Wednesday, January 28, 2015

WASICHANA WALIONASWA KWA MAPENZI YA JINSIA MOJA KUMBE WALIOANA, AIBU KUBWA HII


Na Haruni Sanchawa/Uwazi
SAKATA la wasichana wawili warembo, Maua Sadick (24) mkazi wa Stakishari, Ukonga, Dar es Salaam na Lucy Fred (23) mkazi wa Karakata, Dar ambao walishikiliwa katika Kituo cha Polisi Stakishari, Ukonga jijini kwa madai ya kufanya mapenzi ya jinsia moja limechukua sura mpya.

Warembo, Maua Sadick (mwenye shati la draft) na Lucy Fred wakipozi kimahaba.
Habari za kipolisi zinasema wasichana hao ambao walifunguliwa jalada kituoni hapo namba SKT/RB/463/2015 baada ya kukamatwa Januari 12, mwaka huu inadaiwa kuwa walioana.

“Zipo picha zinazodaiwa kuwa walioana na wanaonekana wakiwa wanavishana pete nyingine wakiwa wanafungua shampeni kwenye hafla fupi ambayo waliifanya jijini Dar es Salaam,” kilisema chanzo ndani ya jeshi la polisi.


Habari zaidi zinadai kuwa hafla hiyo waliifanyia katika ukumbi mmoja (jina tunalihifadhi) ambao upo Chang’ombe na unatumika kwa shughuli nyingi za burudani na hata michezo.“Mimi nilihudhuria sherehe hiyo na picha ninazo ambazo zinawaonesha wasichana hao wakivishana pete na walikuwepo pia waalikwa kama unavyoona kwenye sherehe za harusi katika jamii yetu,” alisema mtu mmoja ambaye jina lake tunalihifadhi.

Mtu huyo alidai kuwa mmoja wa wasichana hao anamfahamu kwa kuwa sasa hivi anaishi kwa dada yake karibu na Uwanja wa Ndege, Karakata nyuma ya msikiti mpya.Mara baada ya kukamatwa wasichana hao, Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Mogo, Stakishari,George Mtambalike alilithibitishia gazeti hili ofisini kwake kutiwa mbaroni kwao kwa madai ya kufanya mapenzi ya jinsia moja.

Naye Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kipolisi Ilala, SACP Mary Nzuki alisema wasichana hao bado wanapelelezwa. “Ni kwamba kesi yao ipo Stakishari na uchunguzi dhidi yao ukikamilika watafikishwa mahakamani, “ alisema Kamanda Nzuki.

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit, sed diam nonummy nibh euismod tincidunt ut laoreet dolore magna Veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat.

0 comments:

Post a Comment

Contact Us

Phone :

+20 010 2517 8918

Address :

3rd Avenue, Upper East Side,
San Francisco

Email :

email_support@youradress.com


Na Haruni Sanchawa/Uwazi
SAKATA la wasichana wawili warembo, Maua Sadick (24) mkazi wa Stakishari, Ukonga, Dar es Salaam na Lucy Fred (23) mkazi wa Karakata, Dar ambao walishikiliwa katika Kituo cha Polisi Stakishari, Ukonga jijini kwa madai ya kufanya mapenzi ya jinsia moja limechukua sura mpya.

Warembo, Maua Sadick (mwenye shati la draft) na Lucy Fred wakipozi kimahaba.
Habari za kipolisi zinasema wasichana hao ambao walifunguliwa jalada kituoni hapo namba SKT/RB/463/2015 baada ya kukamatwa Januari 12, mwaka huu inadaiwa kuwa walioana.

“Zipo picha zinazodaiwa kuwa walioana na wanaonekana wakiwa wanavishana pete nyingine wakiwa wanafungua shampeni kwenye hafla fupi ambayo waliifanya jijini Dar es Salaam,” kilisema chanzo ndani ya jeshi la polisi.


Habari zaidi zinadai kuwa hafla hiyo waliifanyia katika ukumbi mmoja (jina tunalihifadhi) ambao upo Chang’ombe na unatumika kwa shughuli nyingi za burudani na hata michezo.“Mimi nilihudhuria sherehe hiyo na picha ninazo ambazo zinawaonesha wasichana hao wakivishana pete na walikuwepo pia waalikwa kama unavyoona kwenye sherehe za harusi katika jamii yetu,” alisema mtu mmoja ambaye jina lake tunalihifadhi.

Mtu huyo alidai kuwa mmoja wa wasichana hao anamfahamu kwa kuwa sasa hivi anaishi kwa dada yake karibu na Uwanja wa Ndege, Karakata nyuma ya msikiti mpya.Mara baada ya kukamatwa wasichana hao, Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Mogo, Stakishari,George Mtambalike alilithibitishia gazeti hili ofisini kwake kutiwa mbaroni kwao kwa madai ya kufanya mapenzi ya jinsia moja.

Naye Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kipolisi Ilala, SACP Mary Nzuki alisema wasichana hao bado wanapelelezwa. “Ni kwamba kesi yao ipo Stakishari na uchunguzi dhidi yao ukikamilika watafikishwa mahakamani, “ alisema Kamanda Nzuki.

