Sunday, April 12, 2015

Bei za umeme kushuka zaidi Julai

Dar es Salaam. Kuanzia Julai mwaka huu Watanzania wataanza kupata umeme wa uhakika na usiyo kuwa na gharama baada ya kuanza kazi kwa mtambo wa kuzalisha umeme wa gesi, utakaoingiza kwenye gridi ya Taifa megawati 150.
Hayo yalisemwa na Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco, Injinia Felchesmi Mramba wakati wa ziara ya waandishi wa habari waliotembelea mtambo wa kuzalisha umeme wa gesi wa Kinyerezi na vituo vya kupokea na kusambaza umeme vya Gongolamboto, Kipawa na Ilala City Center, vyote vya Dar es Salaam.
Alisema kuna uwezekano mkubwa wa bei za umeme kushuka, iwapo wataafikiana vizuri na wazalishaji wa umeme wa gesi.
“Ni vigumu kusema zitashuka kwa kiasi gani, lakini haziwezi kupanda,” alisema.
Mramba akiwa ameongozana na Meneja Miradi wa Tanesco, Injinia Simon Jilima, kuanza kuzalishwa kwa umeme wa gesi, tafsiri yake ni kwamba nchi haitakuwa na mgawo wa umeme, bei hazitapanda, lakini kuna uwezekano zikashuka kama gharama za uzalishaji hazitakuwa kubwa.
Alisema kukamilika kwa mtambo huo kumeenda sambamba na ujengaji wa mtandao wa vituo vya kupokea na kusambaza umeme, ambapo kwa Dar es Salaam vituo vinavyosambaza umeme wa hadi megawati 180 kwa wakati mmoja viko vine, Ubungo, Kipawa, Ilala City Center na IPTL.
Kuhusu vituo hivyo vinne na vingine vidogo, Injia Jilima alisema shirika limejenga mtandao wa kisasa wa kupokea na kusambaza umeme, ambapo kama eneo moja, mfano kituo cha Tandika kitapa hitilafu na kushindwa kusambaza umeme, wakazi wa eneo hilo wataendelea kupata umeme kutoka kituo kingine chochote, hata kilichopo Mikocheni.
Akizungumzia kupungua kwa gharama, Mramba alisema mtambo wa Kinyerezi utakapoanza wataachana na kampuni za Symbion na Aggreko, ambapo kwa kampuni ya IPTL wako kwenye mchakato wa kuanza kufua umeme kwa kutumia gesi.
Mramba alisema mtambo wa Kinyerezi utasaidia kuokoa Dola za Marekani milioni 70, ambazo Tanesco wamekuwa wakitumia kila mwezi kuzilipa kampuni hizo.
Kuhusu kuunganishia wateja wapya umeme, Mramba alisema wameanzisha program ya kuwaunganishia umeme wateja wa mijini ambapo kwa mujibu wa utafiti wao wa nchi nzima kwa maeneo ya mijini kuna wateja wapya 500,000.
Alisema program hiyo maalumun utatumia wakandarasi kuunganisha umeme kwa wateja na kwamba ndani ya miaka mitatu wateja hao watakuwa wameunganishiwa umeme, na kuanzia hapo Tanesco itakuwa na uwezo wa kuunganisha umeme kwa haraka kwa kila mteja anayeomba.

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit, sed diam nonummy nibh euismod tincidunt ut laoreet dolore magna Veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat.

0 comments:

Post a Comment

Contact Us

Phone :

+20 010 2517 8918

Address :

