Welcome!

I am John Doe Web Designer Photography

View Work Hire Me!

About Me

Web Design
Branding
Development
Who am i

John Doe.

Professional Web Designer

Nulla metus metus ullamcorper vel tincidunt sed euismod nibh Quisque volutpat condimentum velit class aptent taciti sociosqu ad litora.

Nulla metus metus ullamcorper vel tincidunt sed euismod nibh Quisque volutpat condimentum velit class aptent taciti sociosqu ad litora torquent metus metus ullamcorper vel tincidunt sed class aptent taciti sociosqu ad litora .

Services

Web Design

Nulla metus metus ullamcorper vel tincidunt sed euismod nibh Quisque volutpat

Development

Nulla metus metus ullamcorper vel tincidunt sed euismod nibh Quisque volutpat

Branding

Nulla metus metus ullamcorper vel tincidunt sed euismod nibh Quisque volutpat

Marketing

Nulla metus metus ullamcorper vel tincidunt sed euismod nibh Quisque volutpat

Our Blog

Showing posts with label KIMATAIFA. Show all posts
Showing posts with label KIMATAIFA. Show all posts

Rais Obama ameonya kuwa mabadiliko ya hali ya hewa hayawezi tena kukanushwa au kudharauliwa, na amesema ndio tishio kubwa kabisa linalokabili dunia.


Rais Obama ameonya kuwa mabadiliko ya hali ya hewa hayawezi tena kukanushwa au kudharauliwa, na amesema ndio tishio kubwa kabisa linalokabili dunia.
Katika hotuba yake ya kila juma, Rais Obama alisema anataka aweze kuwatazama watoto na wajuukuu wake machoni na kusema kuwa kila liwezalo limefanywa kupambana na msukosuko huo.
Bwana Obama hivi karibuni aliahidi kupunguza sana kiwango cha gesi inayozidisha joto inayotolewa na Marekani - kiwango cha pili kikubwa kabisa duniani - kabla ya mkutano wa viongozi wa dunia mwezi wa Disemba.
Mipango yake inapingwa vikali na wanasiasa wengi wa chama cha Republican ambao wanadai kuwa itaumiza makampuni ya Marekani

Google yapewa wiki 10 kujibu malalamishi


Google yapewa wiki 10 kujibu malalamishi

18 Aprili 2015 Imebadilishwa mwisho saa 09:34 GMT
Habari kuu ya teknolojia wiki hii ni le ya muungano wa ulaya uliolalamika kwamba Kampuni ya Google ilikuwa ikijipendelea zaidi katika soko lake.Google sasa ina wiki kumi kujibu malalamishi hayo licha ya kusema kuwa haikubaliani na madai hayo na kwamba iikuwa ikijiandaa kujitetea

WANAOWANIA TUZO YA MCHEZAJI BORA UINGEREZA MSIMU HUU #EPL

List nzima hii hapa!
Alexis Sanchez (AFC)
Diego Costa (CFC)
Philippe Coutinho (LFC)
David De Gea (MUFC)
Eden Hazard (CFC)
Harry Kane (THFC)
MUHIMU: Ukiwa kama mdau wa michezo nawe una nafasi ya kutoa maoni yako! Tupia jina la mchezaji unayeona anastahili kuchukua tuzo hii hapo chini kwa comment box tafadhali!

SOMA NA HII HAPA Wataalam wa masuala ya uchumi wamesema kuwa China inakabiliwa na wimbi la kushuka kwa ukuaji wa uchumi wa taifa hilo la pili duniani katika kasi ya kukua kiuchumi.

Wataalam wa masuala ya uchumi wamesema kuwa China inakabiliwa na wimbi la kushuka kwa ukuaji wa uchumi wa taifa hilo la pili duniani katika kasi ya kukua kiuchumi.
Kiwango cha ukuaji wa uchumi wa taifa hilo kwa mwaka cha asilimia saba katika miezi mitatu ya mwanzo,ikilinganishwa na miezi hiyo hiyo mwakajana inaonyesha kushuka kwa kasi ya ukuaji wa uchumi wa China katika miaka sita mfululizo.
Serikali ya China inadaiwa kupunguza kasi ya ukuaji wa uchumi wa taifa lake ili kuendana na malengo ya muda mrefu ya taifa hilo katika mipango ya kiuchumi.
Lakini wataalam wa uchumi wana wasiwasi kuwa huenda uchumi wa China ukazidi kudorola hadi kufikia kiwango cha chini zaidi.

Hii hapa mpya kuhusu Kampuni ya Google yashtakiwa soma HAPA zaidi:



Muungano wa Ulaya umeishtaki rasmi kampuni ya google kwa utumizi m'baya wa soko lake kufuatia uchunguzi wa miaka mitano.
Kamishna wa ushindani katika muungano huo Margrethe Westager amesema kuwa ana wasiwasi kwamba kampuni hiyo ilikuwa na upendeleo ambapo ni kinyume na sheria zake za uaminifu.
Pia ilianzisha uchunguzi kuhusu mfumo wa Anrodid katka kampuni hiyo.
Kampuni hiyo ya mtandao imechukua wiki kumi ili kujibu mashtaka hayo.
Hakuna tamko lolote lililotolewa na kampuni ya Google.Muungano wa Ulaya huenda ukaipiga faini kampuni hiyo yenye thamani ya mabilioni ya dola.

BALOZI WA MAPENZI YA JINSIA MOJA VATIKAN HATIHATI KUKUBALIWA SOMA ZAIDI:

Serikali ya Ufaransa imesema kuwa inangojea jibu kutoka kwa kanisa Katoliki kuhusu uajiri wa balozi wa mapenzi ya jinsia moja katika makao makuu ya kanisa hilo mjini Vatican.
Msemaji wa serikali hiyo amesema kuwa Ufaransa haitaondoa uteuzi wake wa Laurent Stefanini ambao ulifanywa mwezi Januari.
Waangalizi wanasema kuwa uteuzi wowote unaofanywa na kanisa katoliki huthibitishwa kati ya mda wa wiki sita na kwamba kimya hicho kikuu kinaamaanisha kwamba uteuzi huo umekataliwa.
Uteuzi huo unaonekana kama mtihani kwa upande wa Papa francis ambaye amekuwa na msimamo ulio huru kuhusiana na wapenzi wa jinsia moja.

Hawala:Mashirika ya misaada yaonya


Mashirika ya kimataifa ya kutoa misaada ya kibinadam, yameonya kuwa huenda yakalazimika kusitisha shughuli zao zote nchini Somalia, ikiwa Kenya itabadili uamuzi wake wa kufunga vituo vya kutuma na kubadilisha sarafu za kigeni maarufu kama hawala, kufuatia shambulio lililofanywa na wapiganaji wa Al shabaab, katika chuo kimoja kikuu mjini Garissa.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa mashirika kumi na tano ya misaada, mashirika hayo hutumia vituo hivyo kutuma pesa nchini Somalia na kulipa mishahara na kodi kwa wafanyakazi wake.
Mashirika hayo yamesema, agizo hilo litakuwa na athari kubwa sana kwa raia masikini wa Somalia, kwa sababu wao hutegemea fedha wanazopokea kupitia vituo hivyo kununua chakula, kulipa karo na pia kupata huduma za afya.
Serikali ya Kenya imesema imefunga vituo hivyo ili kuzuia kundi hilo la Al shabaab kupokea fedha kutoka kwa wafadhili wake katika mataifa ya kigeni

Viongozi wa kiislamu wazuru Garissa


Viongozi kadhaa wa kiislamu nchini Kenya wanazuru mji wa mashariki wa Garissa ambapo wiki ilopita watu 148 waliuawa katika chuo kikuu na wapiganaji wa kundi la Alshabaab.
Wanajadiliana kuhusu vile wanavyoweza kumaliza makundi yenye misimamo mikali.
Wabunge hao na wanachama wa makundi ya kidini katika eneo hilo pia wataitembelea miji ya kazkazini mashariki kama vile Wajir na Mandera ambayo pia imeathiriwa vibaya na mashambulizi ya Al Shabaab

Kiongozi wa Muslim Brotherhood kunyongwa



Mahakama moja nchini Misri imethibitisha hukumu ya kifo ya kiongozi wa kundi la Muslim Brotherhood Mohammed Badie na watu wengine 13 kwa kupanga mashambulizi dhidi ya serikali.
Pia mahakama hiyo imemfunga maisha raia mmoja mwenye uraia wa Marekani na Misri na watu wengine 36.
Badie alipewa hukumu hiyo mnamo mwezi Machi na pia anakabiliwa na mashtaka mengine.
Hatahivyo anaweza kukata rufaa dhidi ya hukumu hiyo.
Mamia ya watu wamehukumiwa kifo katika msako dhidi ya wanachama wa kundi hilo kufuatia kuondolewa kwa rais Mohammed Morsi mwaka 2013.
Hatahivyo ,kufikia sasa ni mtu mmoja pekee aliyenyongwa.
Uamuzi huo wa mahakama ulitangazwa moja kwa moja na runinga za taifa hilo.
Hukumu hizo ni za mwisho katika kesi ambayo viongozi wa kundi la Muslim Brotherhood walishtakiwa kwa kuwachochea wanachama wa kundi hilo kuanzisha ghasia dhidi ya serikali kufuatia maandamano ya mwaka 2013.


Jaji mmoja nchini Argentina ametoa agizo la kukamatwa kwa mwanamuziki Justin Bieber siku ya ijumaa akisema kuwa mwimbaji huyo alikataa kufika mbele yake kuhusiana na madai kwamba aliwaagiza walinzi wake kumshambulia mpiga picha mmoja mwaka 2013.
Jaji Alberto Julio Banos aliagiza kukamatwa kwa Bieber na walinzi wake Hugo Alcides Hesny na Terrence Reche Smalls.
Ujumbe uliotumwa kwa Bieber haukujibiwa mara moja.
Bieber anashtumiwa kwa kuwatuma walinzi hao kumshambulia mpiga picha Diego Pesoa nje ya kilabu moja ya Bueno Aires.
Msanii huyo hatahivyo hakurudi nchini Argentina ili kujibu maswali kuhusu kisa hicho.
Chini ya sheria za Argentina Bieber atakabiliwa na kifungo cha kuanzia mwezi mmoja hadi miaka sita jela iwapo atapatikana na hatia ya shtaka la kumjeruhi mpiga picha huyo.

