Wednesday, March 18, 2015

Watawala na wasomi watakiwa kuwa wabunifu ili kuleta maendeleo nchini.

Watawala, watendaji wa serikali pamoja na wasomi nchini wametakiwa kutoa fikra za kibunifu kwa kutumia sayansi na teknolojia juu ya namna ya kuliwezesha taifa kupiga hatua za maendeleo ya kiuchumi kwa kutumia rasilimali zilizopo pamoja na kuenzifikra za hayati Nyerere za kujenga umoja wa kitaifa na kuziba nyufa za matabaka ambayo yameanza kujidhihirisha miongoni mwa watanzania.
Changamoto hiyo imetolewa jijini Dar es Salaam na waziri mkuu mstaafu Mh David Cleopa Msuya katika uzinduzi wa kavazi la Mwalimu Nyerere na kuongeza kuwa tawala mbalimbali zilizopita hapa nchini kwa namna moja ama nyingine imeshindwa kutatua changamoto ya kulifanya taifa kupiga hatua za maendeleo kiuchumi kwa kutumia rasilimali zilizopo bila ya kutegemea wahisani na kwamba ni jukumu la watawala wa sasa pamoja na wasomi kutoa majibu kwa kutumia fursa ya maendeleo ya sayansi na teknolojia iliyopo.
 
Kwa upande wake mkurugenzi mkuu wa tume ya sayansi na teknolojia Dk Hassan Mshinda amesema rasilimali pekee bila ya ubunifu wa kutosha hazitoshi kulisaidia taifa kupiga maendeleo ya kiuchumi huku mkurugenzi wa kavazi Prof Issa Shivji akiwataka viongozi wa serikali kuwa na hulka ya upole na unyenyekevu jambo linalotoweka miongoni mwa viongozi wa sasa.
 
Baadhi ya viongozi wa kisiasa na wasomi waliohudhuria uzinduzi huo wamesema ni vyema taifa kutochukulia kwa mzaha amani na utulivu wa nchi uliopo hivi sasa na badala yake waziba nyufa zilizoanza kujitokeza sambamba na viongozi kutenda vile wanenavyo.
 
Kavazi la Mwalimu Nyerere limetafsiriwa kama mahali maalum ambapo kumbukumbu za Mwalimu Nyerere zilizokusanywa na watafiti zimehifadhiwa mahali pamoja na kutoa fursa kwa watafiti kubuni fikra mpya zenye misingi ya fikra za Mwalimu Nyerere na kutumiwa kama nyenzo muhimu kufanya tafiti za kisayansi zitakazoiwezesha nchi kupiga hatua za maenedeleo kiuchumi kwa kuongeza ubunifu katika rasilimali kwa lengo lakuwanufaisha wananchi wote.

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit, sed diam nonummy nibh euismod tincidunt ut laoreet dolore magna Veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat.

0 comments:

Post a Comment

Contact Us

Phone :

+20 010 2517 8918

Address :

3rd Avenue, Upper East Side,
San Francisco

Email :

email_support@youradress.com


Watawala, watendaji wa serikali pamoja na wasomi nchini wametakiwa kutoa fikra za kibunifu kwa kutumia sayansi na teknolojia juu ya namna ya kuliwezesha taifa kupiga hatua za maendeleo ya kiuchumi kwa kutumia rasilimali zilizopo pamoja na kuenzifikra za hayati Nyerere za kujenga umoja wa kitaifa na kuziba nyufa za matabaka ambayo yameanza kujidhihirisha miongoni mwa watanzania.
Changamoto hiyo imetolewa jijini Dar es Salaam na waziri mkuu mstaafu Mh David Cleopa Msuya katika uzinduzi wa kavazi la Mwalimu Nyerere na kuongeza kuwa tawala mbalimbali zilizopita hapa nchini kwa namna moja ama nyingine imeshindwa kutatua changamoto ya kulifanya taifa kupiga hatua za maendeleo kiuchumi kwa kutumia rasilimali zilizopo bila ya kutegemea wahisani na kwamba ni jukumu la watawala wa sasa pamoja na wasomi kutoa majibu kwa kutumia fursa ya maendeleo ya sayansi na teknolojia iliyopo.
 
Kwa upande wake mkurugenzi mkuu wa tume ya sayansi na teknolojia Dk Hassan Mshinda amesema rasilimali pekee bila ya ubunifu wa kutosha hazitoshi kulisaidia taifa kupiga maendeleo ya kiuchumi huku mkurugenzi wa kavazi Prof Issa Shivji akiwataka viongozi wa serikali kuwa na hulka ya upole na unyenyekevu jambo linalotoweka miongoni mwa viongozi wa sasa.
 
Baadhi ya viongozi wa kisiasa na wasomi waliohudhuria uzinduzi huo wamesema ni vyema taifa kutochukulia kwa mzaha amani na utulivu wa nchi uliopo hivi sasa na badala yake waziba nyufa zilizoanza kujitokeza sambamba na viongozi kutenda vile wanenavyo.
 
