Welcome!

I am John Doe Web Designer Photography

View Work Hire Me!

About Me

Web Design
Branding
Development
Who am i

John Doe.

Professional Web Designer

Nulla metus metus ullamcorper vel tincidunt sed euismod nibh Quisque volutpat condimentum velit class aptent taciti sociosqu ad litora.

Nulla metus metus ullamcorper vel tincidunt sed euismod nibh Quisque volutpat condimentum velit class aptent taciti sociosqu ad litora torquent metus metus ullamcorper vel tincidunt sed class aptent taciti sociosqu ad litora .

Services

Web Design

Nulla metus metus ullamcorper vel tincidunt sed euismod nibh Quisque volutpat

Development

Nulla metus metus ullamcorper vel tincidunt sed euismod nibh Quisque volutpat

Branding

Nulla metus metus ullamcorper vel tincidunt sed euismod nibh Quisque volutpat

Marketing

Nulla metus metus ullamcorper vel tincidunt sed euismod nibh Quisque volutpat

Our Blog

Showing posts with label MICHEZO. Show all posts
Showing posts with label MICHEZO. Show all posts

WANAOWANIA TUZO YA MCHEZAJI BORA UINGEREZA MSIMU HUU #EPL

List nzima hii hapa!
Alexis Sanchez (AFC)
Diego Costa (CFC)
Philippe Coutinho (LFC)
David De Gea (MUFC)
Eden Hazard (CFC)
Harry Kane (THFC)
MUHIMU: Ukiwa kama mdau wa michezo nawe una nafasi ya kutoa maoni yako! Tupia jina la mchezaji unayeona anastahili kuchukua tuzo hii hapo chini kwa comment box tafadhali!

Madonna ambusu Drake



Mwanamuziki mkongwe Madonna amejijengea sifa ya kutokua muoga katika maswala ya ngono wala ya kijamii.
Lakini alichokifanya mwishoni mwa juma liliwaacha wengi vinywa wazi .
Bibi huyo mwenye umri wa miaka 56 alishindwa kustahimili mvuto wa mwanamuziki wa kizazi kipya Drake alipokuwa akimwaga misstari mbele ya mashabiki wake katika onyesho
la California Coachella


Malkia huyo wa mziki wa ''POP'' alitua jukwaani Drake alipokuwa akiimba wimbo wake maarufu ''Madonna''
ilionekana kama aliyeshikwa na jazba baada ya kushuhudia wimbo wa ''Human Nature'' na ''Hung Up''
na akajipata jukwaani akampiga pambaja na kumkumbatia na mara akampiga busu.
Drake hakusema lolote wakati huo lakini alionekana kama aliyeshtuliwa sana na tukio hilo.



Picha zinaonesha alishikwa na kinyaa.
Ajabu nikuwa i Madonna alimpokonya kinasa sauti na kusema
"mimi ndiye Madonna" na akaondoka jukwaani.


Mourinho:Kinyang'anyiro cha EPL kiko wazi


Mkufunzi wa kilabu ya Chelsea Jose Mourinho amesema kuwa kinyang'anyiro cha kuwania ubingwa wa ligi ya EPL bado kiko wazi licha ya timu yake kuwa mbele na pointi saba mbali na mechi moja ambayo haijacheza.
Mourinho anaamini kuwa timu yoyote ambayo iko nyuma na pointi saba ama nane bado ipo katika kinyang'anyiro na kwamba hashangazwi na kushuka kwa Manchester City katika kupigania taji hilo.
Chelsea itamenyana na QPR ugenini jumapili katika debi ya Magharibi mwa London

LIVERPOOL YAPIGA BEI MASTRAIKA WOTE

Gazeti la Daily Mail linafichua kwamba Liverpool imejiandaa kuwauza mastraika wake Mario Balotelli, Fabio Borini na Rickie Lambert mwishoni mwa msimu huu ili kupata pesa za kusajili nyota wa maana.
Straika Mtaliano, Balotelli amekuwa akihusishwa na mpango wa kuondoka Anfield kwa karibu msimu mzima baada ya kushindwa kufuatia uhamisho wake wa Pauni 16 milioni kutoka AC Milan mwaka jana.
Borini ameshindwa kupata namba kwenye kikosi hicho cha Brendan Rodgers, wakati Lambert anatumika mara chache sana kitu ambacho klabu hiyo inadhani anaongeza wingi tu kwenye kikosi chao.
Mastraika hao wote watatu wamecheza mechi 16 za Ligi Kuu England msimu huu na kwamba wataondoshwa Anfield wakati
dirisha la usajili wa majira ya kiangazi litakapofunguliwa.

Serena Williams afuzu nusu fainali


Nyota wa tenesi Serena Williams ametinga hatua ya nusu fainali ya michuano ya BNP Paribas kwa kumshinda Timea Bacsinszky.
Serena alipata upinzani mkali katika mchezo huo toka kwa mpinzani wake na kuibuka na ushindi wa seti 7-5 6-3.
"nina furaha nimeweza kuendelea kuwepo kwenye mashindano, kitu pekee nachojua nitacheza vizuri zaidi alieleza Serena baada ya ushindi huo.
Katika mchezo mwingine Simona Halep alishinda mchezo wake dhidi ya Carla Suarez Navarro kwa seti 5-7 6-1 6-1, kwa ushindi huo Simona atachuana na Serena Williams katika hatua inayofuata.