Wakimbizi wa Somalia:Kenya yaonya UN






Serikali ya Kenya imeupatia Umoja wa Mataifa makataa ya miezi mitatu kuwahamisha wakimbizi wa Somalia wapatao nusu milioni hadi nchini Somalia.
Naibu rais William Ruto amesema kuwa iwapo Umoja wa mataifa utakataa kuwahamisha wakimbizi hao, Kenya itachukua jukumu la kuwandoa.
Makataa hayo yanajiri siku kadhaa baada ya shambulizi la chuo kikuu cha Garissa ambapo takriban watu 148 waliuawa na kundi la wapiganaji wa Al-shaabab


Baadhi ya wakimbizi wamekuwa wakiishi katika kambi za Dadaab mashariki ya taifa hilo kwa zaidi ya miongo miwili.
Kenya imelishtumu kundi la Alshabaab kwa kujificha katika kambi hizo huku likiwasajili wanachama wapya.

Saudi Arabia imesema kuwa uamuzi wa Pakistan wa kutojiunga kwenye kampeni ya kijeshi inayoiongoza nchini Yemen hakutaiathiri kampeni hiyo.


Saudi Arabia imesema kuwa uamuzi wa Pakistan wa kutojiunga kwenye kampeni ya kijeshi inayoiongoza nchini Yemen hakutaiathiri kampeni hiyo.
Jeshi la Saudi Arabia linasema kuwa wanajeshi wa Pakistan wangesaidia tu likiongeza kuwa kampeni yake ya mashambulizi dhidi ya waasi wa Houthi inaendelea vyema.
Lakini mwandishi wa BBC mjini Riyadh anasema kuwa mashambulizi hayo yameshindwa kuzuia waasi hao kusonga mbele na uamuzi wa Pakistan wa kutoegema upande wowote ni pigo kwa Saudi Arabia

Familia zapewa nafasi kwenda kuangalia waliouawa Kenya

Familia za wanafunzi waliouawa katika chuo kikuu kazkazini mashariki mwa Kenya zimeenda katika eneo la mkasa ili kuitambua miili ya waliouawa.
Zaidi ya watu 140 waliuawa katika shambulizi lililotekelezwa na wapiganaji wa Al shabaab mjini Garissa siku ya alhamisi ambapo wapiganaji hao waliwatenganisha wanafunzi hao kwa misingi ya kidini kabla ya kuwaua wanafunzi wa kikristo.
Wakati huohuo mamlaka nchini Kenya imetoa mabasi ili kuwasafirisha wanafunzi walionusurika hadi makwao,huku miili ya waliofariki ikisafirishwa hadi mjini Nairobi.
Rais wa Somali Hassan Sheikh Mohamoud,amesema kuwa Somalia na Kenya lazima ziimarishe ushirikiano wao dhidi ya Ugaidi baada ya shambulizi hilo.

Mtoto awa mfungwa nyumbani kwao


Picha ya kushtusha imeachiliwa kwa ulimwengu hivi karibuni picha inayomuonesha mtoto mdogo mwenye umri wa miaka mitano aliye kondeana ,aliyetelekezwa katika sehemu ya chini ya nyumba yao ,aliyefungiwa na kuachwa afe njaa na familia yake.
Tammi Bleimeyer,mwenye umri wa miaka 33,na mumewe Bradley,mwenye miaka 24, wameshtakiwa kwa kosa la kuhatarisha uhai wa mtoto wao baada ya kumkuta mtoto huyo akiwa katika hali dhoofu katika majira ya baridi ,kitongoji cha Harris, huko Texas.
Askari aliye fanikisha kupatikana kwa mtoto huyo Mark Herman,amesema kwamba amefanya kazi ya polisi katika kipindi cha miaka thelathini lakini hajawahi kushuhudia tukio lanamna hii.
Askari huyo anasema wamemkuta mtoto huyo katika hali mbaya ana njaa kali,amekondeana,amevilia damu mwilini kama aliyekuwa akipigwa ama kupitia mateso makali na ngozi yake ilionekana kama imeachana na mifupa ,ilikuwa ni hali ya kutisha sana kumwona mtoto katika hali hiyo.
Bradley alikuwa akibishana na mtoto huyo wa kambo mwenye umri wa miaka kumi na sita aliyekuwa akiwataka wazazi wa mtoto huyo kuacha kumfungia mtoto wako katika chumba cha chini ya ardhini nyumbani mwao .
Na polisi walipofika nyumbani hapo waligundua chumba kidogoo,chini ya nyumba hiyo kikiwa kimefungwa na godoro tu ndani yake na mtoto aliyeketi juu ya godoro ,ingawa mama wa kambo wa mtoto huyo alimtorosha baada ya kujua kwamba polisi wanamfuatilia, na kumkuta katika chumba cha hoteli na kumfuatilia hatimaye kumchukua mtoto huyo na kumpeleka hospitalini kwa matibabu.
Ingawa mpaka mtoto huyo anafikishwa hospitalini, sababu za kufungiwa kwa mtoto huyo hazikufahamika mara moja ,na wazazi wa mtoto huyo wamekataa kuzungumzia tukio hilo .
Baba wa mtoto huyo anashikiliwa na polisi kuhusiana na tukio hilo, na mtoto wake bado amesalia hospitalini kwa matibabu zaidi katika hospitali ya watoto iliyoko mjini Texas .

Upigaji busu hadharani wapigwa marufuku

 
 
Kijiji kimoja nchini India kilichopo katika jimbo la kusini magharibi kimepiga marufuku upigaji busu wa hadharani na tabia nyengine mbaya.
Bunge la kijiji hicho kwa jina Salvador -de Mundo lililopo kilomita maili nane kutoka kazkazini mwa mji mkuu wa Goa Panaji,lilipitisha sheria hiyo kwa wingi likiwaonya watu wanaozuru eneo hilo dhidi ya vitendo kama hivyo.
''Tumeidhinisha sheria hii kufuatia malalamishi kutoka kwa wakaazi kuhusu wapenzi wanaopigana busu hadharani'',.Hii ndio hatua ya kipekee ambayo itaweza kukabiliana na tatizo hilo'',naibu chifu wa kiji hicho Reena Fernandes aliambia AFP.
Hatahivyo hakusema ni hatua gani zitachukuliwa dhidi ya wakiukaji wa sheria hiyo.

Mwanasheria wa daktari wa Osama auawa



Aliyewahi kuwa mwanasheria wa Daktari wa Osama bin Laden, Samiullah Afridi ameuawa kwa kupigwa risasi huko Pakistan.
Mtu aliyekuwa na silaha alimmshambulia Samiullah Afridi ambaye alikuwa ndani ya gari lake akiendesha eneo la Peshawar.
Samiullah Afridi alikuwa mmoja wa wanasheria wa Dr.Shakeel Afridi ambaye ndiye aliyefichua siri kwa Marekani juu ya wapi alikokuwa Ossama Bin Laden ambaye alikuwa mafichoni huko Pakistani kwa takribani miaka minne.
Dr Afridi wakati anauawa alikuwa katima matembezi alifungwa kifungo cha muda mrefu.Kundi la Talbani limekiri kutekeleza mauaji hayo.

Tunisia yatangaza vita dhidi ya ugaidi


Rais wa Tunisia, Beji Caib Essebsi, amesema nchi yake imo vitani na ugaidi baada ya wanaume waliojihami kwa bunduki kuwaua watalii wa kigeni wapatao 17 na raia wawili katika shambulio katika makavazi mjini Tunis.
Kiongozi huyo amesema nchi yake itakabiliana pasi kuyasamehe na alichokitaja kama makundi madogo ya kishetani.
Washambuliaji hao waliwapiga risasi wageni kutoka Japan, Colombia, Australia, Italia na Uhispania kabla ya kuuawa na maafisa wa usalama.
Rais Beji Caid Essebsi amesema Tunisia ililazimika kupambana na magaidi waliokuwa wanahatarisha usalama wa nchi.

Kim Kardashian aonywa ngono za kila mara


Kila wakati inadhaniwa kuwa ni dhana tu juu ya kile kinachozungumzwa juu ya Kim Kardashian ,ingawa ilikuwa ni uvumi lakini sasa imethibitika.
“Kim Kardashian amekuwa akizungumzia sana suala la majaribio yake ya kutafuta mtoto mpya ,ingawa mpaka sasa bado hajabeba ujauzito,na sasa ameamua kupumzika katika majaribio yake ya kutafuta mtoto .Kim ambaye ana umri wa miaka thelathini na minne ana kiu kubwa ya kuiongeza familia yake iwe kubwa,lakini baada ya majaribio yake kushindwa amekubali kwamba si kazi rahisi kupata ujauzito wa pili.
Na hii ni baada ya kukutana na wataalamu kadhaa wa masuala ya wanawake ,na akawathibitishia huwa anafanya ngono mara mia tano kwa siku,wakamtaka apumzike kwa muda na kumweleza kuwa mambo hayaendi hivyo,ulimwengu unatambua kuwa mwanamke huyo ana mvuto wa kipekee hasa katika masuala ya ngono na ana mahaba mazito kwa mumewe Kanye West.
Lakini swali la kujiuliza, katika hali ya kawaida binaadamu ana uwezo wa kufanya ngono mara mia tano kwa siku? Hili haliingii akilini inaonekana kama ni habari ya kupikwa tu na Kim hatumii via vyake vya uzazi kwa kiwango cha hali ya juu kama inavyodaiwa.

Kwa raha zake
Haijalishi Kim Kardashian ni maarufu ama si maarufu kiasi cha habari zake kuandikwa kwa kiwango kikubwa ,lakini Kim alinukuliwa akisema kuwa mtoto wao wa kike North West amepewa nyumba yao yenye thamani ya dola za kimarekani milioni ishirini iliyoko Calabasas, California.
Ndani ya jumba hilo ,mtoto huyo ametengewa chumba cha michezo ambacho anakipenda mno,na inaelezwa kuwa mtoto huyo anapenda kuwa na sehemu yake, yenye nafasi yake.
Kim aliwaambia E! Online kwamba yeye pamoja na Kanye wanalifanyia matengenezo makubwa jumba lao kwa uangalifu mkubwa,ili iwe na muonekano mpya.Na anaeleza hisia zake kwamba kuwa katika jumba hilo ni uhuru mkubwa tofauti na alivyozoea kuishi na mamake katika nyumba yenye chumba kimoja .
Hivi karibuni Kim Kardashian alishangaza ulimwengu baada ya kuubadili muonekano wake kwa kuziweka nywele zake rangi ya gold wataalamu wa masuala ya saluni wenyewe wanaita blonde. Na inasemekana mtaalamu wa vipodozi Joyce Bonellindiye aliyemvutia na kuyafanya maamuzi hayo ya kuubadili muonekano wake. Wengine wanadhani anamuiga Madonna alipokuwa katika umri mdogo.haijalishi watu wanafikiria nini juu ya Kim,mwanamke huyo amekuwa gumzo na mvuto wa kipekee ulimwenguni na kufuatiliwa kila uchao na mamilioni ya watu kwa chochote afanyacho ,iwe wanapenda ama hawapendi.

