Monday, April 13, 2015

Sinai, Misri yashambuliwa kwa mabomu

Watu wapatao kumi na watatu wameuawa katika katika mashambulio mawili yaliyotokea kwa pamoja katika rasi ya Sinai nchini Misri.
Watu saba waliuawa na arobaini na wanne kujeruhiwa wakati bomu lililokuwa limetegwa katika gari kufyatuka katika kituo cha polisi katika mji wa al-Arish.
Mapema, saa chache bomu lililokuwa limetegwa pembeni mwa barabara liliwaua askari sita katika mji wa Sheikh Zuweid.
Kundi linalojiita "Province of Sinai" yaani Jimbo la Sinai --ambalo linachukuliwa kama tawi la Islamic State -- limesema ndilo lililofanya mashambulio yote mawili.
Wapiganaji wa kundi hili wamesema wanalipiza kisasi dhidi ya serikali ya Misri ambayo inawasaka wafuasi wa rais wa zamani wa Misri aliyeondolewa madarakani, Muhammad Morsi.

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit, sed diam nonummy nibh euismod tincidunt ut laoreet dolore magna Veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat.

0 comments:

Post a Comment

Contact Us

Phone :

+20 010 2517 8918

Address :

3rd Avenue, Upper East Side,
San Francisco

Email :

email_support@youradress.com


Watu wapatao kumi na watatu wameuawa katika katika mashambulio mawili yaliyotokea kwa pamoja katika rasi ya Sinai nchini Misri.
Watu saba waliuawa na arobaini na wanne kujeruhiwa wakati bomu lililokuwa limetegwa katika gari kufyatuka katika kituo cha polisi katika mji wa al-Arish.
Mapema, saa chache bomu lililokuwa limetegwa pembeni mwa barabara liliwaua askari sita katika mji wa Sheikh Zuweid.
Kundi linalojiita "Province of Sinai" yaani Jimbo la Sinai --ambalo linachukuliwa kama tawi la Islamic State -- limesema ndilo lililofanya mashambulio yote mawili.
Wapiganaji wa kundi hili wamesema wanalipiza kisasi dhidi ya serikali ya Misri ambayo inawasaka wafuasi wa rais wa zamani wa Misri aliyeondolewa madarakani, Muhammad Morsi.

0 comments:

Post a Comment


Watu wapatao kumi na watatu wameuawa katika katika mashambulio mawili yaliyotokea kwa pamoja katika rasi ya Sinai nchini Misri.
Watu saba waliuawa na arobaini na wanne kujeruhiwa wakati bomu lililokuwa limetegwa katika gari kufyatuka katika kituo cha polisi katika mji wa al-Arish.
Mapema, saa chache bomu lililokuwa limetegwa pembeni mwa barabara liliwaua askari sita katika mji wa Sheikh Zuweid.
Kundi linalojiita "Province of Sinai" yaani Jimbo la Sinai --ambalo linachukuliwa kama tawi la Islamic State -- limesema ndilo lililofanya mashambulio yote mawili.
Wapiganaji wa kundi hili wamesema wanalipiza kisasi dhidi ya serikali ya Misri ambayo inawasaka wafuasi wa rais wa zamani wa Misri aliyeondolewa madarakani, Muhammad Morsi.

0 comments:

Post a Comment


Watu wapatao kumi na watatu wameuawa katika katika mashambulio mawili yaliyotokea kwa pamoja katika rasi ya Sinai nchini Misri.
Watu saba waliuawa na arobaini na wanne kujeruhiwa wakati bomu lililokuwa limetegwa katika gari kufyatuka katika kituo cha polisi katika mji wa al-Arish.
Mapema, saa chache bomu lililokuwa limetegwa pembeni mwa barabara liliwaua askari sita katika mji wa Sheikh Zuweid.
Kundi linalojiita "Province of Sinai" yaani Jimbo la Sinai --ambalo linachukuliwa kama tawi la Islamic State -- limesema ndilo lililofanya mashambulio yote mawili.
Wapiganaji wa kundi hili wamesema wanalipiza kisasi dhidi ya serikali ya Misri ambayo inawasaka wafuasi wa rais wa zamani wa Misri aliyeondolewa madarakani, Muhammad Morsi.

0 comments:

Post a Comment

Sinai, Misri yashambuliwa kwa mabomu

Sinai, Misri yashambuliwa kwa mabomu


Watu wapatao kumi na watatu wameuawa katika katika mashambulio mawili yaliyotokea kwa pamoja katika rasi ya Sinai nchini Misri.
Watu saba waliuawa na arobaini na wanne kujeruhiwa wakati bomu lililokuwa limetegwa katika gari kufyatuka katika kituo cha polisi katika mji wa al-Arish.
Mapema, saa chache bomu lililokuwa limetegwa pembeni mwa barabara liliwaua askari sita katika mji wa Sheikh Zuweid.
Kundi linalojiita "Province of Sinai" yaani Jimbo la Sinai --ambalo linachukuliwa kama tawi la Islamic State -- limesema ndilo lililofanya mashambulio yote mawili.
Wapiganaji wa kundi hili wamesema wanalipiza kisasi dhidi ya serikali ya Misri ambayo inawasaka wafuasi wa rais wa zamani wa Misri aliyeondolewa madarakani, Muhammad Morsi.

0 comments:

Post a Comment

Sinai, Misri yashambuliwa kwa mabomu

Sinai, Misri yashambuliwa kwa mabomu


Watu wapatao kumi na watatu wameuawa katika katika mashambulio mawili yaliyotokea kwa pamoja katika rasi ya Sinai nchini Misri.
Watu saba waliuawa na arobaini na wanne kujeruhiwa wakati bomu lililokuwa limetegwa katika gari kufyatuka katika kituo cha polisi katika mji wa al-Arish.
Mapema, saa chache bomu lililokuwa limetegwa pembeni mwa barabara liliwaua askari sita katika mji wa Sheikh Zuweid.
Kundi linalojiita "Province of Sinai" yaani Jimbo la Sinai --ambalo linachukuliwa kama tawi la Islamic State -- limesema ndilo lililofanya mashambulio yote mawili.
Wapiganaji wa kundi hili wamesema wanalipiza kisasi dhidi ya serikali ya Misri ambayo inawasaka wafuasi wa rais wa zamani wa Misri aliyeondolewa madarakani, Muhammad Morsi.

0 comments:

Post a Comment