Manji ampandisha kizimbani kigogo Simba

NA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM
UPINZANI wa watani wa jadi, Simba na Yanga umehamia mahakamani baada ya Mwenyekiti wa Yanga, Yusuph Manji, kumpandisha kizimbani Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Simba, Musleh Al Rawah, akidaiwa kumpiga mwanaye.
Mjumbe huyo wa Simba alipandishwa kizimbani jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya Hakimu Mkazi, Frank Moshi, alisomewa shtaka la kumjeruhi mtoto wa Manji, Mehboob Manji.
Akisoma hati ya mashtaka, Wakili wa Serikali, Genis Tesha, alidai kuwa Al Rawah alifanya kosa hilo, Machi 8, mwaka huu katika Uwanja wa Taifa uliopo Chang’ombe, baada ya kumalizika mchezo wa watani wa jadi ulioisha kwa Simba kushinda bao 1-0 dhidi ya Yanga.
Tesha alidai kuwa siku hiyo ya tukio, mshtakiwa Al Rawah alimpiga teke Mehboob katika sehemu mbalimbali za mwili ukiwamo uso na kumsababishia majeraha mazito.
Al Rawah ambaye ni mfanyabiashara na raia wa hapa nchini anayetetewa na Wakili Dk. Damas Ndumbaro, alikana shtaka hilo na upande wa mashtaka ukadai kuwa upelelezi wa kesi hiyo haujakamilika na hawapingi dhamana kwa mshtakiwa.
Kwa upande wa Wakili Ndumbaro, naye aliomba mteja wake apewe dhamana.
Hakimu Moshi akitoa masharti ya dhamana kwa mshtakiwa huyo, alimtaka awe na mdhamini mmoja ambaye anatoka katika taasisi inayotambulika ama serikalini.
Baada ya mdhamini kujitokeza, upande wa mashtaka ulifanyia uhakiki barua yake ndani ya saa moja kama ilivyoelekezwa na mahakama na mshtakiwa akaachiwa huru.
Kesi hiyo imeahirishwa hadi Aprili 20, mwaka huu kwa ajili ya kuangalia kama upelelezi umekamilika ama la.

Arsenal, Man City kikaangoni

Manchester, England. England inaweza kukosa mwakilishi kwa mara ya pili ndani ya miaka mitatu katika hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kama Arsenal na Manchester City watashindwa kulipa kisasi katika michezo yao ya leo na kesho.
Arsenal ilikubali kichapo cha mabao 3-1 nyumbani dhidi ya Monaco na sasa inakutana na miamba hiyo nchini Ufaransa, wakati City ikitakiwa kugeuza kipigo cha mabao 2-1 dhidi ya Barcelona ili kutinga katika robo fainali ya mashindano hayo kwa mara ya kwanza.
Ni kazi ngumu kwa miamba hiyo ya England, lakini inaweza kuchukua ari ya Schalke na Paris Saint-Germain waliopambana ugenini wiki iliyopita.
Mabingwa watetezi, Real Madrid waliichapa Schalke 2-0 nchini Ujerumani, lakini hali ilikuwa mbaya nyumbani kwani waliitoa timu hiyo kwa mabao 5-4, wakati PSG wakicheza 10 uwanjani dhidi ya Chelsea tangu dakika ya 31, lakini walilazimisha sare na kusonga mbele kwa mabao ya ugenini walipopata matokeo ya 2-2 Stamford Bridge.
Mechi nyingine wiki hii zinaonekana kuwa katika uzani sawa. Bayer Leverkusen wataivaa Atletico wakiwa wameifunga Madrid 1-0 nchini Ujerumani na Juventus wataulinda ushindi wao wa 2-1 dhidi ya Borussia Dortmund.
Arsenal wanaonekana

Okwi awaahidi makubwa mashabiki Simba SC


BAADA ya ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya JKT Ruvu juzi Jumamosi, straika wa Simba, Emmanuel Okwi, raia wa Uganda, ameibuka na kuwaahidi makubwa mashabiki wa timu hiyo katika mechi zinazofuata huku akiwapooza kuhusu matokeo mabovu yaliyopita.
Okwi alipata fursa ya kuwaambia maneno hayo ya kuwatia moyo mashabiki hao baada ya kumalizika kwa mchezo wao huo uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar ambapo akiwa anatoka kwenye vyumba vya kubadilishia nguo kwa ajili ya kupanda gari lake aondoke, aliwakuta mashabiki nje wakimsubiri kwa ajili ya kumlaki na ndipo mashabiki hao walipoanza kumshangilia na kumtaka aendelee kuitumikia timu hiyo kwa moyo wake wote kama anavyofanya sasa.
Okwi aliyekuwa akiongozana na Mganda mwenzake, Dan Sserunkuma alishangazwa na hali hiyo lakini baadaye akaonekana kufarijika kwa tukio hilo na ndipo alipoanza kuzungumza nao kuwa hawatakiwi kuvunjika moyo kutokana na kipindi kigumu walichokuwa wanakipitia nyuma kwani sasa timu hiyo ipo sawa na wataendeleza ushindi kwa kadiri watakavyoweza kwenye mechi zijazo.
Mashabiki hao waliokuwa wamemzunguka mchezaji huyo, walionyesha kufurahishwa na maneno hayo huku wakipiga shangwe na vifijo na kuendelea kupiga mayowe ya furaha huku wakimsindikiza kwenye gari lake.Katika mechi hiyo, Okwi ndiye aliyetengeneza nafasi zilizozaa mabao hayo mawili yaliyowekwa kimiani na Dan Sserunkuma.
"Hatukutakiwa kuvunjika moyo wakati ule, kila mchezaji ilikuwa inamuuma kuona tunapoteza mechi na kuwakera mashabiki lakini sasa timu ipo sawa na kila mchezaji yupo safi kwa ajili ya kupambana kuutafuta ushindi kwenye mechi zilizobaki.
"Tutahakikisha tunajituma kwa nguvu zetu zote katika hilo, ila tunaomba ushirikiano wenu pia," alizungumza Okwi na mashabiki hao na kisha kuingia ndani ya gari lake ambapo mashabiki walianza kulisukuma huku wakishangilia.
Kabla ya Okwi kuondoka uwanjani hapo, akimsubiri mchezaji mwenzake, Mganda, Simon Sserunkuma, mashabiki walitumia fursa hiyo kulifuta vioo gari lake na kulisafisha sehemu nyingine pia zilizokuwa na vumbi.
Lakini baada ya Simon kuja eneo hilo na kuingia ndani ya gari ndipo Okwi akaomba mashabiki wakae pembeni ili aondoe gari kwa ajili ya kwenda kupumzika na mashabiki wakampisha kwa roho safi.
Hali hiyo ni tofauti na ile iliyojitokeza kwenye mchezo wa Jumatano iliyopita, Simba ilipochapwa mabao 2-1 na Mbeya City ambapo mashabiki walionekana kuwa na jazba huku wakitaka kulipiga mawe basi la Simba, kabla ya polisi wa kutuliza ghasia kuingilia kati na kuanza kurusha mabomu ya machozi kwa ajili ya kutawanya umati uliokuwa nje ya uwanja huo..Globalpublishers