Ni misikiti 19 pekee iliosalia CAR


Balozi wa Marekani katika umoja wa mataifa anasema kuwa karibia misikiti yote katika jamhuri ya Afrika ya kati imeharibiwa wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe viliovyoanza miaka miwili iliopita.
Samantha Power ambaye alilitembelea taifa hilo wiki iliopita amesema kuwa ni misikiti 19 pekee kati ya 436 iliosalia.
Vita vingi vimekuwa kati ya waislamu na wakristo.
Bi Power ameonyesha wasiwasi kuhusu ukosefu wa usalama huku vikosi vya Ufaransa na vile vya muungano wa Ulaya vikiondoka nchini humo kabla ya kikosi kamili cha Umoja wa mataifa kupelekwa.



Kaunti ya Elgeyo Marakwet nchini Kenya inakabiliwa na changamoto kubwa ya wauguzi katika kituo cha Afya cha Simbeiwe, lakini changamoto hiyo inatokana na ishu ambayo imelalamikiwa sana na wahudumu wa afya ambao huwa wanapelekwa maeneo hayo.
Wahudumu wanaopangiwa kufanya kazi katika kituo hicho wanalalamika kwamba eneo hilo lina matukio ambayo yanahusishwa na imani za kishirikina.
Mmoja wa wauguzi aliyeacha kazi katika kituo hicho anasema alikutana na maajabu ya zimwi lililomning’iniza mtoto mdogo hewani bila kumshika wakati alipokuwa akijitayarisha kumchoma sindano mtoto huyo.
Waziri wa Afya katika kaunti hiyo, Thomas Ruto amesema wanatafuta wahudumu wa afya ambao wataweza kuhimili kazi katika mazingira kama hayo.
Kiongozi mwingine amepingana na taarifa kwamba kuna ishu ya uchawi kuwepo maeneo hayo, anasema uchawi ulikuwepo zamani ila kwa sasa haupo.

Contact Us

Phone :

+20 010 2517 8918

Address :

3rd Avenue, Upper East Side,
San Francisco

Email :

email_support@youradress.com

Showing posts with label KIMATAIFA. Show all posts
Showing posts with label KIMATAIFA. Show all posts

Rais Obama ameonya kuwa mabadiliko ya hali ya hewa hayawezi tena kukanushwa au kudharauliwa, na amesema ndio tishio kubwa kabisa linalokabili dunia.
Katika hotuba yake ya kila juma, Rais Obama alisema anataka aweze kuwatazama watoto na wajuukuu wake machoni na kusema kuwa kila liwezalo limefanywa kupambana na msukosuko huo.
Bwana Obama hivi karibuni aliahidi kupunguza sana kiwango cha gesi inayozidisha joto inayotolewa na Marekani - kiwango cha pili kikubwa kabisa duniani - kabla ya mkutano wa viongozi wa dunia mwezi wa Disemba.
Mipango yake inapingwa vikali na wanasiasa wengi wa chama cha Republican ambao wanadai kuwa itaumiza makampuni ya Marekani


Google yapewa wiki 10 kujibu malalamishi

18 Aprili 2015 Imebadilishwa mwisho saa 09:34 GMT
Habari kuu ya teknolojia wiki hii ni le ya muungano wa ulaya uliolalamika kwamba Kampuni ya Google ilikuwa ikijipendelea zaidi katika soko lake.Google sasa ina wiki kumi kujibu malalamishi hayo licha ya kusema kuwa haikubaliani na madai hayo na kwamba iikuwa ikijiandaa kujitetea

List nzima hii hapa!
Alexis Sanchez (AFC)
Diego Costa (CFC)
Philippe Coutinho (LFC)
David De Gea (MUFC)
Eden Hazard (CFC)
Harry Kane (THFC)
MUHIMU: Ukiwa kama mdau wa michezo nawe una nafasi ya kutoa maoni yako! Tupia jina la mchezaji unayeona anastahili kuchukua tuzo hii hapo chini kwa comment box tafadhali!
Wataalam wa masuala ya uchumi wamesema kuwa China inakabiliwa na wimbi la kushuka kwa ukuaji wa uchumi wa taifa hilo la pili duniani katika kasi ya kukua kiuchumi.
Kiwango cha ukuaji wa uchumi wa taifa hilo kwa mwaka cha asilimia saba katika miezi mitatu ya mwanzo,ikilinganishwa na miezi hiyo hiyo mwakajana inaonyesha kushuka kwa kasi ya ukuaji wa uchumi wa China katika miaka sita mfululizo.
Serikali ya China inadaiwa kupunguza kasi ya ukuaji wa uchumi wa taifa lake ili kuendana na malengo ya muda mrefu ya taifa hilo katika mipango ya kiuchumi.
Lakini wataalam wa uchumi wana wasiwasi kuwa huenda uchumi wa China ukazidi kudorola hadi kufikia kiwango cha chini zaidi.


Muungano wa Ulaya umeishtaki rasmi kampuni ya google kwa utumizi m'baya wa soko lake kufuatia uchunguzi wa miaka mitano.
Kamishna wa ushindani katika muungano huo Margrethe Westager amesema kuwa ana wasiwasi kwamba kampuni hiyo ilikuwa na upendeleo ambapo ni kinyume na sheria zake za uaminifu.
Pia ilianzisha uchunguzi kuhusu mfumo wa Anrodid katka kampuni hiyo.
Kampuni hiyo ya mtandao imechukua wiki kumi ili kujibu mashtaka hayo.
Hakuna tamko lolote lililotolewa na kampuni ya Google.Muungano wa Ulaya huenda ukaipiga faini kampuni hiyo yenye thamani ya mabilioni ya dola.
Serikali ya Ufaransa imesema kuwa inangojea jibu kutoka kwa kanisa Katoliki kuhusu uajiri wa balozi wa mapenzi ya jinsia moja katika makao makuu ya kanisa hilo mjini Vatican.
Msemaji wa serikali hiyo amesema kuwa Ufaransa haitaondoa uteuzi wake wa Laurent Stefanini ambao ulifanywa mwezi Januari.
Waangalizi wanasema kuwa uteuzi wowote unaofanywa na kanisa katoliki huthibitishwa kati ya mda wa wiki sita na kwamba kimya hicho kikuu kinaamaanisha kwamba uteuzi huo umekataliwa.
Uteuzi huo unaonekana kama mtihani kwa upande wa Papa francis ambaye amekuwa na msimamo ulio huru kuhusiana na wapenzi wa jinsia moja.


Mashirika ya kimataifa ya kutoa misaada ya kibinadam, yameonya kuwa huenda yakalazimika kusitisha shughuli zao zote nchini Somalia, ikiwa Kenya itabadili uamuzi wake wa kufunga vituo vya kutuma na kubadilisha sarafu za kigeni maarufu kama hawala, kufuatia shambulio lililofanywa na wapiganaji wa Al shabaab, katika chuo kimoja kikuu mjini Garissa.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa mashirika kumi na tano ya misaada, mashirika hayo hutumia vituo hivyo kutuma pesa nchini Somalia na kulipa mishahara na kodi kwa wafanyakazi wake.
Mashirika hayo yamesema, agizo hilo litakuwa na athari kubwa sana kwa raia masikini wa Somalia, kwa sababu wao hutegemea fedha wanazopokea kupitia vituo hivyo kununua chakula, kulipa karo na pia kupata huduma za afya.
Serikali ya Kenya imesema imefunga vituo hivyo ili kuzuia kundi hilo la Al shabaab kupokea fedha kutoka kwa wafadhili wake katika mataifa ya kigeni

Viongozi kadhaa wa kiislamu nchini Kenya wanazuru mji wa mashariki wa Garissa ambapo wiki ilopita watu 148 waliuawa katika chuo kikuu na wapiganaji wa kundi la Alshabaab.
Wanajadiliana kuhusu vile wanavyoweza kumaliza makundi yenye misimamo mikali.
Wabunge hao na wanachama wa makundi ya kidini katika eneo hilo pia wataitembelea miji ya kazkazini mashariki kama vile Wajir na Mandera ambayo pia imeathiriwa vibaya na mashambulizi ya Al Shabaab


Mahakama moja nchini Misri imethibitisha hukumu ya kifo ya kiongozi wa kundi la Muslim Brotherhood Mohammed Badie na watu wengine 13 kwa kupanga mashambulizi dhidi ya serikali.
Pia mahakama hiyo imemfunga maisha raia mmoja mwenye uraia wa Marekani na Misri na watu wengine 36.
Badie alipewa hukumu hiyo mnamo mwezi Machi na pia anakabiliwa na mashtaka mengine.
Hatahivyo anaweza kukata rufaa dhidi ya hukumu hiyo.
Mamia ya watu wamehukumiwa kifo katika msako dhidi ya wanachama wa kundi hilo kufuatia kuondolewa kwa rais Mohammed Morsi mwaka 2013.
Hatahivyo ,kufikia sasa ni mtu mmoja pekee aliyenyongwa.
Uamuzi huo wa mahakama ulitangazwa moja kwa moja na runinga za taifa hilo.
Hukumu hizo ni za mwisho katika kesi ambayo viongozi wa kundi la Muslim Brotherhood walishtakiwa kwa kuwachochea wanachama wa kundi hilo kuanzisha ghasia dhidi ya serikali kufuatia maandamano ya mwaka 2013.

Jaji mmoja nchini Argentina ametoa agizo la kukamatwa kwa mwanamuziki Justin Bieber siku ya ijumaa akisema kuwa mwimbaji huyo alikataa kufika mbele yake kuhusiana na madai kwamba aliwaagiza walinzi wake kumshambulia mpiga picha mmoja mwaka 2013.
Jaji Alberto Julio Banos aliagiza kukamatwa kwa Bieber na walinzi wake Hugo Alcides Hesny na Terrence Reche Smalls.
Ujumbe uliotumwa kwa Bieber haukujibiwa mara moja.
Bieber anashtumiwa kwa kuwatuma walinzi hao kumshambulia mpiga picha Diego Pesoa nje ya kilabu moja ya Bueno Aires.
Msanii huyo hatahivyo hakurudi nchini Argentina ili kujibu maswali kuhusu kisa hicho.
Chini ya sheria za Argentina Bieber atakabiliwa na kifungo cha kuanzia mwezi mmoja hadi miaka sita jela iwapo atapatikana na hatia ya shtaka la kumjeruhi mpiga picha huyo.





