baadae akafariki akiwa Hospitali, hakuna kingine zaidi ya hapo.
SeckySecky alikua rafiki wa watu wote wakiwemo wasanii wengi wa bongofleva na hata bongomovie pia ndio maana msiba huu umewagusa kutokana na ukarimu wake kwao akiwemo Wema Sepetu ambae amesema >>> ‘Ulikua mtu wa watu, sanaaaaa…… najua utaliliwa na wengi…. they say vizuri havidumu, pumzika kwa amani baba…. It’s jus too hard to sink in….
Diamond Platnumz ameandika ‘Gone too soon my Brother… i still don’t wanna believe that you are realy Gone….dah si jana tu tumezungumza’
R.I.P Secky.
FROM MILLARD AYO



Na Haruni Sanchawa/Uwazi
SAKATA la wasichana wawili warembo, Maua Sadick (24) mkazi wa Stakishari, Ukonga, Dar es Salaam na Lucy Fred (23) mkazi wa Karakata, Dar ambao walishikiliwa katika Kituo cha Polisi Stakishari, Ukonga jijini kwa madai ya kufanya mapenzi ya jinsia moja limechukua sura mpya.

Warembo, Maua Sadick (mwenye shati la draft) na Lucy Fred wakipozi kimahaba.
Habari za kipolisi zinasema wasichana hao ambao walifunguliwa jalada kituoni hapo namba SKT/RB/463/2015 baada ya kukamatwa Januari 12, mwaka huu inadaiwa kuwa walioana.

“Zipo picha zinazodaiwa kuwa walioana na wanaonekana wakiwa wanavishana pete nyingine wakiwa wanafungua shampeni kwenye hafla fupi ambayo waliifanya jijini Dar es Salaam,” kilisema chanzo ndani ya jeshi la polisi.


Habari zaidi zinadai kuwa hafla hiyo waliifanyia katika ukumbi mmoja (jina tunalihifadhi) ambao upo Chang’ombe na unatumika kwa shughuli nyingi za burudani na hata michezo.“Mimi nilihudhuria sherehe hiyo na picha ninazo ambazo zinawaonesha wasichana hao wakivishana pete na walikuwepo pia waalikwa kama unavyoona kwenye sherehe za harusi katika jamii yetu,” alisema mtu mmoja ambaye jina lake tunalihifadhi.

Mtu huyo alidai kuwa mmoja wa wasichana hao anamfahamu kwa kuwa sasa hivi anaishi kwa dada yake karibu na Uwanja wa Ndege, Karakata nyuma ya msikiti mpya.Mara baada ya kukamatwa wasichana hao, Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Mogo, Stakishari,George Mtambalike alilithibitishia gazeti hili ofisini kwake kutiwa mbaroni kwao kwa madai ya kufanya mapenzi ya jinsia moja.

Naye Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kipolisi Ilala, SACP Mary Nzuki alisema wasichana hao bado wanapelelezwa. “Ni kwamba kesi yao ipo Stakishari na uchunguzi dhidi yao ukikamilika watafikishwa mahakamani, “ alisema Kamanda Nzuki.

Mwandishi Wetu
KATIKA hali ya kushangaza, muigizaji Vincent Kigosi ‘Ray’ alizua hofu ya aina yake baada ya kutinga fulana fupi iliyosababisha silaha yake aina ya bastola kuonekana na kuwafanya watu waliomzunguka kujawa na hofu.Tukio hilo la aina yake lilitokea Jumamosi iliyopita katika ufukwe wa Escape One, Mikocheni jijini Dar kulipokuwa na uzinduzi wa video ya wimbo wa Nashindwa wa mwanamuziki Christian Bella ‘King of The Best Melodies’
Muigizaji Vincent Kigosi ‘Ray’. Mwanahabari wetu aliyekuwa akikusanya matukio ukumbini humo, aliwashuhudia watu waliomzunguka Ray wakionesha hofu yao pale fulana yake ilipopanda juu na kuiacha bastola yake aliyoichomeka kwenye suruali ikionekana bila kificho ambapo zaidi walihofia mazingira ya unywaji wa pombe uliokuwepo.
“Jamani hii si hatari na ‘masanga’ haya anayogonga hapa ukimkorofisha hata kidogo tu si anaweza kukushuti bila kuwaza nini kitatokea?,” alisikika mmoja wa watu waliokuwa wamekaa jirani na msanii huyo.Baadhi ya watu hao waliokuwa jirani na Ray aliyekuwa amekaa pamoja na msanii mweziye Jacob Steven ‘JB’, walionekana wakiondoka eneo hilo kwa hofu ya usalama wao.

Mfano wa bastola ya Rey. “Hapa si salama sana ndugu zangu bora tuondoke, unaweza hata ukamkanyaga bahati mbaya akakulipua makusudi,” alisikika jamaa mwingine aliyekuwa eneo hilo. Jitihada za mwanahabari wetu kuzungumza na Ray eneo hilo hazikuweza kuzaa matunda kufuatia mazingira ya unywaji pombe uliokuwepo, lakini alipotafutwa siku iliyofuata, simu yake iliita bila kupokelewa.