Contact Us

Phone :

+20 010 2517 8918

Address :

3rd Avenue, Upper East Side,
San Francisco

Email :

email_support@youradress.com

Showing posts with label MICHEZO. Show all posts
Showing posts with label MICHEZO. Show all posts

List nzima hii hapa!
Alexis Sanchez (AFC)
Diego Costa (CFC)
Philippe Coutinho (LFC)
David De Gea (MUFC)
Eden Hazard (CFC)
Harry Kane (THFC)
MUHIMU: Ukiwa kama mdau wa michezo nawe una nafasi ya kutoa maoni yako! Tupia jina la mchezaji unayeona anastahili kuchukua tuzo hii hapo chini kwa comment box tafadhali!


Mwanamuziki mkongwe Madonna amejijengea sifa ya kutokua muoga katika maswala ya ngono wala ya kijamii.
Lakini alichokifanya mwishoni mwa juma liliwaacha wengi vinywa wazi .
Bibi huyo mwenye umri wa miaka 56 alishindwa kustahimili mvuto wa mwanamuziki wa kizazi kipya Drake alipokuwa akimwaga misstari mbele ya mashabiki wake katika onyesho
la California Coachella


Malkia huyo wa mziki wa ''POP'' alitua jukwaani Drake alipokuwa akiimba wimbo wake maarufu ''Madonna''
ilionekana kama aliyeshikwa na jazba baada ya kushuhudia wimbo wa ''Human Nature'' na ''Hung Up''
na akajipata jukwaani akampiga pambaja na kumkumbatia na mara akampiga busu.
Drake hakusema lolote wakati huo lakini alionekana kama aliyeshtuliwa sana na tukio hilo.



Picha zinaonesha alishikwa na kinyaa.
Ajabu nikuwa i Madonna alimpokonya kinasa sauti na kusema
"mimi ndiye Madonna" na akaondoka jukwaani.



Mkufunzi wa kilabu ya Chelsea Jose Mourinho amesema kuwa kinyang'anyiro cha kuwania ubingwa wa ligi ya EPL bado kiko wazi licha ya timu yake kuwa mbele na pointi saba mbali na mechi moja ambayo haijacheza.
Mourinho anaamini kuwa timu yoyote ambayo iko nyuma na pointi saba ama nane bado ipo katika kinyang'anyiro na kwamba hashangazwi na kushuka kwa Manchester City katika kupigania taji hilo.
Chelsea itamenyana na QPR ugenini jumapili katika debi ya Magharibi mwa London
Gazeti la Daily Mail linafichua kwamba Liverpool imejiandaa kuwauza mastraika wake Mario Balotelli, Fabio Borini na Rickie Lambert mwishoni mwa msimu huu ili kupata pesa za kusajili nyota wa maana.
Straika Mtaliano, Balotelli amekuwa akihusishwa na mpango wa kuondoka Anfield kwa karibu msimu mzima baada ya kushindwa kufuatia uhamisho wake wa Pauni 16 milioni kutoka AC Milan mwaka jana.
Borini ameshindwa kupata namba kwenye kikosi hicho cha Brendan Rodgers, wakati Lambert anatumika mara chache sana kitu ambacho klabu hiyo inadhani anaongeza wingi tu kwenye kikosi chao.
Mastraika hao wote watatu wamecheza mechi 16 za Ligi Kuu England msimu huu na kwamba wataondoshwa Anfield wakati
dirisha la usajili wa majira ya kiangazi litakapofunguliwa.

Nyota wa tenesi Serena Williams ametinga hatua ya nusu fainali ya michuano ya BNP Paribas kwa kumshinda Timea Bacsinszky.
Serena alipata upinzani mkali katika mchezo huo toka kwa mpinzani wake na kuibuka na ushindi wa seti 7-5 6-3.
"nina furaha nimeweza kuendelea kuwepo kwenye mashindano, kitu pekee nachojua nitacheza vizuri zaidi alieleza Serena baada ya ushindi huo.
Katika mchezo mwingine Simona Halep alishinda mchezo wake dhidi ya Carla Suarez Navarro kwa seti 5-7 6-1 6-1, kwa ushindi huo Simona atachuana na Serena Williams katika hatua inayofuata.