3rd Avenue, Upper East Side,
San Francisco

Email :

email_support@youradress.com


Dar es Salaam. Kuanzia Julai mwaka huu Watanzania wataanza kupata umeme wa uhakika na usiyo kuwa na gharama baada ya kuanza kazi kwa mtambo wa kuzalisha umeme wa gesi, utakaoingiza kwenye gridi ya Taifa megawati 150.
Hayo yalisemwa na Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco, Injinia Felchesmi Mramba wakati wa ziara ya waandishi wa habari waliotembelea mtambo wa kuzalisha umeme wa gesi wa Kinyerezi na vituo vya kupokea na kusambaza umeme vya Gongolamboto, Kipawa na Ilala City Center, vyote vya Dar es Salaam.
Alisema kuna uwezekano mkubwa wa bei za umeme kushuka, iwapo wataafikiana vizuri na wazalishaji wa umeme wa gesi.
“Ni vigumu kusema zitashuka kwa kiasi gani, lakini haziwezi kupanda,” alisema.
Mramba akiwa ameongozana na Meneja Miradi wa Tanesco, Injinia Simon Jilima, kuanza kuzalishwa kwa umeme wa gesi, tafsiri yake ni kwamba nchi haitakuwa na mgawo wa umeme, bei hazitapanda, lakini kuna uwezekano zikashuka kama gharama za uzalishaji hazitakuwa kubwa.
Alisema kukamilika kwa mtambo huo kumeenda sambamba na ujengaji wa mtandao wa vituo vya kupokea na kusambaza umeme, ambapo kwa Dar es Salaam vituo vinavyosambaza umeme wa hadi megawati 180 kwa wakati mmoja viko vine, Ubungo, Kipawa, Ilala City Center na IPTL.
Kuhusu vituo hivyo vinne na vingine vidogo, Injia Jilima alisema shirika limejenga mtandao wa kisasa wa kupokea na kusambaza umeme, ambapo kama eneo moja, mfano kituo cha Tandika kitapa hitilafu na kushindwa kusambaza umeme, wakazi wa eneo hilo wataendelea kupata umeme kutoka kituo kingine chochote, hata kilichopo Mikocheni.
Akizungumzia kupungua kwa gharama, Mramba alisema mtambo wa Kinyerezi utakapoanza wataachana na kampuni za Symbion na Aggreko, ambapo kwa kampuni ya IPTL wako kwenye mchakato wa kuanza kufua umeme kwa kutumia gesi.
Mramba alisema mtambo wa Kinyerezi utasaidia kuokoa Dola za Marekani milioni 70, ambazo Tanesco wamekuwa wakitumia kila mwezi kuzilipa kampuni hizo.
Kuhusu kuunganishia wateja wapya umeme, Mramba alisema wameanzisha program ya kuwaunganishia umeme wateja wa mijini ambapo kwa mujibu wa utafiti wao wa nchi nzima kwa maeneo ya mijini kuna wateja wapya 500,000.
Alisema program hiyo maalumun utatumia wakandarasi kuunganisha umeme kwa wateja na kwamba ndani ya miaka mitatu wateja hao watakuwa wameunganishiwa umeme, na kuanzia hapo Tanesco itakuwa na uwezo wa kuunganisha umeme kwa haraka kwa kila mteja anayeomba.

0 comments:

Post a Comment


Dar es Salaam. Kuanzia Julai mwaka huu Watanzania wataanza kupata umeme wa uhakika na usiyo kuwa na gharama baada ya kuanza kazi kwa mtambo wa kuzalisha umeme wa gesi, utakaoingiza kwenye gridi ya Taifa megawati 150.
Hayo yalisemwa na Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco, Injinia Felchesmi Mramba wakati wa ziara ya waandishi wa habari waliotembelea mtambo wa kuzalisha umeme wa gesi wa Kinyerezi na vituo vya kupokea na kusambaza umeme vya Gongolamboto, Kipawa na Ilala City Center, vyote vya Dar es Salaam.
Alisema kuna uwezekano mkubwa wa bei za umeme kushuka, iwapo wataafikiana vizuri na wazalishaji wa umeme wa gesi.
“Ni vigumu kusema zitashuka kwa kiasi gani, lakini haziwezi kupanda,” alisema.
Mramba akiwa ameongozana na Meneja Miradi wa Tanesco, Injinia Simon Jilima, kuanza kuzalishwa kwa umeme wa gesi, tafsiri yake ni kwamba nchi haitakuwa na mgawo wa umeme, bei hazitapanda, lakini kuna uwezekano zikashuka kama gharama za uzalishaji hazitakuwa kubwa.
Alisema kukamilika kwa mtambo huo kumeenda sambamba na ujengaji wa mtandao wa vituo vya kupokea na kusambaza umeme, ambapo kwa Dar es Salaam vituo vinavyosambaza umeme wa hadi megawati 180 kwa wakati mmoja viko vine, Ubungo, Kipawa, Ilala City Center na IPTL.
Kuhusu vituo hivyo vinne na vingine vidogo, Injia Jilima alisema shirika limejenga mtandao wa kisasa wa kupokea na kusambaza umeme, ambapo kama eneo moja, mfano kituo cha Tandika kitapa hitilafu na kushindwa kusambaza umeme, wakazi wa eneo hilo wataendelea kupata umeme kutoka kituo kingine chochote, hata kilichopo Mikocheni.
Akizungumzia kupungua kwa gharama, Mramba alisema mtambo wa Kinyerezi utakapoanza wataachana na kampuni za Symbion na Aggreko, ambapo kwa kampuni ya IPTL wako kwenye mchakato wa kuanza kufua umeme kwa kutumia gesi.
Mramba alisema mtambo wa Kinyerezi utasaidia kuokoa Dola za Marekani milioni 70, ambazo Tanesco wamekuwa wakitumia kila mwezi kuzilipa kampuni hizo.
Kuhusu kuunganishia wateja wapya umeme, Mramba alisema wameanzisha program ya kuwaunganishia umeme wateja wa mijini ambapo kwa mujibu wa utafiti wao wa nchi nzima kwa maeneo ya mijini kuna wateja wapya 500,000.
Alisema program hiyo maalumun utatumia wakandarasi kuunganisha umeme kwa wateja na kwamba ndani ya miaka mitatu wateja hao watakuwa wameunganishiwa umeme, na kuanzia hapo Tanesco itakuwa na uwezo wa kuunganisha umeme kwa haraka kwa kila mteja anayeomba.

0 comments:

Post a Comment


Dar es Salaam. Kuanzia Julai mwaka huu Watanzania wataanza kupata umeme wa uhakika na usiyo kuwa na gharama baada ya kuanza kazi kwa mtambo wa kuzalisha umeme wa gesi, utakaoingiza kwenye gridi ya Taifa megawati 150.
Hayo yalisemwa na Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco, Injinia Felchesmi Mramba wakati wa ziara ya waandishi wa habari waliotembelea mtambo wa kuzalisha umeme wa gesi wa Kinyerezi na vituo vya kupokea na kusambaza umeme vya Gongolamboto, Kipawa na Ilala City Center, vyote vya Dar es Salaam.
Alisema kuna uwezekano mkubwa wa bei za umeme kushuka, iwapo wataafikiana vizuri na wazalishaji wa umeme wa gesi.
“Ni vigumu kusema zitashuka kwa kiasi gani, lakini haziwezi kupanda,” alisema.
Mramba akiwa ameongozana na Meneja Miradi wa Tanesco, Injinia Simon Jilima, kuanza kuzalishwa kwa umeme wa gesi, tafsiri yake ni kwamba nchi haitakuwa na mgawo wa umeme, bei hazitapanda, lakini kuna uwezekano zikashuka kama gharama za uzalishaji hazitakuwa kubwa.
Alisema kukamilika kwa mtambo huo kumeenda sambamba na ujengaji wa mtandao wa vituo vya kupokea na kusambaza umeme, ambapo kwa Dar es Salaam vituo vinavyosambaza umeme wa hadi megawati 180 kwa wakati mmoja viko vine, Ubungo, Kipawa, Ilala City Center na IPTL.
Kuhusu vituo hivyo vinne na vingine vidogo, Injia Jilima alisema shirika limejenga mtandao wa kisasa wa kupokea na kusambaza umeme, ambapo kama eneo moja, mfano kituo cha Tandika kitapa hitilafu na kushindwa kusambaza umeme, wakazi wa eneo hilo wataendelea kupata umeme kutoka kituo kingine chochote, hata kilichopo Mikocheni.
Akizungumzia kupungua kwa gharama, Mramba alisema mtambo wa Kinyerezi utakapoanza wataachana na kampuni za Symbion na Aggreko, ambapo kwa kampuni ya IPTL wako kwenye mchakato wa kuanza kufua umeme kwa kutumia gesi.
Mramba alisema mtambo wa Kinyerezi utasaidia kuokoa Dola za Marekani milioni 70, ambazo Tanesco wamekuwa wakitumia kila mwezi kuzilipa kampuni hizo.
Kuhusu kuunganishia wateja wapya umeme, Mramba alisema wameanzisha program ya kuwaunganishia umeme wateja wa mijini ambapo kwa mujibu wa utafiti wao wa nchi nzima kwa maeneo ya mijini kuna wateja wapya 500,000.
Alisema program hiyo maalumun utatumia wakandarasi kuunganisha umeme kwa wateja na kwamba ndani ya miaka mitatu wateja hao watakuwa wameunganishiwa umeme, na kuanzia hapo Tanesco itakuwa na uwezo wa kuunganisha umeme kwa haraka kwa kila mteja anayeomba.