Serikali ya Kenya imeupatia Umoja wa Mataifa makataa ya miezi mitatu kuwahamisha wakimbizi wa Somalia wapatao nusu milioni hadi nchini Somalia.
Naibu rais William Ruto amesema kuwa iwapo Umoja wa mataifa utakataa kuwahamisha wakimbizi hao, Kenya itachukua jukumu la kuwandoa.
Makataa hayo yanajiri siku kadhaa baada ya shambulizi la chuo kikuu cha Garissa ambapo takriban watu 148 waliuawa na kundi la wapiganaji wa Al-shaabab


Baadhi ya wakimbizi wamekuwa wakiishi katika kambi za Dadaab mashariki ya taifa hilo kwa zaidi ya miongo miwili.
Kenya imelishtumu kundi la Alshabaab kwa kujificha katika kambi hizo huku likiwasajili wanachama wapya.

Saudi Arabia imesema kuwa uamuzi wa Pakistan wa kutojiunga kwenye kampeni ya kijeshi inayoiongoza nchini Yemen hakutaiathiri kampeni hiyo.
Jeshi la Saudi Arabia linasema kuwa wanajeshi wa Pakistan wangesaidia tu likiongeza kuwa kampeni yake ya mashambulizi dhidi ya waasi wa Houthi inaendelea vyema.
Lakini mwandishi wa BBC mjini Riyadh anasema kuwa mashambulizi hayo yameshindwa kuzuia waasi hao kusonga mbele na uamuzi wa Pakistan wa kutoegema upande wowote ni pigo kwa Saudi Arabia
Familia za wanafunzi waliouawa katika chuo kikuu kazkazini mashariki mwa Kenya zimeenda katika eneo la mkasa ili kuitambua miili ya waliouawa.
Zaidi ya watu 140 waliuawa katika shambulizi lililotekelezwa na wapiganaji wa Al shabaab mjini Garissa siku ya alhamisi ambapo wapiganaji hao waliwatenganisha wanafunzi hao kwa misingi ya kidini kabla ya kuwaua wanafunzi wa kikristo.
Wakati huohuo mamlaka nchini Kenya imetoa mabasi ili kuwasafirisha wanafunzi walionusurika hadi makwao,huku miili ya waliofariki ikisafirishwa hadi mjini Nairobi.
Rais wa Somali Hassan Sheikh Mohamoud,amesema kuwa Somalia na Kenya lazima ziimarishe ushirikiano wao dhidi ya Ugaidi baada ya shambulizi hilo.

Picha ya kushtusha imeachiliwa kwa ulimwengu hivi karibuni picha inayomuonesha mtoto mdogo mwenye umri wa miaka mitano aliye kondeana ,aliyetelekezwa katika sehemu ya chini ya nyumba yao ,aliyefungiwa na kuachwa afe njaa na familia yake.
Tammi Bleimeyer,mwenye umri wa miaka 33,na mumewe Bradley,mwenye miaka 24, wameshtakiwa kwa kosa la kuhatarisha uhai wa mtoto wao baada ya kumkuta mtoto huyo akiwa katika hali dhoofu katika majira ya baridi ,kitongoji cha Harris, huko Texas.
Askari aliye fanikisha kupatikana kwa mtoto huyo Mark Herman,amesema kwamba amefanya kazi ya polisi katika kipindi cha miaka thelathini lakini hajawahi kushuhudia tukio lanamna hii.
Askari huyo anasema wamemkuta mtoto huyo katika hali mbaya ana njaa kali,amekondeana,amevilia damu mwilini kama aliyekuwa akipigwa ama kupitia mateso makali na ngozi yake ilionekana kama imeachana na mifupa ,ilikuwa ni hali ya kutisha sana kumwona mtoto katika hali hiyo.
Bradley alikuwa akibishana na mtoto huyo wa kambo mwenye umri wa miaka kumi na sita aliyekuwa akiwataka wazazi wa mtoto huyo kuacha kumfungia mtoto wako katika chumba cha chini ya ardhini nyumbani mwao .
Na polisi walipofika nyumbani hapo waligundua chumba kidogoo,chini ya nyumba hiyo kikiwa kimefungwa na godoro tu ndani yake na mtoto aliyeketi juu ya godoro ,ingawa mama wa kambo wa mtoto huyo alimtorosha baada ya kujua kwamba polisi wanamfuatilia, na kumkuta katika chumba cha hoteli na kumfuatilia hatimaye kumchukua mtoto huyo na kumpeleka hospitalini kwa matibabu.
Ingawa mpaka mtoto huyo anafikishwa hospitalini, sababu za kufungiwa kwa mtoto huyo hazikufahamika mara moja ,na wazazi wa mtoto huyo wamekataa kuzungumzia tukio hilo .
Baba wa mtoto huyo anashikiliwa na polisi kuhusiana na tukio hilo, na mtoto wake bado amesalia hospitalini kwa matibabu zaidi katika hospitali ya watoto iliyoko mjini Texas .

 
 
Kijiji kimoja nchini India kilichopo katika jimbo la kusini magharibi kimepiga marufuku upigaji busu wa hadharani na tabia nyengine mbaya.
Bunge la kijiji hicho kwa jina Salvador -de Mundo lililopo kilomita maili nane kutoka kazkazini mwa mji mkuu wa Goa Panaji,lilipitisha sheria hiyo kwa wingi likiwaonya watu wanaozuru eneo hilo dhidi ya vitendo kama hivyo.
''Tumeidhinisha sheria hii kufuatia malalamishi kutoka kwa wakaazi kuhusu wapenzi wanaopigana busu hadharani'',.Hii ndio hatua ya kipekee ambayo itaweza kukabiliana na tatizo hilo'',naibu chifu wa kiji hicho Reena Fernandes aliambia AFP.
Hatahivyo hakusema ni hatua gani zitachukuliwa dhidi ya wakiukaji wa sheria hiyo.


Aliyewahi kuwa mwanasheria wa Daktari wa Osama bin Laden, Samiullah Afridi ameuawa kwa kupigwa risasi huko Pakistan.
Mtu aliyekuwa na silaha alimmshambulia Samiullah Afridi ambaye alikuwa ndani ya gari lake akiendesha eneo la Peshawar.
Samiullah Afridi alikuwa mmoja wa wanasheria wa Dr.Shakeel Afridi ambaye ndiye aliyefichua siri kwa Marekani juu ya wapi alikokuwa Ossama Bin Laden ambaye alikuwa mafichoni huko Pakistani kwa takribani miaka minne.
Dr Afridi wakati anauawa alikuwa katima matembezi alifungwa kifungo cha muda mrefu.Kundi la Talbani limekiri kutekeleza mauaji hayo.

Rais wa Tunisia, Beji Caib Essebsi, amesema nchi yake imo vitani na ugaidi baada ya wanaume waliojihami kwa bunduki kuwaua watalii wa kigeni wapatao 17 na raia wawili katika shambulio katika makavazi mjini Tunis.
Kiongozi huyo amesema nchi yake itakabiliana pasi kuyasamehe na alichokitaja kama makundi madogo ya kishetani.
Washambuliaji hao waliwapiga risasi wageni kutoka Japan, Colombia, Australia, Italia na Uhispania kabla ya kuuawa na maafisa wa usalama.
Rais Beji Caid Essebsi amesema Tunisia ililazimika kupambana na magaidi waliokuwa wanahatarisha usalama wa nchi.

Kila wakati inadhaniwa kuwa ni dhana tu juu ya kile kinachozungumzwa juu ya Kim Kardashian ,ingawa ilikuwa ni uvumi lakini sasa imethibitika.
“Kim Kardashian amekuwa akizungumzia sana suala la majaribio yake ya kutafuta mtoto mpya ,ingawa mpaka sasa bado hajabeba ujauzito,na sasa ameamua kupumzika katika majaribio yake ya kutafuta mtoto .Kim ambaye ana umri wa miaka thelathini na minne ana kiu kubwa ya kuiongeza familia yake iwe kubwa,lakini baada ya majaribio yake kushindwa amekubali kwamba si kazi rahisi kupata ujauzito wa pili.
Na hii ni baada ya kukutana na wataalamu kadhaa wa masuala ya wanawake ,na akawathibitishia huwa anafanya ngono mara mia tano kwa siku,wakamtaka apumzike kwa muda na kumweleza kuwa mambo hayaendi hivyo,ulimwengu unatambua kuwa mwanamke huyo ana mvuto wa kipekee hasa katika masuala ya ngono na ana mahaba mazito kwa mumewe Kanye West.
Lakini swali la kujiuliza, katika hali ya kawaida binaadamu ana uwezo wa kufanya ngono mara mia tano kwa siku? Hili haliingii akilini inaonekana kama ni habari ya kupikwa tu na Kim hatumii via vyake vya uzazi kwa kiwango cha hali ya juu kama inavyodaiwa.

Kwa raha zake
Haijalishi Kim Kardashian ni maarufu ama si maarufu kiasi cha habari zake kuandikwa kwa kiwango kikubwa ,lakini Kim alinukuliwa akisema kuwa mtoto wao wa kike North West amepewa nyumba yao yenye thamani ya dola za kimarekani milioni ishirini iliyoko Calabasas, California.
Ndani ya jumba hilo ,mtoto huyo ametengewa chumba cha michezo ambacho anakipenda mno,na inaelezwa kuwa mtoto huyo anapenda kuwa na sehemu yake, yenye nafasi yake.
Kim aliwaambia E! Online kwamba yeye pamoja na Kanye wanalifanyia matengenezo makubwa jumba lao kwa uangalifu mkubwa,ili iwe na muonekano mpya.Na anaeleza hisia zake kwamba kuwa katika jumba hilo ni uhuru mkubwa tofauti na alivyozoea kuishi na mamake katika nyumba yenye chumba kimoja .
Hivi karibuni Kim Kardashian alishangaza ulimwengu baada ya kuubadili muonekano wake kwa kuziweka nywele zake rangi ya gold wataalamu wa masuala ya saluni wenyewe wanaita blonde. Na inasemekana mtaalamu wa vipodozi Joyce Bonellindiye aliyemvutia na kuyafanya maamuzi hayo ya kuubadili muonekano wake. Wengine wanadhani anamuiga Madonna alipokuwa katika umri mdogo.haijalishi watu wanafikiria nini juu ya Kim,mwanamke huyo amekuwa gumzo na mvuto wa kipekee ulimwenguni na kufuatiliwa kila uchao na mamilioni ya watu kwa chochote afanyacho ,iwe wanapenda ama hawapendi.

Balozi wa Marekani katika umoja wa mataifa anasema kuwa karibia misikiti yote katika jamhuri ya Afrika ya kati imeharibiwa wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe viliovyoanza miaka miwili iliopita.
Samantha Power ambaye alilitembelea taifa hilo wiki iliopita amesema kuwa ni misikiti 19 pekee kati ya 436 iliosalia.
Vita vingi vimekuwa kati ya waislamu na wakristo.
Bi Power ameonyesha wasiwasi kuhusu ukosefu wa usalama huku vikosi vya Ufaransa na vile vya muungano wa Ulaya vikiondoka nchini humo kabla ya kikosi kamili cha Umoja wa mataifa kupelekwa.