NA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM
UPINZANI wa watani wa jadi, Simba na Yanga umehamia mahakamani baada ya Mwenyekiti wa Yanga, Yusuph Manji, kumpandisha kizimbani Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Simba, Musleh Al Rawah, akidaiwa kumpiga mwanaye.
Mjumbe huyo wa Simba alipandishwa kizimbani jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya Hakimu Mkazi, Frank Moshi, alisomewa shtaka la kumjeruhi mtoto wa Manji, Mehboob Manji.
Akisoma hati ya mashtaka, Wakili wa Serikali, Genis Tesha, alidai kuwa Al Rawah alifanya kosa hilo, Machi 8, mwaka huu katika Uwanja wa Taifa uliopo Chang’ombe, baada ya kumalizika mchezo wa watani wa jadi ulioisha kwa Simba kushinda bao 1-0 dhidi ya Yanga.
Tesha alidai kuwa siku hiyo ya tukio, mshtakiwa Al Rawah alimpiga teke Mehboob katika sehemu mbalimbali za mwili ukiwamo uso na kumsababishia majeraha mazito.
Al Rawah ambaye ni mfanyabiashara na raia wa hapa nchini anayetetewa na Wakili Dk. Damas Ndumbaro, alikana shtaka hilo na upande wa mashtaka ukadai kuwa upelelezi wa kesi hiyo haujakamilika na hawapingi dhamana kwa mshtakiwa.
Kwa upande wa Wakili Ndumbaro, naye aliomba mteja wake apewe dhamana.
Hakimu Moshi akitoa masharti ya dhamana kwa mshtakiwa huyo, alimtaka awe na mdhamini mmoja ambaye anatoka katika taasisi inayotambulika ama serikalini.
Baada ya mdhamini kujitokeza, upande wa mashtaka ulifanyia uhakiki barua yake ndani ya saa moja kama ilivyoelekezwa na mahakama na mshtakiwa akaachiwa huru.
Kesi hiyo imeahirishwa hadi Aprili 20, mwaka huu kwa ajili ya kuangalia kama upelelezi umekamilika ama la.
Manchester, England. England inaweza kukosa mwakilishi kwa mara ya pili ndani ya miaka mitatu katika hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kama Arsenal na Manchester City watashindwa kulipa kisasi katika michezo yao ya leo na kesho.
Arsenal ilikubali kichapo cha mabao 3-1 nyumbani dhidi ya Monaco na sasa inakutana na miamba hiyo nchini Ufaransa, wakati City ikitakiwa kugeuza kipigo cha mabao 2-1 dhidi ya Barcelona ili kutinga katika robo fainali ya mashindano hayo kwa mara ya kwanza.
Ni kazi ngumu kwa miamba hiyo ya England, lakini inaweza kuchukua ari ya Schalke na Paris Saint-Germain waliopambana ugenini wiki iliyopita.
Mabingwa watetezi, Real Madrid waliichapa Schalke 2-0 nchini Ujerumani, lakini hali ilikuwa mbaya nyumbani kwani waliitoa timu hiyo kwa mabao 5-4, wakati PSG wakicheza 10 uwanjani dhidi ya Chelsea tangu dakika ya 31, lakini walilazimisha sare na kusonga mbele kwa mabao ya ugenini walipopata matokeo ya 2-2 Stamford Bridge.
Mechi nyingine wiki hii zinaonekana kuwa katika uzani sawa. Bayer Leverkusen wataivaa Atletico wakiwa wameifunga Madrid 1-0 nchini Ujerumani na Juventus wataulinda ushindi wao wa 2-1 dhidi ya Borussia Dortmund.
Arsenal wanaonekana


BAADA ya ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya JKT Ruvu juzi Jumamosi, straika wa Simba, Emmanuel Okwi, raia wa Uganda, ameibuka na kuwaahidi makubwa mashabiki wa timu hiyo katika mechi zinazofuata huku akiwapooza kuhusu matokeo mabovu yaliyopita.
Okwi alipata fursa ya kuwaambia maneno hayo ya kuwatia moyo mashabiki hao baada ya kumalizika kwa mchezo wao huo uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar ambapo akiwa anatoka kwenye vyumba vya kubadilishia nguo kwa ajili ya kupanda gari lake aondoke, aliwakuta mashabiki nje wakimsubiri kwa ajili ya kumlaki na ndipo mashabiki hao walipoanza kumshangilia na kumtaka aendelee kuitumikia timu hiyo kwa moyo wake wote kama anavyofanya sasa.
Okwi aliyekuwa akiongozana na Mganda mwenzake, Dan Sserunkuma alishangazwa na hali hiyo lakini baadaye akaonekana kufarijika kwa tukio hilo na ndipo alipoanza kuzungumza nao kuwa hawatakiwi kuvunjika moyo kutokana na kipindi kigumu walichokuwa wanakipitia nyuma kwani sasa timu hiyo ipo sawa na wataendeleza ushindi kwa kadiri watakavyoweza kwenye mechi zijazo.
Mashabiki hao waliokuwa wamemzunguka mchezaji huyo, walionyesha kufurahishwa na maneno hayo huku wakipiga shangwe na vifijo na kuendelea kupiga mayowe ya furaha huku wakimsindikiza kwenye gari lake.Katika mechi hiyo, Okwi ndiye aliyetengeneza nafasi zilizozaa mabao hayo mawili yaliyowekwa kimiani na Dan Sserunkuma.
"Hatukutakiwa kuvunjika moyo wakati ule, kila mchezaji ilikuwa inamuuma kuona tunapoteza mechi na kuwakera mashabiki lakini sasa timu ipo sawa na kila mchezaji yupo safi kwa ajili ya kupambana kuutafuta ushindi kwenye mechi zilizobaki.
"Tutahakikisha tunajituma kwa nguvu zetu zote katika hilo, ila tunaomba ushirikiano wenu pia," alizungumza Okwi na mashabiki hao na kisha kuingia ndani ya gari lake ambapo mashabiki walianza kulisukuma huku wakishangilia.
Kabla ya Okwi kuondoka uwanjani hapo, akimsubiri mchezaji mwenzake, Mganda, Simon Sserunkuma, mashabiki walitumia fursa hiyo kulifuta vioo gari lake na kulisafisha sehemu nyingine pia zilizokuwa na vumbi.
Lakini baada ya Simon kuja eneo hilo na kuingia ndani ya gari ndipo Okwi akaomba mashabiki wakae pembeni ili aondoe gari kwa ajili ya kwenda kupumzika na mashabiki wakampisha kwa roho safi.
Hali hiyo ni tofauti na ile iliyojitokeza kwenye mchezo wa Jumatano iliyopita, Simba ilipochapwa mabao 2-1 na Mbeya City ambapo mashabiki walionekana kuwa na jazba huku wakitaka kulipiga mawe basi la Simba, kabla ya polisi wa kutuliza ghasia kuingilia kati na kuanza kurusha mabomu ya machozi kwa ajili ya kutawanya umati uliokuwa nje ya uwanja huo..Globalpublishers

