Mwenyekiti wa chama cha wananchi CUF Profesa ibrahim haruna lipumba
Mwenyekiti wa chama cha wananchi CUF Profesa ibrahim haruna lipumba na wanachama wengine 30 wafuasi wa chama hicho leo wamefikishwa katika mahakama ya hakimu mkazi kisutu jijini Dar es salaam wakishtakiwa kwa kosa la kuandamana bila kufuata utaratibu.
Baadhi ya watu waliohudhuria shauri hilo ni pamoja na makamu wa kwanza wa rais wa zanzibar na katibu mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad.
0 comments:
Post a Comment