Kaunti ya Elgeyo Marakwet nchini Kenya inakabiliwa na changamoto kubwa ya wauguzi katika kituo cha Afya cha Simbeiwe, lakini changamoto hiyo inatokana na ishu ambayo imelalamikiwa sana na wahudumu wa afya ambao huwa wanapelekwa maeneo hayo.
Wahudumu wanaopangiwa kufanya kazi katika kituo hicho wanalalamika kwamba eneo hilo lina matukio ambayo yanahusishwa na imani za kishirikina.
Mmoja wa wauguzi aliyeacha kazi katika kituo hicho anasema alikutana na maajabu ya zimwi lililomning’iniza mtoto mdogo hewani bila kumshika wakati alipokuwa akijitayarisha kumchoma sindano mtoto huyo.
Waziri wa Afya katika kaunti hiyo, Thomas Ruto amesema wanatafuta wahudumu wa afya ambao wataweza kuhimili kazi katika mazingira kama hayo.
Kiongozi mwingine amepingana na taarifa kwamba kuna ishu ya uchawi kuwepo maeneo hayo, anasema uchawi ulikuwepo zamani ila kwa sasa haupo.

Rais Obama ameonya kuwa mabadiliko ya hali ya hewa hayawezi tena kukanushwa au kudharauliwa, na amesema ndio tishio kubwa kabisa linalokabili dunia.
Katika hotuba yake ya kila juma, Rais Obama alisema anataka aweze kuwatazama watoto na wajuukuu wake machoni na kusema kuwa kila liwezalo limefanywa kupambana na msukosuko huo.
Bwana Obama hivi karibuni aliahidi kupunguza sana kiwango cha gesi inayozidisha joto inayotolewa na Marekani - kiwango cha pili kikubwa kabisa duniani - kabla ya mkutano wa viongozi wa dunia mwezi wa Disemba.
Mipango yake inapingwa vikali na wanasiasa wengi wa chama cha Republican ambao wanadai kuwa itaumiza makampuni ya Marekani


Google yapewa wiki 10 kujibu malalamishi

18 Aprili 2015 Imebadilishwa mwisho saa 09:34 GMT
Habari kuu ya teknolojia wiki hii ni le ya muungano wa ulaya uliolalamika kwamba Kampuni ya Google ilikuwa ikijipendelea zaidi katika soko lake.Google sasa ina wiki kumi kujibu malalamishi hayo licha ya kusema kuwa haikubaliani na madai hayo na kwamba iikuwa ikijiandaa kujitetea

List nzima hii hapa!
Alexis Sanchez (AFC)
Diego Costa (CFC)
Philippe Coutinho (LFC)
David De Gea (MUFC)
Eden Hazard (CFC)
Harry Kane (THFC)
MUHIMU: Ukiwa kama mdau wa michezo nawe una nafasi ya kutoa maoni yako! Tupia jina la mchezaji unayeona anastahili kuchukua tuzo hii hapo chini kwa comment box tafadhali!
Wataalam wa masuala ya uchumi wamesema kuwa China inakabiliwa na wimbi la kushuka kwa ukuaji wa uchumi wa taifa hilo la pili duniani katika kasi ya kukua kiuchumi.
Kiwango cha ukuaji wa uchumi wa taifa hilo kwa mwaka cha asilimia saba katika miezi mitatu ya mwanzo,ikilinganishwa na miezi hiyo hiyo mwakajana inaonyesha kushuka kwa kasi ya ukuaji wa uchumi wa China katika miaka sita mfululizo.
Serikali ya China inadaiwa kupunguza kasi ya ukuaji wa uchumi wa taifa lake ili kuendana na malengo ya muda mrefu ya taifa hilo katika mipango ya kiuchumi.
Lakini wataalam wa uchumi wana wasiwasi kuwa huenda uchumi wa China ukazidi kudorola hadi kufikia kiwango cha chini zaidi.


Muungano wa Ulaya umeishtaki rasmi kampuni ya google kwa utumizi m'baya wa soko lake kufuatia uchunguzi wa miaka mitano.
Kamishna wa ushindani katika muungano huo Margrethe Westager amesema kuwa ana wasiwasi kwamba kampuni hiyo ilikuwa na upendeleo ambapo ni kinyume na sheria zake za uaminifu.
Pia ilianzisha uchunguzi kuhusu mfumo wa Anrodid katka kampuni hiyo.
Kampuni hiyo ya mtandao imechukua wiki kumi ili kujibu mashtaka hayo.
Hakuna tamko lolote lililotolewa na kampuni ya Google.Muungano wa Ulaya huenda ukaipiga faini kampuni hiyo yenye thamani ya mabilioni ya dola.
Serikali ya Ufaransa imesema kuwa inangojea jibu kutoka kwa kanisa Katoliki kuhusu uajiri wa balozi wa mapenzi ya jinsia moja katika makao makuu ya kanisa hilo mjini Vatican.
Msemaji wa serikali hiyo amesema kuwa Ufaransa haitaondoa uteuzi wake wa Laurent Stefanini ambao ulifanywa mwezi Januari.
Waangalizi wanasema kuwa uteuzi wowote unaofanywa na kanisa katoliki huthibitishwa kati ya mda wa wiki sita na kwamba kimya hicho kikuu kinaamaanisha kwamba uteuzi huo umekataliwa.
Uteuzi huo unaonekana kama mtihani kwa upande wa Papa francis ambaye amekuwa na msimamo ulio huru kuhusiana na wapenzi wa jinsia moja.


Mashirika ya kimataifa ya kutoa misaada ya kibinadam, yameonya kuwa huenda yakalazimika kusitisha shughuli zao zote nchini Somalia, ikiwa Kenya itabadili uamuzi wake wa kufunga vituo vya kutuma na kubadilisha sarafu za kigeni maarufu kama hawala, kufuatia shambulio lililofanywa na wapiganaji wa Al shabaab, katika chuo kimoja kikuu mjini Garissa.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa mashirika kumi na tano ya misaada, mashirika hayo hutumia vituo hivyo kutuma pesa nchini Somalia na kulipa mishahara na kodi kwa wafanyakazi wake.
Mashirika hayo yamesema, agizo hilo litakuwa na athari kubwa sana kwa raia masikini wa Somalia, kwa sababu wao hutegemea fedha wanazopokea kupitia vituo hivyo kununua chakula, kulipa karo na pia kupata huduma za afya.
Serikali ya Kenya imesema imefunga vituo hivyo ili kuzuia kundi hilo la Al shabaab kupokea fedha kutoka kwa wafadhili wake katika mataifa ya kigeni

Viongozi kadhaa wa kiislamu nchini Kenya wanazuru mji wa mashariki wa Garissa ambapo wiki ilopita watu 148 waliuawa katika chuo kikuu na wapiganaji wa kundi la Alshabaab.
Wanajadiliana kuhusu vile wanavyoweza kumaliza makundi yenye misimamo mikali.
Wabunge hao na wanachama wa makundi ya kidini katika eneo hilo pia wataitembelea miji ya kazkazini mashariki kama vile Wajir na Mandera ambayo pia imeathiriwa vibaya na mashambulizi ya Al Shabaab


Mahakama moja nchini Misri imethibitisha hukumu ya kifo ya kiongozi wa kundi la Muslim Brotherhood Mohammed Badie na watu wengine 13 kwa kupanga mashambulizi dhidi ya serikali.
Pia mahakama hiyo imemfunga maisha raia mmoja mwenye uraia wa Marekani na Misri na watu wengine 36.
Badie alipewa hukumu hiyo mnamo mwezi Machi na pia anakabiliwa na mashtaka mengine.
Hatahivyo anaweza kukata rufaa dhidi ya hukumu hiyo.
Mamia ya watu wamehukumiwa kifo katika msako dhidi ya wanachama wa kundi hilo kufuatia kuondolewa kwa rais Mohammed Morsi mwaka 2013.
Hatahivyo ,kufikia sasa ni mtu mmoja pekee aliyenyongwa.
Uamuzi huo wa mahakama ulitangazwa moja kwa moja na runinga za taifa hilo.
Hukumu hizo ni za mwisho katika kesi ambayo viongozi wa kundi la Muslim Brotherhood walishtakiwa kwa kuwachochea wanachama wa kundi hilo kuanzisha ghasia dhidi ya serikali kufuatia maandamano ya mwaka 2013.

Jaji mmoja nchini Argentina ametoa agizo la kukamatwa kwa mwanamuziki Justin Bieber siku ya ijumaa akisema kuwa mwimbaji huyo alikataa kufika mbele yake kuhusiana na madai kwamba aliwaagiza walinzi wake kumshambulia mpiga picha mmoja mwaka 2013.
Jaji Alberto Julio Banos aliagiza kukamatwa kwa Bieber na walinzi wake Hugo Alcides Hesny na Terrence Reche Smalls.
Ujumbe uliotumwa kwa Bieber haukujibiwa mara moja.
Bieber anashtumiwa kwa kuwatuma walinzi hao kumshambulia mpiga picha Diego Pesoa nje ya kilabu moja ya Bueno Aires.
Msanii huyo hatahivyo hakurudi nchini Argentina ili kujibu maswali kuhusu kisa hicho.
Chini ya sheria za Argentina Bieber atakabiliwa na kifungo cha kuanzia mwezi mmoja hadi miaka sita jela iwapo atapatikana na hatia ya shtaka la kumjeruhi mpiga picha huyo.





Serikali ya Kenya imeupatia Umoja wa Mataifa makataa ya miezi mitatu kuwahamisha wakimbizi wa Somalia wapatao nusu milioni hadi nchini Somalia.
Naibu rais William Ruto amesema kuwa iwapo Umoja wa mataifa utakataa kuwahamisha wakimbizi hao, Kenya itachukua jukumu la kuwandoa.
Makataa hayo yanajiri siku kadhaa baada ya shambulizi la chuo kikuu cha Garissa ambapo takriban watu 148 waliuawa na kundi la wapiganaji wa Al-shaabab


Baadhi ya wakimbizi wamekuwa wakiishi katika kambi za Dadaab mashariki ya taifa hilo kwa zaidi ya miongo miwili.
Kenya imelishtumu kundi la Alshabaab kwa kujificha katika kambi hizo huku likiwasajili wanachama wapya.