List nzima hii hapa!
Alexis Sanchez (AFC)
Diego Costa (CFC)
Philippe Coutinho (LFC)
David De Gea (MUFC)
Eden Hazard (CFC)
Harry Kane (THFC)
MUHIMU: Ukiwa kama mdau wa michezo nawe una nafasi ya kutoa maoni yako! Tupia jina la mchezaji unayeona anastahili kuchukua tuzo hii hapo chini kwa comment box tafadhali!


Mwanamuziki mkongwe Madonna amejijengea sifa ya kutokua muoga katika maswala ya ngono wala ya kijamii.
Lakini alichokifanya mwishoni mwa juma liliwaacha wengi vinywa wazi .
Bibi huyo mwenye umri wa miaka 56 alishindwa kustahimili mvuto wa mwanamuziki wa kizazi kipya Drake alipokuwa akimwaga misstari mbele ya mashabiki wake katika onyesho
la California Coachella


Malkia huyo wa mziki wa ''POP'' alitua jukwaani Drake alipokuwa akiimba wimbo wake maarufu ''Madonna''
ilionekana kama aliyeshikwa na jazba baada ya kushuhudia wimbo wa ''Human Nature'' na ''Hung Up''
na akajipata jukwaani akampiga pambaja na kumkumbatia na mara akampiga busu.
Drake hakusema lolote wakati huo lakini alionekana kama aliyeshtuliwa sana na tukio hilo.



Picha zinaonesha alishikwa na kinyaa.
Ajabu nikuwa i Madonna alimpokonya kinasa sauti na kusema
"mimi ndiye Madonna" na akaondoka jukwaani.



Mkufunzi wa kilabu ya Chelsea Jose Mourinho amesema kuwa kinyang'anyiro cha kuwania ubingwa wa ligi ya EPL bado kiko wazi licha ya timu yake kuwa mbele na pointi saba mbali na mechi moja ambayo haijacheza.
Mourinho anaamini kuwa timu yoyote ambayo iko nyuma na pointi saba ama nane bado ipo katika kinyang'anyiro na kwamba hashangazwi na kushuka kwa Manchester City katika kupigania taji hilo.
Chelsea itamenyana na QPR ugenini jumapili katika debi ya Magharibi mwa London
Gazeti la Daily Mail linafichua kwamba Liverpool imejiandaa kuwauza mastraika wake Mario Balotelli, Fabio Borini na Rickie Lambert mwishoni mwa msimu huu ili kupata pesa za kusajili nyota wa maana.
Straika Mtaliano, Balotelli amekuwa akihusishwa na mpango wa kuondoka Anfield kwa karibu msimu mzima baada ya kushindwa kufuatia uhamisho wake wa Pauni 16 milioni kutoka AC Milan mwaka jana.
Borini ameshindwa kupata namba kwenye kikosi hicho cha Brendan Rodgers, wakati Lambert anatumika mara chache sana kitu ambacho klabu hiyo inadhani anaongeza wingi tu kwenye kikosi chao.
Mastraika hao wote watatu wamecheza mechi 16 za Ligi Kuu England msimu huu na kwamba wataondoshwa Anfield wakati
dirisha la usajili wa majira ya kiangazi litakapofunguliwa.

Nyota wa tenesi Serena Williams ametinga hatua ya nusu fainali ya michuano ya BNP Paribas kwa kumshinda Timea Bacsinszky.
Serena alipata upinzani mkali katika mchezo huo toka kwa mpinzani wake na kuibuka na ushindi wa seti 7-5 6-3.
"nina furaha nimeweza kuendelea kuwepo kwenye mashindano, kitu pekee nachojua nitacheza vizuri zaidi alieleza Serena baada ya ushindi huo.
Katika mchezo mwingine Simona Halep alishinda mchezo wake dhidi ya Carla Suarez Navarro kwa seti 5-7 6-1 6-1, kwa ushindi huo Simona atachuana na Serena Williams katika hatua inayofuata.