0 comments:

Post a Comment


Na Haruni Sanchawa/Uwazi
SAKATA la wasichana wawili warembo, Maua Sadick (24) mkazi wa Stakishari, Ukonga, Dar es Salaam na Lucy Fred (23) mkazi wa Karakata, Dar ambao walishikiliwa katika Kituo cha Polisi Stakishari, Ukonga jijini kwa madai ya kufanya mapenzi ya jinsia moja limechukua sura mpya.

Warembo, Maua Sadick (mwenye shati la draft) na Lucy Fred wakipozi kimahaba.
Habari za kipolisi zinasema wasichana hao ambao walifunguliwa jalada kituoni hapo namba SKT/RB/463/2015 baada ya kukamatwa Januari 12, mwaka huu inadaiwa kuwa walioana.

“Zipo picha zinazodaiwa kuwa walioana na wanaonekana wakiwa wanavishana pete nyingine wakiwa wanafungua shampeni kwenye hafla fupi ambayo waliifanya jijini Dar es Salaam,” kilisema chanzo ndani ya jeshi la polisi.


Habari zaidi zinadai kuwa hafla hiyo waliifanyia katika ukumbi mmoja (jina tunalihifadhi) ambao upo Chang’ombe na unatumika kwa shughuli nyingi za burudani na hata michezo.“Mimi nilihudhuria sherehe hiyo na picha ninazo ambazo zinawaonesha wasichana hao wakivishana pete na walikuwepo pia waalikwa kama unavyoona kwenye sherehe za harusi katika jamii yetu,” alisema mtu mmoja ambaye jina lake tunalihifadhi.

Mtu huyo alidai kuwa mmoja wa wasichana hao anamfahamu kwa kuwa sasa hivi anaishi kwa dada yake karibu na Uwanja wa Ndege, Karakata nyuma ya msikiti mpya.Mara baada ya kukamatwa wasichana hao, Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Mogo, Stakishari,George Mtambalike alilithibitishia gazeti hili ofisini kwake kutiwa mbaroni kwao kwa madai ya kufanya mapenzi ya jinsia moja.

Naye Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kipolisi Ilala, SACP Mary Nzuki alisema wasichana hao bado wanapelelezwa. “Ni kwamba kesi yao ipo Stakishari na uchunguzi dhidi yao ukikamilika watafikishwa mahakamani, “ alisema Kamanda Nzuki.

0 comments:

Post a Comment


Na Haruni Sanchawa/Uwazi
SAKATA la wasichana wawili warembo, Maua Sadick (24) mkazi wa Stakishari, Ukonga, Dar es Salaam na Lucy Fred (23) mkazi wa Karakata, Dar ambao walishikiliwa katika Kituo cha Polisi Stakishari, Ukonga jijini kwa madai ya kufanya mapenzi ya jinsia moja limechukua sura mpya.

Warembo, Maua Sadick (mwenye shati la draft) na Lucy Fred wakipozi kimahaba.
Habari za kipolisi zinasema wasichana hao ambao walifunguliwa jalada kituoni hapo namba SKT/RB/463/2015 baada ya kukamatwa Januari 12, mwaka huu inadaiwa kuwa walioana.

“Zipo picha zinazodaiwa kuwa walioana na wanaonekana wakiwa wanavishana pete nyingine wakiwa wanafungua shampeni kwenye hafla fupi ambayo waliifanya jijini Dar es Salaam,” kilisema chanzo ndani ya jeshi la polisi.


Habari zaidi zinadai kuwa hafla hiyo waliifanyia katika ukumbi mmoja (jina tunalihifadhi) ambao upo Chang’ombe na unatumika kwa shughuli nyingi za burudani na hata michezo.“Mimi nilihudhuria sherehe hiyo na picha ninazo ambazo zinawaonesha wasichana hao wakivishana pete na walikuwepo pia waalikwa kama unavyoona kwenye sherehe za harusi katika jamii yetu,” alisema mtu mmoja ambaye jina lake tunalihifadhi.

Mtu huyo alidai kuwa mmoja wa wasichana hao anamfahamu kwa kuwa sasa hivi anaishi kwa dada yake karibu na Uwanja wa Ndege, Karakata nyuma ya msikiti mpya.Mara baada ya kukamatwa wasichana hao, Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Mogo, Stakishari,George Mtambalike alilithibitishia gazeti hili ofisini kwake kutiwa mbaroni kwao kwa madai ya kufanya mapenzi ya jinsia moja.

Naye Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kipolisi Ilala, SACP Mary Nzuki alisema wasichana hao bado wanapelelezwa. “Ni kwamba kesi yao ipo Stakishari na uchunguzi dhidi yao ukikamilika watafikishwa mahakamani, “ alisema Kamanda Nzuki.