Saudi Arabia imesema kuwa uamuzi wa Pakistan wa kutojiunga kwenye kampeni ya kijeshi inayoiongoza nchini Yemen hakutaiathiri kampeni hiyo.
Jeshi la Saudi Arabia linasema kuwa wanajeshi wa Pakistan wangesaidia tu likiongeza kuwa kampeni yake ya mashambulizi dhidi ya waasi wa Houthi inaendelea vyema.
Lakini mwandishi wa BBC mjini Riyadh anasema kuwa mashambulizi hayo yameshindwa kuzuia waasi hao kusonga mbele na uamuzi wa Pakistan wa kutoegema upande wowote ni pigo kwa Saudi Arabia
Familia za wanafunzi waliouawa katika chuo kikuu kazkazini mashariki mwa Kenya zimeenda katika eneo la mkasa ili kuitambua miili ya waliouawa.
Zaidi ya watu 140 waliuawa katika shambulizi lililotekelezwa na wapiganaji wa Al shabaab mjini Garissa siku ya alhamisi ambapo wapiganaji hao waliwatenganisha wanafunzi hao kwa misingi ya kidini kabla ya kuwaua wanafunzi wa kikristo.
Wakati huohuo mamlaka nchini Kenya imetoa mabasi ili kuwasafirisha wanafunzi walionusurika hadi makwao,huku miili ya waliofariki ikisafirishwa hadi mjini Nairobi.
Rais wa Somali Hassan Sheikh Mohamoud,amesema kuwa Somalia na Kenya lazima ziimarishe ushirikiano wao dhidi ya Ugaidi baada ya shambulizi hilo.

Picha ya kushtusha imeachiliwa kwa ulimwengu hivi karibuni picha inayomuonesha mtoto mdogo mwenye umri wa miaka mitano aliye kondeana ,aliyetelekezwa katika sehemu ya chini ya nyumba yao ,aliyefungiwa na kuachwa afe njaa na familia yake.
Tammi Bleimeyer,mwenye umri wa miaka 33,na mumewe Bradley,mwenye miaka 24, wameshtakiwa kwa kosa la kuhatarisha uhai wa mtoto wao baada ya kumkuta mtoto huyo akiwa katika hali dhoofu katika majira ya baridi ,kitongoji cha Harris, huko Texas.
Askari aliye fanikisha kupatikana kwa mtoto huyo Mark Herman,amesema kwamba amefanya kazi ya polisi katika kipindi cha miaka thelathini lakini hajawahi kushuhudia tukio lanamna hii.
Askari huyo anasema wamemkuta mtoto huyo katika hali mbaya ana njaa kali,amekondeana,amevilia damu mwilini kama aliyekuwa akipigwa ama kupitia mateso makali na ngozi yake ilionekana kama imeachana na mifupa ,ilikuwa ni hali ya kutisha sana kumwona mtoto katika hali hiyo.
Bradley alikuwa akibishana na mtoto huyo wa kambo mwenye umri wa miaka kumi na sita aliyekuwa akiwataka wazazi wa mtoto huyo kuacha kumfungia mtoto wako katika chumba cha chini ya ardhini nyumbani mwao .
Na polisi walipofika nyumbani hapo waligundua chumba kidogoo,chini ya nyumba hiyo kikiwa kimefungwa na godoro tu ndani yake na mtoto aliyeketi juu ya godoro ,ingawa mama wa kambo wa mtoto huyo alimtorosha baada ya kujua kwamba polisi wanamfuatilia, na kumkuta katika chumba cha hoteli na kumfuatilia hatimaye kumchukua mtoto huyo na kumpeleka hospitalini kwa matibabu.
Ingawa mpaka mtoto huyo anafikishwa hospitalini, sababu za kufungiwa kwa mtoto huyo hazikufahamika mara moja ,na wazazi wa mtoto huyo wamekataa kuzungumzia tukio hilo .
Baba wa mtoto huyo anashikiliwa na polisi kuhusiana na tukio hilo, na mtoto wake bado amesalia hospitalini kwa matibabu zaidi katika hospitali ya watoto iliyoko mjini Texas .

 
 
Kijiji kimoja nchini India kilichopo katika jimbo la kusini magharibi kimepiga marufuku upigaji busu wa hadharani na tabia nyengine mbaya.
Bunge la kijiji hicho kwa jina Salvador -de Mundo lililopo kilomita maili nane kutoka kazkazini mwa mji mkuu wa Goa Panaji,lilipitisha sheria hiyo kwa wingi likiwaonya watu wanaozuru eneo hilo dhidi ya vitendo kama hivyo.
''Tumeidhinisha sheria hii kufuatia malalamishi kutoka kwa wakaazi kuhusu wapenzi wanaopigana busu hadharani'',.Hii ndio hatua ya kipekee ambayo itaweza kukabiliana na tatizo hilo'',naibu chifu wa kiji hicho Reena Fernandes aliambia AFP.
Hatahivyo hakusema ni hatua gani zitachukuliwa dhidi ya wakiukaji wa sheria hiyo.


Aliyewahi kuwa mwanasheria wa Daktari wa Osama bin Laden, Samiullah Afridi ameuawa kwa kupigwa risasi huko Pakistan.
Mtu aliyekuwa na silaha alimmshambulia Samiullah Afridi ambaye alikuwa ndani ya gari lake akiendesha eneo la Peshawar.
Samiullah Afridi alikuwa mmoja wa wanasheria wa Dr.Shakeel Afridi ambaye ndiye aliyefichua siri kwa Marekani juu ya wapi alikokuwa Ossama Bin Laden ambaye alikuwa mafichoni huko Pakistani kwa takribani miaka minne.
Dr Afridi wakati anauawa alikuwa katima matembezi alifungwa kifungo cha muda mrefu.Kundi la Talbani limekiri kutekeleza mauaji hayo.

Rais wa Tunisia, Beji Caib Essebsi, amesema nchi yake imo vitani na ugaidi baada ya wanaume waliojihami kwa bunduki kuwaua watalii wa kigeni wapatao 17 na raia wawili katika shambulio katika makavazi mjini Tunis.
Kiongozi huyo amesema nchi yake itakabiliana pasi kuyasamehe na alichokitaja kama makundi madogo ya kishetani.
Washambuliaji hao waliwapiga risasi wageni kutoka Japan, Colombia, Australia, Italia na Uhispania kabla ya kuuawa na maafisa wa usalama.
Rais Beji Caid Essebsi amesema Tunisia ililazimika kupambana na magaidi waliokuwa wanahatarisha usalama wa nchi.

Kila wakati inadhaniwa kuwa ni dhana tu juu ya kile kinachozungumzwa juu ya Kim Kardashian ,ingawa ilikuwa ni uvumi lakini sasa imethibitika.
“Kim Kardashian amekuwa akizungumzia sana suala la majaribio yake ya kutafuta mtoto mpya ,ingawa mpaka sasa bado hajabeba ujauzito,na sasa ameamua kupumzika katika majaribio yake ya kutafuta mtoto .Kim ambaye ana umri wa miaka thelathini na minne ana kiu kubwa ya kuiongeza familia yake iwe kubwa,lakini baada ya majaribio yake kushindwa amekubali kwamba si kazi rahisi kupata ujauzito wa pili.
Na hii ni baada ya kukutana na wataalamu kadhaa wa masuala ya wanawake ,na akawathibitishia huwa anafanya ngono mara mia tano kwa siku,wakamtaka apumzike kwa muda na kumweleza kuwa mambo hayaendi hivyo,ulimwengu unatambua kuwa mwanamke huyo ana mvuto wa kipekee hasa katika masuala ya ngono na ana mahaba mazito kwa mumewe Kanye West.
Lakini swali la kujiuliza, katika hali ya kawaida binaadamu ana uwezo wa kufanya ngono mara mia tano kwa siku? Hili haliingii akilini inaonekana kama ni habari ya kupikwa tu na Kim hatumii via vyake vya uzazi kwa kiwango cha hali ya juu kama inavyodaiwa.

Kwa raha zake
Haijalishi Kim Kardashian ni maarufu ama si maarufu kiasi cha habari zake kuandikwa kwa kiwango kikubwa ,lakini Kim alinukuliwa akisema kuwa mtoto wao wa kike North West amepewa nyumba yao yenye thamani ya dola za kimarekani milioni ishirini iliyoko Calabasas, California.
Ndani ya jumba hilo ,mtoto huyo ametengewa chumba cha michezo ambacho anakipenda mno,na inaelezwa kuwa mtoto huyo anapenda kuwa na sehemu yake, yenye nafasi yake.
Kim aliwaambia E! Online kwamba yeye pamoja na Kanye wanalifanyia matengenezo makubwa jumba lao kwa uangalifu mkubwa,ili iwe na muonekano mpya.Na anaeleza hisia zake kwamba kuwa katika jumba hilo ni uhuru mkubwa tofauti na alivyozoea kuishi na mamake katika nyumba yenye chumba kimoja .
Hivi karibuni Kim Kardashian alishangaza ulimwengu baada ya kuubadili muonekano wake kwa kuziweka nywele zake rangi ya gold wataalamu wa masuala ya saluni wenyewe wanaita blonde. Na inasemekana mtaalamu wa vipodozi Joyce Bonellindiye aliyemvutia na kuyafanya maamuzi hayo ya kuubadili muonekano wake. Wengine wanadhani anamuiga Madonna alipokuwa katika umri mdogo.haijalishi watu wanafikiria nini juu ya Kim,mwanamke huyo amekuwa gumzo na mvuto wa kipekee ulimwenguni na kufuatiliwa kila uchao na mamilioni ya watu kwa chochote afanyacho ,iwe wanapenda ama hawapendi.

Balozi wa Marekani katika umoja wa mataifa anasema kuwa karibia misikiti yote katika jamhuri ya Afrika ya kati imeharibiwa wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe viliovyoanza miaka miwili iliopita.
Samantha Power ambaye alilitembelea taifa hilo wiki iliopita amesema kuwa ni misikiti 19 pekee kati ya 436 iliosalia.
Vita vingi vimekuwa kati ya waislamu na wakristo.
Bi Power ameonyesha wasiwasi kuhusu ukosefu wa usalama huku vikosi vya Ufaransa na vile vya muungano wa Ulaya vikiondoka nchini humo kabla ya kikosi kamili cha Umoja wa mataifa kupelekwa.