NA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM
UPINZANI wa watani wa jadi, Simba na Yanga umehamia mahakamani baada ya Mwenyekiti wa Yanga, Yusuph Manji, kumpandisha kizimbani Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Simba, Musleh Al Rawah, akidaiwa kumpiga mwanaye.
Mjumbe huyo wa Simba alipandishwa kizimbani jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya Hakimu Mkazi, Frank Moshi, alisomewa shtaka la kumjeruhi mtoto wa Manji, Mehboob Manji.
Akisoma hati ya mashtaka, Wakili wa Serikali, Genis Tesha, alidai kuwa Al Rawah alifanya kosa hilo, Machi 8, mwaka huu katika Uwanja wa Taifa uliopo Chang’ombe, baada ya kumalizika mchezo wa watani wa jadi ulioisha kwa Simba kushinda bao 1-0 dhidi ya Yanga.
Tesha alidai kuwa siku hiyo ya tukio, mshtakiwa Al Rawah alimpiga teke Mehboob katika sehemu mbalimbali za mwili ukiwamo uso na kumsababishia majeraha mazito.
Al Rawah ambaye ni mfanyabiashara na raia wa hapa nchini anayetetewa na Wakili Dk. Damas Ndumbaro, alikana shtaka hilo na upande wa mashtaka ukadai kuwa upelelezi wa kesi hiyo haujakamilika na hawapingi dhamana kwa mshtakiwa.
Kwa upande wa Wakili Ndumbaro, naye aliomba mteja wake apewe dhamana.
Hakimu Moshi akitoa masharti ya dhamana kwa mshtakiwa huyo, alimtaka awe na mdhamini mmoja ambaye anatoka katika taasisi inayotambulika ama serikalini.
Baada ya mdhamini kujitokeza, upande wa mashtaka ulifanyia uhakiki barua yake ndani ya saa moja kama ilivyoelekezwa na mahakama na mshtakiwa akaachiwa huru.
Kesi hiyo imeahirishwa hadi Aprili 20, mwaka huu kwa ajili ya kuangalia kama upelelezi umekamilika ama la.
Manchester, England. England inaweza kukosa mwakilishi kwa mara ya pili ndani ya miaka mitatu katika hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kama Arsenal na Manchester City watashindwa kulipa kisasi katika michezo yao ya leo na kesho.
Arsenal ilikubali kichapo cha mabao 3-1 nyumbani dhidi ya Monaco na sasa inakutana na miamba hiyo nchini Ufaransa, wakati City ikitakiwa kugeuza kipigo cha mabao 2-1 dhidi ya Barcelona ili kutinga katika robo fainali ya mashindano hayo kwa mara ya kwanza.
Ni kazi ngumu kwa miamba hiyo ya England, lakini inaweza kuchukua ari ya Schalke na Paris Saint-Germain waliopambana ugenini wiki iliyopita.
Mabingwa watetezi, Real Madrid waliichapa Schalke 2-0 nchini Ujerumani, lakini hali ilikuwa mbaya nyumbani kwani waliitoa timu hiyo kwa mabao 5-4, wakati PSG wakicheza 10 uwanjani dhidi ya Chelsea tangu dakika ya 31, lakini walilazimisha sare na kusonga mbele kwa mabao ya ugenini walipopata matokeo ya 2-2 Stamford Bridge.
Mechi nyingine wiki hii zinaonekana kuwa katika uzani sawa. Bayer Leverkusen wataivaa Atletico wakiwa wameifunga Madrid 1-0 nchini Ujerumani na Juventus wataulinda ushindi wao wa 2-1 dhidi ya Borussia Dortmund.
Arsenal wanaonekana


BAADA ya ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya JKT Ruvu juzi Jumamosi, straika wa Simba, Emmanuel Okwi, raia wa Uganda, ameibuka na kuwaahidi makubwa mashabiki wa timu hiyo katika mechi zinazofuata huku akiwapooza kuhusu matokeo mabovu yaliyopita.
Okwi alipata fursa ya kuwaambia maneno hayo ya kuwatia moyo mashabiki hao baada ya kumalizika kwa mchezo wao huo uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar ambapo akiwa anatoka kwenye vyumba vya kubadilishia nguo kwa ajili ya kupanda gari lake aondoke, aliwakuta mashabiki nje wakimsubiri kwa ajili ya kumlaki na ndipo mashabiki hao walipoanza kumshangilia na kumtaka aendelee kuitumikia timu hiyo kwa moyo wake wote kama anavyofanya sasa.
Okwi aliyekuwa akiongozana na Mganda mwenzake, Dan Sserunkuma alishangazwa na hali hiyo lakini baadaye akaonekana kufarijika kwa tukio hilo na ndipo alipoanza kuzungumza nao kuwa hawatakiwi kuvunjika moyo kutokana na kipindi kigumu walichokuwa wanakipitia nyuma kwani sasa timu hiyo ipo sawa na wataendeleza ushindi kwa kadiri watakavyoweza kwenye mechi zijazo.
Mashabiki hao waliokuwa wamemzunguka mchezaji huyo, walionyesha kufurahishwa na maneno hayo huku wakipiga shangwe na vifijo na kuendelea kupiga mayowe ya furaha huku wakimsindikiza kwenye gari lake.Katika mechi hiyo, Okwi ndiye aliyetengeneza nafasi zilizozaa mabao hayo mawili yaliyowekwa kimiani na Dan Sserunkuma.
"Hatukutakiwa kuvunjika moyo wakati ule, kila mchezaji ilikuwa inamuuma kuona tunapoteza mechi na kuwakera mashabiki lakini sasa timu ipo sawa na kila mchezaji yupo safi kwa ajili ya kupambana kuutafuta ushindi kwenye mechi zilizobaki.
"Tutahakikisha tunajituma kwa nguvu zetu zote katika hilo, ila tunaomba ushirikiano wenu pia," alizungumza Okwi na mashabiki hao na kisha kuingia ndani ya gari lake ambapo mashabiki walianza kulisukuma huku wakishangilia.
Kabla ya Okwi kuondoka uwanjani hapo, akimsubiri mchezaji mwenzake, Mganda, Simon Sserunkuma, mashabiki walitumia fursa hiyo kulifuta vioo gari lake na kulisafisha sehemu nyingine pia zilizokuwa na vumbi.
Lakini baada ya Simon kuja eneo hilo na kuingia ndani ya gari ndipo Okwi akaomba mashabiki wakae pembeni ili aondoe gari kwa ajili ya kwenda kupumzika na mashabiki wakampisha kwa roho safi.
Hali hiyo ni tofauti na ile iliyojitokeza kwenye mchezo wa Jumatano iliyopita, Simba ilipochapwa mabao 2-1 na Mbeya City ambapo mashabiki walionekana kuwa na jazba huku wakitaka kulipiga mawe basi la Simba, kabla ya polisi wa kutuliza ghasia kuingilia kati na kuanza kurusha mabomu ya machozi kwa ajili ya kutawanya umati uliokuwa nje ya uwanja huo..Globalpublishers

List nzima hii hapa!
Alexis Sanchez (AFC)
Diego Costa (CFC)
Philippe Coutinho (LFC)
David De Gea (MUFC)
Eden Hazard (CFC)
Harry Kane (THFC)
MUHIMU: Ukiwa kama mdau wa michezo nawe una nafasi ya kutoa maoni yako! Tupia jina la mchezaji unayeona anastahili kuchukua tuzo hii hapo chini kwa comment box tafadhali!