0 comments:

Post a Comment

Bei za umeme kushuka zaidi Julai

Bei za umeme kushuka zaidi Julai


Dar es Salaam. Kuanzia Julai mwaka huu Watanzania wataanza kupata umeme wa uhakika na usiyo kuwa na gharama baada ya kuanza kazi kwa mtambo wa kuzalisha umeme wa gesi, utakaoingiza kwenye gridi ya Taifa megawati 150.
Hayo yalisemwa na Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco, Injinia Felchesmi Mramba wakati wa ziara ya waandishi wa habari waliotembelea mtambo wa kuzalisha umeme wa gesi wa Kinyerezi na vituo vya kupokea na kusambaza umeme vya Gongolamboto, Kipawa na Ilala City Center, vyote vya Dar es Salaam.
Alisema kuna uwezekano mkubwa wa bei za umeme kushuka, iwapo wataafikiana vizuri na wazalishaji wa umeme wa gesi.
“Ni vigumu kusema zitashuka kwa kiasi gani, lakini haziwezi kupanda,” alisema.
Mramba akiwa ameongozana na Meneja Miradi wa Tanesco, Injinia Simon Jilima, kuanza kuzalishwa kwa umeme wa gesi, tafsiri yake ni kwamba nchi haitakuwa na mgawo wa umeme, bei hazitapanda, lakini kuna uwezekano zikashuka kama gharama za uzalishaji hazitakuwa kubwa.
Alisema kukamilika kwa mtambo huo kumeenda sambamba na ujengaji wa mtandao wa vituo vya kupokea na kusambaza umeme, ambapo kwa Dar es Salaam vituo vinavyosambaza umeme wa hadi megawati 180 kwa wakati mmoja viko vine, Ubungo, Kipawa, Ilala City Center na IPTL.
Kuhusu vituo hivyo vinne na vingine vidogo, Injia Jilima alisema shirika limejenga mtandao wa kisasa wa kupokea na kusambaza umeme, ambapo kama eneo moja, mfano kituo cha Tandika kitapa hitilafu na kushindwa kusambaza umeme, wakazi wa eneo hilo wataendelea kupata umeme kutoka kituo kingine chochote, hata kilichopo Mikocheni.
Akizungumzia kupungua kwa gharama, Mramba alisema mtambo wa Kinyerezi utakapoanza wataachana na kampuni za Symbion na Aggreko, ambapo kwa kampuni ya IPTL wako kwenye mchakato wa kuanza kufua umeme kwa kutumia gesi.
Mramba alisema mtambo wa Kinyerezi utasaidia kuokoa Dola za Marekani milioni 70, ambazo Tanesco wamekuwa wakitumia kila mwezi kuzilipa kampuni hizo.
Kuhusu kuunganishia wateja wapya umeme, Mramba alisema wameanzisha program ya kuwaunganishia umeme wateja wa mijini ambapo kwa mujibu wa utafiti wao wa nchi nzima kwa maeneo ya mijini kuna wateja wapya 500,000.
Alisema program hiyo maalumun utatumia wakandarasi kuunganisha umeme kwa wateja na kwamba ndani ya miaka mitatu wateja hao watakuwa wameunganishiwa umeme, na kuanzia hapo Tanesco itakuwa na uwezo wa kuunganisha umeme kwa haraka kwa kila mteja anayeomba.