Kaunti ya Elgeyo Marakwet nchini Kenya inakabiliwa na changamoto kubwa ya wauguzi katika kituo cha Afya cha Simbeiwe, lakini changamoto hiyo inatokana na ishu ambayo imelalamikiwa sana na wahudumu wa afya ambao huwa wanapelekwa maeneo hayo.
Wahudumu wanaopangiwa kufanya kazi katika kituo hicho wanalalamika kwamba eneo hilo lina matukio ambayo yanahusishwa na imani za kishirikina.
Mmoja wa wauguzi aliyeacha kazi katika kituo hicho anasema alikutana na maajabu ya zimwi lililomning’iniza mtoto mdogo hewani bila kumshika wakati alipokuwa akijitayarisha kumchoma sindano mtoto huyo.
Waziri wa Afya katika kaunti hiyo, Thomas Ruto amesema wanatafuta wahudumu wa afya ambao wataweza kuhimili kazi katika mazingira kama hayo.
Kiongozi mwingine amepingana na taarifa kwamba kuna ishu ya uchawi kuwepo maeneo hayo, anasema uchawi ulikuwepo zamani ila kwa sasa haupo.

Rais Obama ameonya kuwa mabadiliko ya hali ya hewa hayawezi tena kukanushwa au kudharauliwa, na amesema ndio tishio kubwa kabisa linalokabili dunia.
Katika hotuba yake ya kila juma, Rais Obama alisema anataka aweze kuwatazama watoto na wajuukuu wake machoni na kusema kuwa kila liwezalo limefanywa kupambana na msukosuko huo.
Bwana Obama hivi karibuni aliahidi kupunguza sana kiwango cha gesi inayozidisha joto inayotolewa na Marekani - kiwango cha pili kikubwa kabisa duniani - kabla ya mkutano wa viongozi wa dunia mwezi wa Disemba.
Mipango yake inapingwa vikali na wanasiasa wengi wa chama cha Republican ambao wanadai kuwa itaumiza makampuni ya Marekani


Google yapewa wiki 10 kujibu malalamishi

18 Aprili 2015 Imebadilishwa mwisho saa 09:34 GMT
Habari kuu ya teknolojia wiki hii ni le ya muungano wa ulaya uliolalamika kwamba Kampuni ya Google ilikuwa ikijipendelea zaidi katika soko lake.Google sasa ina wiki kumi kujibu malalamishi hayo licha ya kusema kuwa haikubaliani na madai hayo na kwamba iikuwa ikijiandaa kujitetea

List nzima hii hapa!
Alexis Sanchez (AFC)
Diego Costa (CFC)
Philippe Coutinho (LFC)
David De Gea (MUFC)
Eden Hazard (CFC)
Harry Kane (THFC)
MUHIMU: Ukiwa kama mdau wa michezo nawe una nafasi ya kutoa maoni yako! Tupia jina la mchezaji unayeona anastahili kuchukua tuzo hii hapo chini kwa comment box tafadhali!
Wataalam wa masuala ya uchumi wamesema kuwa China inakabiliwa na wimbi la kushuka kwa ukuaji wa uchumi wa taifa hilo la pili duniani katika kasi ya kukua kiuchumi.
Kiwango cha ukuaji wa uchumi wa taifa hilo kwa mwaka cha asilimia saba katika miezi mitatu ya mwanzo,ikilinganishwa na miezi hiyo hiyo mwakajana inaonyesha kushuka kwa kasi ya ukuaji wa uchumi wa China katika miaka sita mfululizo.
Serikali ya China inadaiwa kupunguza kasi ya ukuaji wa uchumi wa taifa lake ili kuendana na malengo ya muda mrefu ya taifa hilo katika mipango ya kiuchumi.
Lakini wataalam wa uchumi wana wasiwasi kuwa huenda uchumi wa China ukazidi kudorola hadi kufikia kiwango cha chini zaidi.


Muungano wa Ulaya umeishtaki rasmi kampuni ya google kwa utumizi m'baya wa soko lake kufuatia uchunguzi wa miaka mitano.
Kamishna wa ushindani katika muungano huo Margrethe Westager amesema kuwa ana wasiwasi kwamba kampuni hiyo ilikuwa na upendeleo ambapo ni kinyume na sheria zake za uaminifu.
Pia ilianzisha uchunguzi kuhusu mfumo wa Anrodid katka kampuni hiyo.
Kampuni hiyo ya mtandao imechukua wiki kumi ili kujibu mashtaka hayo.
Hakuna tamko lolote lililotolewa na kampuni ya Google.Muungano wa Ulaya huenda ukaipiga faini kampuni hiyo yenye thamani ya mabilioni ya dola.
Serikali ya Ufaransa imesema kuwa inangojea jibu kutoka kwa kanisa Katoliki kuhusu uajiri wa balozi wa mapenzi ya jinsia moja katika makao makuu ya kanisa hilo mjini Vatican.
Msemaji wa serikali hiyo amesema kuwa Ufaransa haitaondoa uteuzi wake wa Laurent Stefanini ambao ulifanywa mwezi Januari.
Waangalizi wanasema kuwa uteuzi wowote unaofanywa na kanisa katoliki huthibitishwa kati ya mda wa wiki sita na kwamba kimya hicho kikuu kinaamaanisha kwamba uteuzi huo umekataliwa.
Uteuzi huo unaonekana kama mtihani kwa upande wa Papa francis ambaye amekuwa na msimamo ulio huru kuhusiana na wapenzi wa jinsia moja.


Mashirika ya kimataifa ya kutoa misaada ya kibinadam, yameonya kuwa huenda yakalazimika kusitisha shughuli zao zote nchini Somalia, ikiwa Kenya itabadili uamuzi wake wa kufunga vituo vya kutuma na kubadilisha sarafu za kigeni maarufu kama hawala, kufuatia shambulio lililofanywa na wapiganaji wa Al shabaab, katika chuo kimoja kikuu mjini Garissa.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa mashirika kumi na tano ya misaada, mashirika hayo hutumia vituo hivyo kutuma pesa nchini Somalia na kulipa mishahara na kodi kwa wafanyakazi wake.
Mashirika hayo yamesema, agizo hilo litakuwa na athari kubwa sana kwa raia masikini wa Somalia, kwa sababu wao hutegemea fedha wanazopokea kupitia vituo hivyo kununua chakula, kulipa karo na pia kupata huduma za afya.
Serikali ya Kenya imesema imefunga vituo hivyo ili kuzuia kundi hilo la Al shabaab kupokea fedha kutoka kwa wafadhili wake katika mataifa ya kigeni

Viongozi kadhaa wa kiislamu nchini Kenya wanazuru mji wa mashariki wa Garissa ambapo wiki ilopita watu 148 waliuawa katika chuo kikuu na wapiganaji wa kundi la Alshabaab.
Wanajadiliana kuhusu vile wanavyoweza kumaliza makundi yenye misimamo mikali.
Wabunge hao na wanachama wa makundi ya kidini katika eneo hilo pia wataitembelea miji ya kazkazini mashariki kama vile Wajir na Mandera ambayo pia imeathiriwa vibaya na mashambulizi ya Al Shabaab


Mahakama moja nchini Misri imethibitisha hukumu ya kifo ya kiongozi wa kundi la Muslim Brotherhood Mohammed Badie na watu wengine 13 kwa kupanga mashambulizi dhidi ya serikali.
Pia mahakama hiyo imemfunga maisha raia mmoja mwenye uraia wa Marekani na Misri na watu wengine 36.
Badie alipewa hukumu hiyo mnamo mwezi Machi na pia anakabiliwa na mashtaka mengine.
Hatahivyo anaweza kukata rufaa dhidi ya hukumu hiyo.
Mamia ya watu wamehukumiwa kifo katika msako dhidi ya wanachama wa kundi hilo kufuatia kuondolewa kwa rais Mohammed Morsi mwaka 2013.
Hatahivyo ,kufikia sasa ni mtu mmoja pekee aliyenyongwa.
Uamuzi huo wa mahakama ulitangazwa moja kwa moja na runinga za taifa hilo.
Hukumu hizo ni za mwisho katika kesi ambayo viongozi wa kundi la Muslim Brotherhood walishtakiwa kwa kuwachochea wanachama wa kundi hilo kuanzisha ghasia dhidi ya serikali kufuatia maandamano ya mwaka 2013.

Jaji mmoja nchini Argentina ametoa agizo la kukamatwa kwa mwanamuziki Justin Bieber siku ya ijumaa akisema kuwa mwimbaji huyo alikataa kufika mbele yake kuhusiana na madai kwamba aliwaagiza walinzi wake kumshambulia mpiga picha mmoja mwaka 2013.
Jaji Alberto Julio Banos aliagiza kukamatwa kwa Bieber na walinzi wake Hugo Alcides Hesny na Terrence Reche Smalls.
Ujumbe uliotumwa kwa Bieber haukujibiwa mara moja.
Bieber anashtumiwa kwa kuwatuma walinzi hao kumshambulia mpiga picha Diego Pesoa nje ya kilabu moja ya Bueno Aires.
Msanii huyo hatahivyo hakurudi nchini Argentina ili kujibu maswali kuhusu kisa hicho.
Chini ya sheria za Argentina Bieber atakabiliwa na kifungo cha kuanzia mwezi mmoja hadi miaka sita jela iwapo atapatikana na hatia ya shtaka la kumjeruhi mpiga picha huyo.





Serikali ya Kenya imeupatia Umoja wa Mataifa makataa ya miezi mitatu kuwahamisha wakimbizi wa Somalia wapatao nusu milioni hadi nchini Somalia.
Naibu rais William Ruto amesema kuwa iwapo Umoja wa mataifa utakataa kuwahamisha wakimbizi hao, Kenya itachukua jukumu la kuwandoa.
Makataa hayo yanajiri siku kadhaa baada ya shambulizi la chuo kikuu cha Garissa ambapo takriban watu 148 waliuawa na kundi la wapiganaji wa Al-shaabab


Baadhi ya wakimbizi wamekuwa wakiishi katika kambi za Dadaab mashariki ya taifa hilo kwa zaidi ya miongo miwili.
Kenya imelishtumu kundi la Alshabaab kwa kujificha katika kambi hizo huku likiwasajili wanachama wapya.

Saudi Arabia imesema kuwa uamuzi wa Pakistan wa kutojiunga kwenye kampeni ya kijeshi inayoiongoza nchini Yemen hakutaiathiri kampeni hiyo.
Jeshi la Saudi Arabia linasema kuwa wanajeshi wa Pakistan wangesaidia tu likiongeza kuwa kampeni yake ya mashambulizi dhidi ya waasi wa Houthi inaendelea vyema.
Lakini mwandishi wa BBC mjini Riyadh anasema kuwa mashambulizi hayo yameshindwa kuzuia waasi hao kusonga mbele na uamuzi wa Pakistan wa kutoegema upande wowote ni pigo kwa Saudi Arabia
Familia za wanafunzi waliouawa katika chuo kikuu kazkazini mashariki mwa Kenya zimeenda katika eneo la mkasa ili kuitambua miili ya waliouawa.
Zaidi ya watu 140 waliuawa katika shambulizi lililotekelezwa na wapiganaji wa Al shabaab mjini Garissa siku ya alhamisi ambapo wapiganaji hao waliwatenganisha wanafunzi hao kwa misingi ya kidini kabla ya kuwaua wanafunzi wa kikristo.
Wakati huohuo mamlaka nchini Kenya imetoa mabasi ili kuwasafirisha wanafunzi walionusurika hadi makwao,huku miili ya waliofariki ikisafirishwa hadi mjini Nairobi.
Rais wa Somali Hassan Sheikh Mohamoud,amesema kuwa Somalia na Kenya lazima ziimarishe ushirikiano wao dhidi ya Ugaidi baada ya shambulizi hilo.

