Serikali imekubali kuviondoa vijiji 21 vilivyo chukuliwa kuwa sehemu ya Hifadhi yaTaifa ya Ruaha wilayani N barali
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mheshimiwa LAZARO NYALANDU amesema hayo katika mkutano wa hadhara katika eneo la U baruku, wilayani Mbarali ambao kabla wananchi wamemueleza kwa kirefu kiini cha mgogoro huo na kuapa hawataruhusu hata kitongozi kimoja kuchukuliwa tena na hifadhi kwa madai kuwa maeneo yao yanachukuliwa bila kufuata sheria
0 comments:
Post a Comment