Friday, March 27, 2015

Upigaji busu hadharani wapigwa marufuku
 
 
Kijiji kimoja nchini India kilichopo katika jimbo la kusini magharibi kimepiga marufuku upigaji busu wa hadharani na tabia nyengine mbaya.
Bunge la kijiji hicho kwa jina Salvador -de Mundo lililopo kilomita maili nane kutoka kazkazini mwa mji mkuu wa Goa Panaji,lilipitisha sheria hiyo kwa wingi likiwaonya watu wanaozuru eneo hilo dhidi ya vitendo kama hivyo.
''Tumeidhinisha sheria hii kufuatia malalamishi kutoka kwa wakaazi kuhusu wapenzi wanaopigana busu hadharani'',.Hii ndio hatua ya kipekee ambayo itaweza kukabiliana na tatizo hilo'',naibu chifu wa kiji hicho Reena Fernandes aliambia AFP.
Hatahivyo hakusema ni hatua gani zitachukuliwa dhidi ya wakiukaji wa sheria hiyo.

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit, sed diam nonummy nibh euismod tincidunt ut laoreet dolore magna Veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat.

0 comments:

Post a Comment

Contact Us

Phone :

+20 010 2517 8918

Address :

3rd Avenue, Upper East Side,
San Francisco

Email :

email_support@youradress.com

 
 
Kijiji kimoja nchini India kilichopo katika jimbo la kusini magharibi kimepiga marufuku upigaji busu wa hadharani na tabia nyengine mbaya.
Bunge la kijiji hicho kwa jina Salvador -de Mundo lililopo kilomita maili nane kutoka kazkazini mwa mji mkuu wa Goa Panaji,lilipitisha sheria hiyo kwa wingi likiwaonya watu wanaozuru eneo hilo dhidi ya vitendo kama hivyo.
''Tumeidhinisha sheria hii kufuatia malalamishi kutoka kwa wakaazi kuhusu wapenzi wanaopigana busu hadharani'',.Hii ndio hatua ya kipekee ambayo itaweza kukabiliana na tatizo hilo'',naibu chifu wa kiji hicho Reena Fernandes aliambia AFP.
Hatahivyo hakusema ni hatua gani zitachukuliwa dhidi ya wakiukaji wa sheria hiyo.

0 comments:

Post a Comment

 
 
Kijiji kimoja nchini India kilichopo katika jimbo la kusini magharibi kimepiga marufuku upigaji busu wa hadharani na tabia nyengine mbaya.
Bunge la kijiji hicho kwa jina Salvador -de Mundo lililopo kilomita maili nane kutoka kazkazini mwa mji mkuu wa Goa Panaji,lilipitisha sheria hiyo kwa wingi likiwaonya watu wanaozuru eneo hilo dhidi ya vitendo kama hivyo.
''Tumeidhinisha sheria hii kufuatia malalamishi kutoka kwa wakaazi kuhusu wapenzi wanaopigana busu hadharani'',.Hii ndio hatua ya kipekee ambayo itaweza kukabiliana na tatizo hilo'',naibu chifu wa kiji hicho Reena Fernandes aliambia AFP.
Hatahivyo hakusema ni hatua gani zitachukuliwa dhidi ya wakiukaji wa sheria hiyo.

0 comments:

Post a Comment

 
 
Kijiji kimoja nchini India kilichopo katika jimbo la kusini magharibi kimepiga marufuku upigaji busu wa hadharani na tabia nyengine mbaya.
Bunge la kijiji hicho kwa jina Salvador -de Mundo lililopo kilomita maili nane kutoka kazkazini mwa mji mkuu wa Goa Panaji,lilipitisha sheria hiyo kwa wingi likiwaonya watu wanaozuru eneo hilo dhidi ya vitendo kama hivyo.
''Tumeidhinisha sheria hii kufuatia malalamishi kutoka kwa wakaazi kuhusu wapenzi wanaopigana busu hadharani'',.Hii ndio hatua ya kipekee ambayo itaweza kukabiliana na tatizo hilo'',naibu chifu wa kiji hicho Reena Fernandes aliambia AFP.
Hatahivyo hakusema ni hatua gani zitachukuliwa dhidi ya wakiukaji wa sheria hiyo.

0 comments:

Post a Comment

Upigaji busu hadharani wapigwa marufuku

Upigaji busu hadharani wapigwa marufuku

 
 
Kijiji kimoja nchini India kilichopo katika jimbo la kusini magharibi kimepiga marufuku upigaji busu wa hadharani na tabia nyengine mbaya.
Bunge la kijiji hicho kwa jina Salvador -de Mundo lililopo kilomita maili nane kutoka kazkazini mwa mji mkuu wa Goa Panaji,lilipitisha sheria hiyo kwa wingi likiwaonya watu wanaozuru eneo hilo dhidi ya vitendo kama hivyo.
''Tumeidhinisha sheria hii kufuatia malalamishi kutoka kwa wakaazi kuhusu wapenzi wanaopigana busu hadharani'',.Hii ndio hatua ya kipekee ambayo itaweza kukabiliana na tatizo hilo'',naibu chifu wa kiji hicho Reena Fernandes aliambia AFP.
Hatahivyo hakusema ni hatua gani zitachukuliwa dhidi ya wakiukaji wa sheria hiyo.

0 comments:

Post a Comment

Upigaji busu hadharani wapigwa marufuku

Upigaji busu hadharani wapigwa marufuku

 
 
Kijiji kimoja nchini India kilichopo katika jimbo la kusini magharibi kimepiga marufuku upigaji busu wa hadharani na tabia nyengine mbaya.
Bunge la kijiji hicho kwa jina Salvador -de Mundo lililopo kilomita maili nane kutoka kazkazini mwa mji mkuu wa Goa Panaji,lilipitisha sheria hiyo kwa wingi likiwaonya watu wanaozuru eneo hilo dhidi ya vitendo kama hivyo.
''Tumeidhinisha sheria hii kufuatia malalamishi kutoka kwa wakaazi kuhusu wapenzi wanaopigana busu hadharani'',.Hii ndio hatua ya kipekee ambayo itaweza kukabiliana na tatizo hilo'',naibu chifu wa kiji hicho Reena Fernandes aliambia AFP.
Hatahivyo hakusema ni hatua gani zitachukuliwa dhidi ya wakiukaji wa sheria hiyo.

0 comments:

Post a Comment