0 comments:

Post a Comment

WASICHANA WALIONASWA KWA MAPENZI YA JINSIA MOJA KUMBE WALIOANA, AIBU KUBWA HII

WASICHANA WALIONASWA KWA MAPENZI YA JINSIA MOJA KUMBE WALIOANA, AIBU KUBWA HII


Na Haruni Sanchawa/Uwazi
SAKATA la wasichana wawili warembo, Maua Sadick (24) mkazi wa Stakishari, Ukonga, Dar es Salaam na Lucy Fred (23) mkazi wa Karakata, Dar ambao walishikiliwa katika Kituo cha Polisi Stakishari, Ukonga jijini kwa madai ya kufanya mapenzi ya jinsia moja limechukua sura mpya.

Warembo, Maua Sadick (mwenye shati la draft) na Lucy Fred wakipozi kimahaba.
Habari za kipolisi zinasema wasichana hao ambao walifunguliwa jalada kituoni hapo namba SKT/RB/463/2015 baada ya kukamatwa Januari 12, mwaka huu inadaiwa kuwa walioana.

“Zipo picha zinazodaiwa kuwa walioana na wanaonekana wakiwa wanavishana pete nyingine wakiwa wanafungua shampeni kwenye hafla fupi ambayo waliifanya jijini Dar es Salaam,” kilisema chanzo ndani ya jeshi la polisi.


Habari zaidi zinadai kuwa hafla hiyo waliifanyia katika ukumbi mmoja (jina tunalihifadhi) ambao upo Chang’ombe na unatumika kwa shughuli nyingi za burudani na hata michezo.“Mimi nilihudhuria sherehe hiyo na picha ninazo ambazo zinawaonesha wasichana hao wakivishana pete na walikuwepo pia waalikwa kama unavyoona kwenye sherehe za harusi katika jamii yetu,” alisema mtu mmoja ambaye jina lake tunalihifadhi.

Mtu huyo alidai kuwa mmoja wa wasichana hao anamfahamu kwa kuwa sasa hivi anaishi kwa dada yake karibu na Uwanja wa Ndege, Karakata nyuma ya msikiti mpya.Mara baada ya kukamatwa wasichana hao, Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Mogo, Stakishari,George Mtambalike alilithibitishia gazeti hili ofisini kwake kutiwa mbaroni kwao kwa madai ya kufanya mapenzi ya jinsia moja.

Naye Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kipolisi Ilala, SACP Mary Nzuki alisema wasichana hao bado wanapelelezwa. “Ni kwamba kesi yao ipo Stakishari na uchunguzi dhidi yao ukikamilika watafikishwa mahakamani, “ alisema Kamanda Nzuki.

0 comments:

Post a Comment

WASICHANA WALIONASWA KWA MAPENZI YA JINSIA MOJA KUMBE WALIOANA, AIBU KUBWA HII

WASICHANA WALIONASWA KWA MAPENZI YA JINSIA MOJA KUMBE WALIOANA, AIBU KUBWA HII


Na Haruni Sanchawa/Uwazi
SAKATA la wasichana wawili warembo, Maua Sadick (24) mkazi wa Stakishari, Ukonga, Dar es Salaam na Lucy Fred (23) mkazi wa Karakata, Dar ambao walishikiliwa katika Kituo cha Polisi Stakishari, Ukonga jijini kwa madai ya kufanya mapenzi ya jinsia moja limechukua sura mpya.

Warembo, Maua Sadick (mwenye shati la draft) na Lucy Fred wakipozi kimahaba.
Habari za kipolisi zinasema wasichana hao ambao walifunguliwa jalada kituoni hapo namba SKT/RB/463/2015 baada ya kukamatwa Januari 12, mwaka huu inadaiwa kuwa walioana.

“Zipo picha zinazodaiwa kuwa walioana na wanaonekana wakiwa wanavishana pete nyingine wakiwa wanafungua shampeni kwenye hafla fupi ambayo waliifanya jijini Dar es Salaam,” kilisema chanzo ndani ya jeshi la polisi.


Habari zaidi zinadai kuwa hafla hiyo waliifanyia katika ukumbi mmoja (jina tunalihifadhi) ambao upo Chang’ombe na unatumika kwa shughuli nyingi za burudani na hata michezo.“Mimi nilihudhuria sherehe hiyo na picha ninazo ambazo zinawaonesha wasichana hao wakivishana pete na walikuwepo pia waalikwa kama unavyoona kwenye sherehe za harusi katika jamii yetu,” alisema mtu mmoja ambaye jina lake tunalihifadhi.

Mtu huyo alidai kuwa mmoja wa wasichana hao anamfahamu kwa kuwa sasa hivi anaishi kwa dada yake karibu na Uwanja wa Ndege, Karakata nyuma ya msikiti mpya.Mara baada ya kukamatwa wasichana hao, Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Mogo, Stakishari,George Mtambalike alilithibitishia gazeti hili ofisini kwake kutiwa mbaroni kwao kwa madai ya kufanya mapenzi ya jinsia moja.

Naye Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kipolisi Ilala, SACP Mary Nzuki alisema wasichana hao bado wanapelelezwa. “Ni kwamba kesi yao ipo Stakishari na uchunguzi dhidi yao ukikamilika watafikishwa mahakamani, “ alisema Kamanda Nzuki.

0 comments:

Post a Comment