Kiongozi wa chama cha ALLIANCE FOR CHANGE AND TRANSPARENCY (ACT)
Kiongozi wa chama cha ALLIANCE FOR CHANGE AND TRANSPARENCY (ACT) wazalendo bwana Zitto Kabwe amesema mfumo wa kiuchumi unaowabeba na kuwanufaisha watu wachache ndiyo sababu ya kuendelea kudidimia kwa uchumi wa mtu mmoja mmoja na kuongezeka kwa umaskini wa kipato licha ya uchumi wa nchi kutajwa kukua kwa asilimia saba kwa mwaka
0 comments:
Post a Comment