Mwanamuziki mkongwe Madonna amejijengea sifa ya kutokua muoga katika maswala ya ngono wala ya kijamii.
Lakini alichokifanya mwishoni mwa juma liliwaacha wengi vinywa wazi .
Bibi huyo mwenye umri wa miaka 56 alishindwa kustahimili mvuto wa mwanamuziki wa kizazi kipya Drake alipokuwa akimwaga misstari mbele ya mashabiki wake katika onyesho
la California Coachella


Malkia huyo wa mziki wa ''POP'' alitua jukwaani Drake alipokuwa akiimba wimbo wake maarufu ''Madonna''
ilionekana kama aliyeshikwa na jazba baada ya kushuhudia wimbo wa ''Human Nature'' na ''Hung Up''
na akajipata jukwaani akampiga pambaja na kumkumbatia na mara akampiga busu.
Drake hakusema lolote wakati huo lakini alionekana kama aliyeshtuliwa sana na tukio hilo.



Picha zinaonesha alishikwa na kinyaa.
Ajabu nikuwa i Madonna alimpokonya kinasa sauti na kusema
"mimi ndiye Madonna" na akaondoka jukwaani.



Mkufunzi wa kilabu ya Chelsea Jose Mourinho amesema kuwa kinyang'anyiro cha kuwania ubingwa wa ligi ya EPL bado kiko wazi licha ya timu yake kuwa mbele na pointi saba mbali na mechi moja ambayo haijacheza.
Mourinho anaamini kuwa timu yoyote ambayo iko nyuma na pointi saba ama nane bado ipo katika kinyang'anyiro na kwamba hashangazwi na kushuka kwa Manchester City katika kupigania taji hilo.
Chelsea itamenyana na QPR ugenini jumapili katika debi ya Magharibi mwa London
Gazeti la Daily Mail linafichua kwamba Liverpool imejiandaa kuwauza mastraika wake Mario Balotelli, Fabio Borini na Rickie Lambert mwishoni mwa msimu huu ili kupata pesa za kusajili nyota wa maana.
Straika Mtaliano, Balotelli amekuwa akihusishwa na mpango wa kuondoka Anfield kwa karibu msimu mzima baada ya kushindwa kufuatia uhamisho wake wa Pauni 16 milioni kutoka AC Milan mwaka jana.
Borini ameshindwa kupata namba kwenye kikosi hicho cha Brendan Rodgers, wakati Lambert anatumika mara chache sana kitu ambacho klabu hiyo inadhani anaongeza wingi tu kwenye kikosi chao.
Mastraika hao wote watatu wamecheza mechi 16 za Ligi Kuu England msimu huu na kwamba wataondoshwa Anfield wakati
dirisha la usajili wa majira ya kiangazi litakapofunguliwa.

Nyota wa tenesi Serena Williams ametinga hatua ya nusu fainali ya michuano ya BNP Paribas kwa kumshinda Timea Bacsinszky.
Serena alipata upinzani mkali katika mchezo huo toka kwa mpinzani wake na kuibuka na ushindi wa seti 7-5 6-3.
"nina furaha nimeweza kuendelea kuwepo kwenye mashindano, kitu pekee nachojua nitacheza vizuri zaidi alieleza Serena baada ya ushindi huo.
Katika mchezo mwingine Simona Halep alishinda mchezo wake dhidi ya Carla Suarez Navarro kwa seti 5-7 6-1 6-1, kwa ushindi huo Simona atachuana na Serena Williams katika hatua inayofuata.