0 comments:

Post a Comment

Bei za umeme kushuka zaidi Julai

Bei za umeme kushuka zaidi Julai


Dar es Salaam. Kuanzia Julai mwaka huu Watanzania wataanza kupata umeme wa uhakika na usiyo kuwa na gharama baada ya kuanza kazi kwa mtambo wa kuzalisha umeme wa gesi, utakaoingiza kwenye gridi ya Taifa megawati 150.
Hayo yalisemwa na Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco, Injinia Felchesmi Mramba wakati wa ziara ya waandishi wa habari waliotembelea mtambo wa kuzalisha umeme wa gesi wa Kinyerezi na vituo vya kupokea na kusambaza umeme vya Gongolamboto, Kipawa na Ilala City Center, vyote vya Dar es Salaam.
Alisema kuna uwezekano mkubwa wa bei za umeme kushuka, iwapo wataafikiana vizuri na wazalishaji wa umeme wa gesi.
“Ni vigumu kusema zitashuka kwa kiasi gani, lakini haziwezi kupanda,” alisema.
Mramba akiwa ameongozana na Meneja Miradi wa Tanesco, Injinia Simon Jilima, kuanza kuzalishwa kwa umeme wa gesi, tafsiri yake ni kwamba nchi haitakuwa na mgawo wa umeme, bei hazitapanda, lakini kuna uwezekano zikashuka kama gharama za uzalishaji hazitakuwa kubwa.
Alisema kukamilika kwa mtambo huo kumeenda sambamba na ujengaji wa mtandao wa vituo vya kupokea na kusambaza umeme, ambapo kwa Dar es Salaam vituo vinavyosambaza umeme wa hadi megawati 180 kwa wakati mmoja viko vine, Ubungo, Kipawa, Ilala City Center na IPTL.
Kuhusu vituo hivyo vinne na vingine vidogo, Injia Jilima alisema shirika limejenga mtandao wa kisasa wa kupokea na kusambaza umeme, ambapo kama eneo moja, mfano kituo cha Tandika kitapa hitilafu na kushindwa kusambaza umeme, wakazi wa eneo hilo wataendelea kupata umeme kutoka kituo kingine chochote, hata kilichopo Mikocheni.
Akizungumzia kupungua kwa gharama, Mramba alisema mtambo wa Kinyerezi utakapoanza wataachana na kampuni za Symbion na Aggreko, ambapo kwa kampuni ya IPTL wako kwenye mchakato wa kuanza kufua umeme kwa kutumia gesi.
Mramba alisema mtambo wa Kinyerezi utasaidia kuokoa Dola za Marekani milioni 70, ambazo Tanesco wamekuwa wakitumia kila mwezi kuzilipa kampuni hizo.
Kuhusu kuunganishia wateja wapya umeme, Mramba alisema wameanzisha program ya kuwaunganishia umeme wateja wa mijini ambapo kwa mujibu wa utafiti wao wa nchi nzima kwa maeneo ya mijini kuna wateja wapya 500,000.
Alisema program hiyo maalumun utatumia wakandarasi kuunganisha umeme kwa wateja na kwamba ndani ya miaka mitatu wateja hao watakuwa wameunganishiwa umeme, na kuanzia hapo Tanesco itakuwa na uwezo wa kuunganisha umeme kwa haraka kwa kila mteja anayeomba.

0 comments:

Post a Comment