Wednesday, March 18, 2015

WATEMWA UKUU WA WILAYA SABABU YA ULEVI
 
Dodoma. Rais Jakaya Kikwete amesema baadhi ya wakuu wa wilaya walitemwa kutokana na upungufu, ikiwa ni pamoja na madeni mitaani.
Rais alisema baadhi yao walikuwa wakienda baa wanalewa na ili kuwaondoa ilibidi wake zao waitwe kuwachukua.
Rais Kikwete alisema hayo jana mjini Dodoma alipokuwa akifungua semina elekezi kwa wakuu wa wilaya 27 wapya walioteuliwa hivi karibuni.
Februari 18 mwaka huu, Rais Kikwete alifanya mabadiliko ya wakuu wa wilaya na kutengua uteuzi wa wakuu wa wilaya 12.
Rais Kikwete alisema waliotemwa walikuwapo wenye upungufu mbalimbali na wengine walikuwa na madeni mitaani huku baadhi yao wakiwa na tatizo la ulevi kiasi kwamba wakienda baa hulewa kupita kiasi.
Aliwaasa wakuu wa wilaya wapya kuwa wengine ni wadogo kiumri lazima wafanane na madaraka waliyopewa.
“Pale ulipo ni role model (mfano wa kuigwa), lazima uwe na tabia njema kwa kauli, matendo, nidhamu na uadilifu usiotiliwa shaka,” alisema. .Rais Kikwete.

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit, sed diam nonummy nibh euismod tincidunt ut laoreet dolore magna Veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat.

0 comments:

Post a Comment

Contact Us

Phone :

+20 010 2517 8918

Address :

3rd Avenue, Upper East Side,
San Francisco

Email :

email_support@youradress.com

 
Dodoma. Rais Jakaya Kikwete amesema baadhi ya wakuu wa wilaya walitemwa kutokana na upungufu, ikiwa ni pamoja na madeni mitaani.
Rais alisema baadhi yao walikuwa wakienda baa wanalewa na ili kuwaondoa ilibidi wake zao waitwe kuwachukua.
Rais Kikwete alisema hayo jana mjini Dodoma alipokuwa akifungua semina elekezi kwa wakuu wa wilaya 27 wapya walioteuliwa hivi karibuni.
Februari 18 mwaka huu, Rais Kikwete alifanya mabadiliko ya wakuu wa wilaya na kutengua uteuzi wa wakuu wa wilaya 12.
Rais Kikwete alisema waliotemwa walikuwapo wenye upungufu mbalimbali na wengine walikuwa na madeni mitaani huku baadhi yao wakiwa na tatizo la ulevi kiasi kwamba wakienda baa hulewa kupita kiasi.
Aliwaasa wakuu wa wilaya wapya kuwa wengine ni wadogo kiumri lazima wafanane na madaraka waliyopewa.
“Pale ulipo ni role model (mfano wa kuigwa), lazima uwe na tabia njema kwa kauli, matendo, nidhamu na uadilifu usiotiliwa shaka,” alisema. .Rais Kikwete.

0 comments:

Post a Comment

 
Dodoma. Rais Jakaya Kikwete amesema baadhi ya wakuu wa wilaya walitemwa kutokana na upungufu, ikiwa ni pamoja na madeni mitaani.
Rais alisema baadhi yao walikuwa wakienda baa wanalewa na ili kuwaondoa ilibidi wake zao waitwe kuwachukua.
Rais Kikwete alisema hayo jana mjini Dodoma alipokuwa akifungua semina elekezi kwa wakuu wa wilaya 27 wapya walioteuliwa hivi karibuni.
Februari 18 mwaka huu, Rais Kikwete alifanya mabadiliko ya wakuu wa wilaya na kutengua uteuzi wa wakuu wa wilaya 12.
Rais Kikwete alisema waliotemwa walikuwapo wenye upungufu mbalimbali na wengine walikuwa na madeni mitaani huku baadhi yao wakiwa na tatizo la ulevi kiasi kwamba wakienda baa hulewa kupita kiasi.
Aliwaasa wakuu wa wilaya wapya kuwa wengine ni wadogo kiumri lazima wafanane na madaraka waliyopewa.
“Pale ulipo ni role model (mfano wa kuigwa), lazima uwe na tabia njema kwa kauli, matendo, nidhamu na uadilifu usiotiliwa shaka,” alisema. .Rais Kikwete.