Picha ya kushtusha imeachiliwa kwa ulimwengu hivi karibuni picha inayomuonesha mtoto mdogo mwenye umri wa miaka mitano aliye kondeana ,aliyetelekezwa katika sehemu ya chini ya nyumba yao ,aliyefungiwa na kuachwa afe njaa na familia yake.
Tammi Bleimeyer,mwenye umri wa miaka 33,na mumewe Bradley,mwenye miaka 24, wameshtakiwa kwa kosa la kuhatarisha uhai wa mtoto wao baada ya kumkuta mtoto huyo akiwa katika hali dhoofu katika majira ya baridi ,kitongoji cha Harris, huko Texas.
Askari aliye fanikisha kupatikana kwa mtoto huyo Mark Herman,amesema kwamba amefanya kazi ya polisi katika kipindi cha miaka thelathini lakini hajawahi kushuhudia tukio lanamna hii.
Askari huyo anasema wamemkuta mtoto huyo katika hali mbaya ana njaa kali,amekondeana,amevilia damu mwilini kama aliyekuwa akipigwa ama kupitia mateso makali na ngozi yake ilionekana kama imeachana na mifupa ,ilikuwa ni hali ya kutisha sana kumwona mtoto katika hali hiyo.
Bradley alikuwa akibishana na mtoto huyo wa kambo mwenye umri wa miaka kumi na sita aliyekuwa akiwataka wazazi wa mtoto huyo kuacha kumfungia mtoto wako katika chumba cha chini ya ardhini nyumbani mwao .
Na polisi walipofika nyumbani hapo waligundua chumba kidogoo,chini ya nyumba hiyo kikiwa kimefungwa na godoro tu ndani yake na mtoto aliyeketi juu ya godoro ,ingawa mama wa kambo wa mtoto huyo alimtorosha baada ya kujua kwamba polisi wanamfuatilia, na kumkuta katika chumba cha hoteli na kumfuatilia hatimaye kumchukua mtoto huyo na kumpeleka hospitalini kwa matibabu.
Ingawa mpaka mtoto huyo anafikishwa hospitalini, sababu za kufungiwa kwa mtoto huyo hazikufahamika mara moja ,na wazazi wa mtoto huyo wamekataa kuzungumzia tukio hilo .
Baba wa mtoto huyo anashikiliwa na polisi kuhusiana na tukio hilo, na mtoto wake bado amesalia hospitalini kwa matibabu zaidi katika hospitali ya watoto iliyoko mjini Texas .

 
 
Kijiji kimoja nchini India kilichopo katika jimbo la kusini magharibi kimepiga marufuku upigaji busu wa hadharani na tabia nyengine mbaya.
Bunge la kijiji hicho kwa jina Salvador -de Mundo lililopo kilomita maili nane kutoka kazkazini mwa mji mkuu wa Goa Panaji,lilipitisha sheria hiyo kwa wingi likiwaonya watu wanaozuru eneo hilo dhidi ya vitendo kama hivyo.
''Tumeidhinisha sheria hii kufuatia malalamishi kutoka kwa wakaazi kuhusu wapenzi wanaopigana busu hadharani'',.Hii ndio hatua ya kipekee ambayo itaweza kukabiliana na tatizo hilo'',naibu chifu wa kiji hicho Reena Fernandes aliambia AFP.
Hatahivyo hakusema ni hatua gani zitachukuliwa dhidi ya wakiukaji wa sheria hiyo.


Aliyewahi kuwa mwanasheria wa Daktari wa Osama bin Laden, Samiullah Afridi ameuawa kwa kupigwa risasi huko Pakistan.
Mtu aliyekuwa na silaha alimmshambulia Samiullah Afridi ambaye alikuwa ndani ya gari lake akiendesha eneo la Peshawar.
Samiullah Afridi alikuwa mmoja wa wanasheria wa Dr.Shakeel Afridi ambaye ndiye aliyefichua siri kwa Marekani juu ya wapi alikokuwa Ossama Bin Laden ambaye alikuwa mafichoni huko Pakistani kwa takribani miaka minne.
Dr Afridi wakati anauawa alikuwa katima matembezi alifungwa kifungo cha muda mrefu.Kundi la Talbani limekiri kutekeleza mauaji hayo.

Rais wa Tunisia, Beji Caib Essebsi, amesema nchi yake imo vitani na ugaidi baada ya wanaume waliojihami kwa bunduki kuwaua watalii wa kigeni wapatao 17 na raia wawili katika shambulio katika makavazi mjini Tunis.
Kiongozi huyo amesema nchi yake itakabiliana pasi kuyasamehe na alichokitaja kama makundi madogo ya kishetani.
Washambuliaji hao waliwapiga risasi wageni kutoka Japan, Colombia, Australia, Italia na Uhispania kabla ya kuuawa na maafisa wa usalama.
Rais Beji Caid Essebsi amesema Tunisia ililazimika kupambana na magaidi waliokuwa wanahatarisha usalama wa nchi.

Kila wakati inadhaniwa kuwa ni dhana tu juu ya kile kinachozungumzwa juu ya Kim Kardashian ,ingawa ilikuwa ni uvumi lakini sasa imethibitika.
“Kim Kardashian amekuwa akizungumzia sana suala la majaribio yake ya kutafuta mtoto mpya ,ingawa mpaka sasa bado hajabeba ujauzito,na sasa ameamua kupumzika katika majaribio yake ya kutafuta mtoto .Kim ambaye ana umri wa miaka thelathini na minne ana kiu kubwa ya kuiongeza familia yake iwe kubwa,lakini baada ya majaribio yake kushindwa amekubali kwamba si kazi rahisi kupata ujauzito wa pili.
Na hii ni baada ya kukutana na wataalamu kadhaa wa masuala ya wanawake ,na akawathibitishia huwa anafanya ngono mara mia tano kwa siku,wakamtaka apumzike kwa muda na kumweleza kuwa mambo hayaendi hivyo,ulimwengu unatambua kuwa mwanamke huyo ana mvuto wa kipekee hasa katika masuala ya ngono na ana mahaba mazito kwa mumewe Kanye West.
Lakini swali la kujiuliza, katika hali ya kawaida binaadamu ana uwezo wa kufanya ngono mara mia tano kwa siku? Hili haliingii akilini inaonekana kama ni habari ya kupikwa tu na Kim hatumii via vyake vya uzazi kwa kiwango cha hali ya juu kama inavyodaiwa.

Kwa raha zake
Haijalishi Kim Kardashian ni maarufu ama si maarufu kiasi cha habari zake kuandikwa kwa kiwango kikubwa ,lakini Kim alinukuliwa akisema kuwa mtoto wao wa kike North West amepewa nyumba yao yenye thamani ya dola za kimarekani milioni ishirini iliyoko Calabasas, California.
Ndani ya jumba hilo ,mtoto huyo ametengewa chumba cha michezo ambacho anakipenda mno,na inaelezwa kuwa mtoto huyo anapenda kuwa na sehemu yake, yenye nafasi yake.
Kim aliwaambia E! Online kwamba yeye pamoja na Kanye wanalifanyia matengenezo makubwa jumba lao kwa uangalifu mkubwa,ili iwe na muonekano mpya.Na anaeleza hisia zake kwamba kuwa katika jumba hilo ni uhuru mkubwa tofauti na alivyozoea kuishi na mamake katika nyumba yenye chumba kimoja .
Hivi karibuni Kim Kardashian alishangaza ulimwengu baada ya kuubadili muonekano wake kwa kuziweka nywele zake rangi ya gold wataalamu wa masuala ya saluni wenyewe wanaita blonde. Na inasemekana mtaalamu wa vipodozi Joyce Bonellindiye aliyemvutia na kuyafanya maamuzi hayo ya kuubadili muonekano wake. Wengine wanadhani anamuiga Madonna alipokuwa katika umri mdogo.haijalishi watu wanafikiria nini juu ya Kim,mwanamke huyo amekuwa gumzo na mvuto wa kipekee ulimwenguni na kufuatiliwa kila uchao na mamilioni ya watu kwa chochote afanyacho ,iwe wanapenda ama hawapendi.

Balozi wa Marekani katika umoja wa mataifa anasema kuwa karibia misikiti yote katika jamhuri ya Afrika ya kati imeharibiwa wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe viliovyoanza miaka miwili iliopita.
Samantha Power ambaye alilitembelea taifa hilo wiki iliopita amesema kuwa ni misikiti 19 pekee kati ya 436 iliosalia.
Vita vingi vimekuwa kati ya waislamu na wakristo.
Bi Power ameonyesha wasiwasi kuhusu ukosefu wa usalama huku vikosi vya Ufaransa na vile vya muungano wa Ulaya vikiondoka nchini humo kabla ya kikosi kamili cha Umoja wa mataifa kupelekwa.


Kaunti ya Elgeyo Marakwet nchini Kenya inakabiliwa na changamoto kubwa ya wauguzi katika kituo cha Afya cha Simbeiwe, lakini changamoto hiyo inatokana na ishu ambayo imelalamikiwa sana na wahudumu wa afya ambao huwa wanapelekwa maeneo hayo.
Wahudumu wanaopangiwa kufanya kazi katika kituo hicho wanalalamika kwamba eneo hilo lina matukio ambayo yanahusishwa na imani za kishirikina.
Mmoja wa wauguzi aliyeacha kazi katika kituo hicho anasema alikutana na maajabu ya zimwi lililomning’iniza mtoto mdogo hewani bila kumshika wakati alipokuwa akijitayarisha kumchoma sindano mtoto huyo.
Waziri wa Afya katika kaunti hiyo, Thomas Ruto amesema wanatafuta wahudumu wa afya ambao wataweza kuhimili kazi katika mazingira kama hayo.
Kiongozi mwingine amepingana na taarifa kwamba kuna ishu ya uchawi kuwepo maeneo hayo, anasema uchawi ulikuwepo zamani ila kwa sasa haupo.
Showing posts with label KIMATAIFA. Show all posts
Showing posts with label KIMATAIFA. Show all posts
Showing posts with label KIMATAIFA. Show all posts
Showing posts with label KIMATAIFA. Show all posts