NA KULWA MZEE, DAR ES SALAAM
UPINZANI wa watani wa jadi, Simba na Yanga umehamia mahakamani baada ya Mwenyekiti wa Yanga, Yusuph Manji, kumpandisha kizimbani Mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Simba, Musleh Al Rawah, akidaiwa kumpiga mwanaye.
Mjumbe huyo wa Simba alipandishwa kizimbani jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mbele ya Hakimu Mkazi, Frank Moshi, alisomewa shtaka la kumjeruhi mtoto wa Manji, Mehboob Manji.
Akisoma hati ya mashtaka, Wakili wa Serikali, Genis Tesha, alidai kuwa Al Rawah alifanya kosa hilo, Machi 8, mwaka huu katika Uwanja wa Taifa uliopo Chang’ombe, baada ya kumalizika mchezo wa watani wa jadi ulioisha kwa Simba kushinda bao 1-0 dhidi ya Yanga.
Tesha alidai kuwa siku hiyo ya tukio, mshtakiwa Al Rawah alimpiga teke Mehboob katika sehemu mbalimbali za mwili ukiwamo uso na kumsababishia majeraha mazito.
Al Rawah ambaye ni mfanyabiashara na raia wa hapa nchini anayetetewa na Wakili Dk. Damas Ndumbaro, alikana shtaka hilo na upande wa mashtaka ukadai kuwa upelelezi wa kesi hiyo haujakamilika na hawapingi dhamana kwa mshtakiwa.
Kwa upande wa Wakili Ndumbaro, naye aliomba mteja wake apewe dhamana.
Hakimu Moshi akitoa masharti ya dhamana kwa mshtakiwa huyo, alimtaka awe na mdhamini mmoja ambaye anatoka katika taasisi inayotambulika ama serikalini.
Baada ya mdhamini kujitokeza, upande wa mashtaka ulifanyia uhakiki barua yake ndani ya saa moja kama ilivyoelekezwa na mahakama na mshtakiwa akaachiwa huru.
Kesi hiyo imeahirishwa hadi Aprili 20, mwaka huu kwa ajili ya kuangalia kama upelelezi umekamilika ama la.
Manchester, England. England inaweza kukosa mwakilishi kwa mara ya pili ndani ya miaka mitatu katika hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kama Arsenal na Manchester City watashindwa kulipa kisasi katika michezo yao ya leo na kesho.
Arsenal ilikubali kichapo cha mabao 3-1 nyumbani dhidi ya Monaco na sasa inakutana na miamba hiyo nchini Ufaransa, wakati City ikitakiwa kugeuza kipigo cha mabao 2-1 dhidi ya Barcelona ili kutinga katika robo fainali ya mashindano hayo kwa mara ya kwanza.
Ni kazi ngumu kwa miamba hiyo ya England, lakini inaweza kuchukua ari ya Schalke na Paris Saint-Germain waliopambana ugenini wiki iliyopita.
Mabingwa watetezi, Real Madrid waliichapa Schalke 2-0 nchini Ujerumani, lakini hali ilikuwa mbaya nyumbani kwani waliitoa timu hiyo kwa mabao 5-4, wakati PSG wakicheza 10 uwanjani dhidi ya Chelsea tangu dakika ya 31, lakini walilazimisha sare na kusonga mbele kwa mabao ya ugenini walipopata matokeo ya 2-2 Stamford Bridge.
Mechi nyingine wiki hii zinaonekana kuwa katika uzani sawa. Bayer Leverkusen wataivaa Atletico wakiwa wameifunga Madrid 1-0 nchini Ujerumani na Juventus wataulinda ushindi wao wa 2-1 dhidi ya Borussia Dortmund.
Arsenal wanaonekana


BAADA ya ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya JKT Ruvu juzi Jumamosi, straika wa Simba, Emmanuel Okwi, raia wa Uganda, ameibuka na kuwaahidi makubwa mashabiki wa timu hiyo katika mechi zinazofuata huku akiwapooza kuhusu matokeo mabovu yaliyopita.
Okwi alipata fursa ya kuwaambia maneno hayo ya kuwatia moyo mashabiki hao baada ya kumalizika kwa mchezo wao huo uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar ambapo akiwa anatoka kwenye vyumba vya kubadilishia nguo kwa ajili ya kupanda gari lake aondoke, aliwakuta mashabiki nje wakimsubiri kwa ajili ya kumlaki na ndipo mashabiki hao walipoanza kumshangilia na kumtaka aendelee kuitumikia timu hiyo kwa moyo wake wote kama anavyofanya sasa.
Okwi aliyekuwa akiongozana na Mganda mwenzake, Dan Sserunkuma alishangazwa na hali hiyo lakini baadaye akaonekana kufarijika kwa tukio hilo na ndipo alipoanza kuzungumza nao kuwa hawatakiwi kuvunjika moyo kutokana na kipindi kigumu walichokuwa wanakipitia nyuma kwani sasa timu hiyo ipo sawa na wataendeleza ushindi kwa kadiri watakavyoweza kwenye mechi zijazo.
Mashabiki hao waliokuwa wamemzunguka mchezaji huyo, walionyesha kufurahishwa na maneno hayo huku wakipiga shangwe na vifijo na kuendelea kupiga mayowe ya furaha huku wakimsindikiza kwenye gari lake.Katika mechi hiyo, Okwi ndiye aliyetengeneza nafasi zilizozaa mabao hayo mawili yaliyowekwa kimiani na Dan Sserunkuma.
"Hatukutakiwa kuvunjika moyo wakati ule, kila mchezaji ilikuwa inamuuma kuona tunapoteza mechi na kuwakera mashabiki lakini sasa timu ipo sawa na kila mchezaji yupo safi kwa ajili ya kupambana kuutafuta ushindi kwenye mechi zilizobaki.
"Tutahakikisha tunajituma kwa nguvu zetu zote katika hilo, ila tunaomba ushirikiano wenu pia," alizungumza Okwi na mashabiki hao na kisha kuingia ndani ya gari lake ambapo mashabiki walianza kulisukuma huku wakishangilia.
Kabla ya Okwi kuondoka uwanjani hapo, akimsubiri mchezaji mwenzake, Mganda, Simon Sserunkuma, mashabiki walitumia fursa hiyo kulifuta vioo gari lake na kulisafisha sehemu nyingine pia zilizokuwa na vumbi.
Lakini baada ya Simon kuja eneo hilo na kuingia ndani ya gari ndipo Okwi akaomba mashabiki wakae pembeni ili aondoe gari kwa ajili ya kwenda kupumzika na mashabiki wakampisha kwa roho safi.
Hali hiyo ni tofauti na ile iliyojitokeza kwenye mchezo wa Jumatano iliyopita, Simba ilipochapwa mabao 2-1 na Mbeya City ambapo mashabiki walionekana kuwa na jazba huku wakitaka kulipiga mawe basi la Simba, kabla ya polisi wa kutuliza ghasia kuingilia kati na kuanza kurusha mabomu ya machozi kwa ajili ya kutawanya umati uliokuwa nje ya uwanja huo..Globalpublishers
Showing posts with label MICHEZO. Show all posts
Showing posts with label MICHEZO. Show all posts
Showing posts with label MICHEZO. Show all posts
Showing posts with label MICHEZO. Show all posts