Wednesday, March 18, 2015

Ni misikiti 19 pekee iliosalia CAR

Balozi wa Marekani katika umoja wa mataifa anasema kuwa karibia misikiti yote katika jamhuri ya Afrika ya kati imeharibiwa wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe viliovyoanza miaka miwili iliopita.
Samantha Power ambaye alilitembelea taifa hilo wiki iliopita amesema kuwa ni misikiti 19 pekee kati ya 436 iliosalia.
Vita vingi vimekuwa kati ya waislamu na wakristo.
Bi Power ameonyesha wasiwasi kuhusu ukosefu wa usalama huku vikosi vya Ufaransa na vile vya muungano wa Ulaya vikiondoka nchini humo kabla ya kikosi kamili cha Umoja wa mataifa kupelekwa.

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit, sed diam nonummy nibh euismod tincidunt ut laoreet dolore magna Veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat.

0 comments:

Post a Comment

Contact Us

Phone :

+20 010 2517 8918

Address :

3rd Avenue, Upper East Side,
San Francisco

Email :

email_support@youradress.com


Balozi wa Marekani katika umoja wa mataifa anasema kuwa karibia misikiti yote katika jamhuri ya Afrika ya kati imeharibiwa wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe viliovyoanza miaka miwili iliopita.
Samantha Power ambaye alilitembelea taifa hilo wiki iliopita amesema kuwa ni misikiti 19 pekee kati ya 436 iliosalia.
Vita vingi vimekuwa kati ya waislamu na wakristo.
Bi Power ameonyesha wasiwasi kuhusu ukosefu wa usalama huku vikosi vya Ufaransa na vile vya muungano wa Ulaya vikiondoka nchini humo kabla ya kikosi kamili cha Umoja wa mataifa kupelekwa.

0 comments:

Post a Comment


Balozi wa Marekani katika umoja wa mataifa anasema kuwa karibia misikiti yote katika jamhuri ya Afrika ya kati imeharibiwa wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe viliovyoanza miaka miwili iliopita.
Samantha Power ambaye alilitembelea taifa hilo wiki iliopita amesema kuwa ni misikiti 19 pekee kati ya 436 iliosalia.
Vita vingi vimekuwa kati ya waislamu na wakristo.
Bi Power ameonyesha wasiwasi kuhusu ukosefu wa usalama huku vikosi vya Ufaransa na vile vya muungano wa Ulaya vikiondoka nchini humo kabla ya kikosi kamili cha Umoja wa mataifa kupelekwa.

0 comments:

Post a Comment


Balozi wa Marekani katika umoja wa mataifa anasema kuwa karibia misikiti yote katika jamhuri ya Afrika ya kati imeharibiwa wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe viliovyoanza miaka miwili iliopita.
Samantha Power ambaye alilitembelea taifa hilo wiki iliopita amesema kuwa ni misikiti 19 pekee kati ya 436 iliosalia.
Vita vingi vimekuwa kati ya waislamu na wakristo.
Bi Power ameonyesha wasiwasi kuhusu ukosefu wa usalama huku vikosi vya Ufaransa na vile vya muungano wa Ulaya vikiondoka nchini humo kabla ya kikosi kamili cha Umoja wa mataifa kupelekwa.

0 comments:

Post a Comment

Ni misikiti 19 pekee iliosalia CAR

Ni misikiti 19 pekee iliosalia CAR


Balozi wa Marekani katika umoja wa mataifa anasema kuwa karibia misikiti yote katika jamhuri ya Afrika ya kati imeharibiwa wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe viliovyoanza miaka miwili iliopita.
Samantha Power ambaye alilitembelea taifa hilo wiki iliopita amesema kuwa ni misikiti 19 pekee kati ya 436 iliosalia.
Vita vingi vimekuwa kati ya waislamu na wakristo.
Bi Power ameonyesha wasiwasi kuhusu ukosefu wa usalama huku vikosi vya Ufaransa na vile vya muungano wa Ulaya vikiondoka nchini humo kabla ya kikosi kamili cha Umoja wa mataifa kupelekwa.

0 comments:

Post a Comment

Ni misikiti 19 pekee iliosalia CAR

Ni misikiti 19 pekee iliosalia CAR


Balozi wa Marekani katika umoja wa mataifa anasema kuwa karibia misikiti yote katika jamhuri ya Afrika ya kati imeharibiwa wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe viliovyoanza miaka miwili iliopita.
Samantha Power ambaye alilitembelea taifa hilo wiki iliopita amesema kuwa ni misikiti 19 pekee kati ya 436 iliosalia.
Vita vingi vimekuwa kati ya waislamu na wakristo.
Bi Power ameonyesha wasiwasi kuhusu ukosefu wa usalama huku vikosi vya Ufaransa na vile vya muungano wa Ulaya vikiondoka nchini humo kabla ya kikosi kamili cha Umoja wa mataifa kupelekwa.

0 comments:

Post a Comment