0 comments:

Post a Comment

 
Dodoma. Rais Jakaya Kikwete amesema baadhi ya wakuu wa wilaya walitemwa kutokana na upungufu, ikiwa ni pamoja na madeni mitaani.
Rais alisema baadhi yao walikuwa wakienda baa wanalewa na ili kuwaondoa ilibidi wake zao waitwe kuwachukua.
Rais Kikwete alisema hayo jana mjini Dodoma alipokuwa akifungua semina elekezi kwa wakuu wa wilaya 27 wapya walioteuliwa hivi karibuni.
Februari 18 mwaka huu, Rais Kikwete alifanya mabadiliko ya wakuu wa wilaya na kutengua uteuzi wa wakuu wa wilaya 12.
Rais Kikwete alisema waliotemwa walikuwapo wenye upungufu mbalimbali na wengine walikuwa na madeni mitaani huku baadhi yao wakiwa na tatizo la ulevi kiasi kwamba wakienda baa hulewa kupita kiasi.
Aliwaasa wakuu wa wilaya wapya kuwa wengine ni wadogo kiumri lazima wafanane na madaraka waliyopewa.
“Pale ulipo ni role model (mfano wa kuigwa), lazima uwe na tabia njema kwa kauli, matendo, nidhamu na uadilifu usiotiliwa shaka,” alisema. .Rais Kikwete.

0 comments:

Post a Comment

WATEMWA UKUU WA WILAYA SABABU YA ULEVI

WATEMWA UKUU WA WILAYA SABABU YA ULEVI

 
Dodoma. Rais Jakaya Kikwete amesema baadhi ya wakuu wa wilaya walitemwa kutokana na upungufu, ikiwa ni pamoja na madeni mitaani.
Rais alisema baadhi yao walikuwa wakienda baa wanalewa na ili kuwaondoa ilibidi wake zao waitwe kuwachukua.
Rais Kikwete alisema hayo jana mjini Dodoma alipokuwa akifungua semina elekezi kwa wakuu wa wilaya 27 wapya walioteuliwa hivi karibuni.
Februari 18 mwaka huu, Rais Kikwete alifanya mabadiliko ya wakuu wa wilaya na kutengua uteuzi wa wakuu wa wilaya 12.
Rais Kikwete alisema waliotemwa walikuwapo wenye upungufu mbalimbali na wengine walikuwa na madeni mitaani huku baadhi yao wakiwa na tatizo la ulevi kiasi kwamba wakienda baa hulewa kupita kiasi.
Aliwaasa wakuu wa wilaya wapya kuwa wengine ni wadogo kiumri lazima wafanane na madaraka waliyopewa.
“Pale ulipo ni role model (mfano wa kuigwa), lazima uwe na tabia njema kwa kauli, matendo, nidhamu na uadilifu usiotiliwa shaka,” alisema. .Rais Kikwete.

0 comments:

Post a Comment

WATEMWA UKUU WA WILAYA SABABU YA ULEVI

WATEMWA UKUU WA WILAYA SABABU YA ULEVI

 
Dodoma. Rais Jakaya Kikwete amesema baadhi ya wakuu wa wilaya walitemwa kutokana na upungufu, ikiwa ni pamoja na madeni mitaani.
Rais alisema baadhi yao walikuwa wakienda baa wanalewa na ili kuwaondoa ilibidi wake zao waitwe kuwachukua.
Rais Kikwete alisema hayo jana mjini Dodoma alipokuwa akifungua semina elekezi kwa wakuu wa wilaya 27 wapya walioteuliwa hivi karibuni.
Februari 18 mwaka huu, Rais Kikwete alifanya mabadiliko ya wakuu wa wilaya na kutengua uteuzi wa wakuu wa wilaya 12.
Rais Kikwete alisema waliotemwa walikuwapo wenye upungufu mbalimbali na wengine walikuwa na madeni mitaani huku baadhi yao wakiwa na tatizo la ulevi kiasi kwamba wakienda baa hulewa kupita kiasi.
Aliwaasa wakuu wa wilaya wapya kuwa wengine ni wadogo kiumri lazima wafanane na madaraka waliyopewa.
“Pale ulipo ni role model (mfano wa kuigwa), lazima uwe na tabia njema kwa kauli, matendo, nidhamu na uadilifu usiotiliwa shaka,” alisema. .Rais Kikwete.

0 comments:

Post a Comment