Lulu akiwa hoi nyumbani.
Kufuatia kuandamwa na skendo za wanaume na kuchafuliwa kila siku, mama mzazi wa staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’, Lucresia Karugila ‘Mama Lulu’ ametoa kauli nzito yenye kushtua kwamba anatamani mwanaye huyo afe tu ili watu wanyamaze kumsemasema. Imemuuma sana!


Mama Lulu amefunguka hayo siku kadhaa baada ya mitandao ya kijamii kuchafuka kwa habari za binti yake na wanaume hasa wa watu huku mwenyewe (Lulu) akiwa nyumbani kwake Mbezi-Beach jijini Dar akiwa hana hili wala lile.
Akizungumza na gazeti hili, mama Lulu alisema mambo mazito kuwa, hakuna mzazi ambaye hata siku moja anaweza kuvumilia kuona mtoto wake akiandamwa na kashfa ambazo si za kweli.
SOMA ZAIDI>>

Zimesambazwa taarifa nyingi za kifo cha Secky lakini Familia inasema hii ndio sahihi.


secky 2Mitandao ya kijamii kuanzia kwenye Whatsapp mpaka twitter, Facebook na Instagram siku hizi imekua na nguvu kubwa na ndio maana hata taarifa zinaenea kwa kiasi kikubwa sana siku hizi bila kungoja Magazeti, Radio au TV.
Najua kama unafatilia habari zinazoendelea mjini utakua umekutana na voicenote au taarifa ya kifo cha huyu ndugu yetu inaweza kuwa imekufikia lakini sio kwa usahihi, au chanzo cha kifo kinaweza kuwa kimepotoshwa.
Sasa familia ya Marehemu Lusekelo Samson Mwandenga (Secky) imekanusha taarifa zinazoendelea kusambazwa kupitia voice note na kwenye mitandao kuhusu chanzo cha kifo chake na kwamba alikwenda kwenye birthday, ukweli ni kwamba aliumizwa na kiti cha kioo akiwa kambeba mtoto wake nyumbani kwake, akapelekwa hospitali na baadae akafariki akiwa Hospitali, hakuna kingine zaidi ya hapo.
SeckySecky alikua rafiki wa watu wote wakiwemo wasanii wengi wa bongofleva na hata bongomovie pia ndio maana msiba huu umewagusa kutokana na ukarimu wake kwao akiwemo Wema Sepetu ambae amesema >>> ‘Ulikua mtu wa watu, sanaaaaa…… najua utaliliwa na wengi…. they say vizuri havidumu, pumzika kwa amani baba…. It’s jus too hard to sink in….
Diamond Platnumz ameandika ‘Gone too soon my Brother… i still don’t wanna believe that you are realy Gone….dah si jana tu tumezungumza’
R.I.P Secky.
FROM MILLARD AYO



Na Haruni Sanchawa/Uwazi
SAKATA la wasichana wawili warembo, Maua Sadick (24) mkazi wa Stakishari, Ukonga, Dar es Salaam na Lucy Fred (23) mkazi wa Karakata, Dar ambao walishikiliwa katika Kituo cha Polisi Stakishari, Ukonga jijini kwa madai ya kufanya mapenzi ya jinsia moja limechukua sura mpya.

Warembo, Maua Sadick (mwenye shati la draft) na Lucy Fred wakipozi kimahaba.
Habari za kipolisi zinasema wasichana hao ambao walifunguliwa jalada kituoni hapo namba SKT/RB/463/2015 baada ya kukamatwa Januari 12, mwaka huu inadaiwa kuwa walioana.

“Zipo picha zinazodaiwa kuwa walioana na wanaonekana wakiwa wanavishana pete nyingine wakiwa wanafungua shampeni kwenye hafla fupi ambayo waliifanya jijini Dar es Salaam,” kilisema chanzo ndani ya jeshi la polisi.


Habari zaidi zinadai kuwa hafla hiyo waliifanyia katika ukumbi mmoja (jina tunalihifadhi) ambao upo Chang’ombe na unatumika kwa shughuli nyingi za burudani na hata michezo.“Mimi nilihudhuria sherehe hiyo na picha ninazo ambazo zinawaonesha wasichana hao wakivishana pete na walikuwepo pia waalikwa kama unavyoona kwenye sherehe za harusi katika jamii yetu,” alisema mtu mmoja ambaye jina lake tunalihifadhi.

Mtu huyo alidai kuwa mmoja wa wasichana hao anamfahamu kwa kuwa sasa hivi anaishi kwa dada yake karibu na Uwanja wa Ndege, Karakata nyuma ya msikiti mpya.Mara baada ya kukamatwa wasichana hao, Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Mogo, Stakishari,George Mtambalike alilithibitishia gazeti hili ofisini kwake kutiwa mbaroni kwao kwa madai ya kufanya mapenzi ya jinsia moja.

Naye Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kipolisi Ilala, SACP Mary Nzuki alisema wasichana hao bado wanapelelezwa. “Ni kwamba kesi yao ipo Stakishari na uchunguzi dhidi yao ukikamilika watafikishwa mahakamani, “ alisema Kamanda Nzuki.
Showing posts with label UDAKU. Show all posts
Showing posts with label UDAKU. Show all posts
Showing posts with label UDAKU. Show all posts
Showing posts with label UDAKU. Show all posts