Kavazi la Mwalimu Nyerere limetafsiriwa kama mahali maalum ambapo kumbukumbu za Mwalimu Nyerere zilizokusanywa na watafiti zimehifadhiwa mahali pamoja na kutoa fursa kwa watafiti kubuni fikra mpya zenye misingi ya fikra za Mwalimu Nyerere na kutumiwa kama nyenzo muhimu kufanya tafiti za kisayansi zitakazoiwezesha nchi kupiga hatua za maenedeleo kiuchumi kwa kuongeza ubunifu katika rasilimali kwa lengo lakuwanufaisha wananchi wote.

0 comments:

Post a Comment


Watawala, watendaji wa serikali pamoja na wasomi nchini wametakiwa kutoa fikra za kibunifu kwa kutumia sayansi na teknolojia juu ya namna ya kuliwezesha taifa kupiga hatua za maendeleo ya kiuchumi kwa kutumia rasilimali zilizopo pamoja na kuenzifikra za hayati Nyerere za kujenga umoja wa kitaifa na kuziba nyufa za matabaka ambayo yameanza kujidhihirisha miongoni mwa watanzania.
Changamoto hiyo imetolewa jijini Dar es Salaam na waziri mkuu mstaafu Mh David Cleopa Msuya katika uzinduzi wa kavazi la Mwalimu Nyerere na kuongeza kuwa tawala mbalimbali zilizopita hapa nchini kwa namna moja ama nyingine imeshindwa kutatua changamoto ya kulifanya taifa kupiga hatua za maendeleo kiuchumi kwa kutumia rasilimali zilizopo bila ya kutegemea wahisani na kwamba ni jukumu la watawala wa sasa pamoja na wasomi kutoa majibu kwa kutumia fursa ya maendeleo ya sayansi na teknolojia iliyopo.
 
Kwa upande wake mkurugenzi mkuu wa tume ya sayansi na teknolojia Dk Hassan Mshinda amesema rasilimali pekee bila ya ubunifu wa kutosha hazitoshi kulisaidia taifa kupiga maendeleo ya kiuchumi huku mkurugenzi wa kavazi Prof Issa Shivji akiwataka viongozi wa serikali kuwa na hulka ya upole na unyenyekevu jambo linalotoweka miongoni mwa viongozi wa sasa.
 
Baadhi ya viongozi wa kisiasa na wasomi waliohudhuria uzinduzi huo wamesema ni vyema taifa kutochukulia kwa mzaha amani na utulivu wa nchi uliopo hivi sasa na badala yake waziba nyufa zilizoanza kujitokeza sambamba na viongozi kutenda vile wanenavyo.
 
Kavazi la Mwalimu Nyerere limetafsiriwa kama mahali maalum ambapo kumbukumbu za Mwalimu Nyerere zilizokusanywa na watafiti zimehifadhiwa mahali pamoja na kutoa fursa kwa watafiti kubuni fikra mpya zenye misingi ya fikra za Mwalimu Nyerere na kutumiwa kama nyenzo muhimu kufanya tafiti za kisayansi zitakazoiwezesha nchi kupiga hatua za maenedeleo kiuchumi kwa kuongeza ubunifu katika rasilimali kwa lengo lakuwanufaisha wananchi wote.

0 comments:

Post a Comment


Watawala, watendaji wa serikali pamoja na wasomi nchini wametakiwa kutoa fikra za kibunifu kwa kutumia sayansi na teknolojia juu ya namna ya kuliwezesha taifa kupiga hatua za maendeleo ya kiuchumi kwa kutumia rasilimali zilizopo pamoja na kuenzifikra za hayati Nyerere za kujenga umoja wa kitaifa na kuziba nyufa za matabaka ambayo yameanza kujidhihirisha miongoni mwa watanzania.
Changamoto hiyo imetolewa jijini Dar es Salaam na waziri mkuu mstaafu Mh David Cleopa Msuya katika uzinduzi wa kavazi la Mwalimu Nyerere na kuongeza kuwa tawala mbalimbali zilizopita hapa nchini kwa namna moja ama nyingine imeshindwa kutatua changamoto ya kulifanya taifa kupiga hatua za maendeleo kiuchumi kwa kutumia rasilimali zilizopo bila ya kutegemea wahisani na kwamba ni jukumu la watawala wa sasa pamoja na wasomi kutoa majibu kwa kutumia fursa ya maendeleo ya sayansi na teknolojia iliyopo.
 
Kwa upande wake mkurugenzi mkuu wa tume ya sayansi na teknolojia Dk Hassan Mshinda amesema rasilimali pekee bila ya ubunifu wa kutosha hazitoshi kulisaidia taifa kupiga maendeleo ya kiuchumi huku mkurugenzi wa kavazi Prof Issa Shivji akiwataka viongozi wa serikali kuwa na hulka ya upole na unyenyekevu jambo linalotoweka miongoni mwa viongozi wa sasa.
 
Baadhi ya viongozi wa kisiasa na wasomi waliohudhuria uzinduzi huo wamesema ni vyema taifa kutochukulia kwa mzaha amani na utulivu wa nchi uliopo hivi sasa na badala yake waziba nyufa zilizoanza kujitokeza sambamba na viongozi kutenda vile wanenavyo.
 
Kavazi la Mwalimu Nyerere limetafsiriwa kama mahali maalum ambapo kumbukumbu za Mwalimu Nyerere zilizokusanywa na watafiti zimehifadhiwa mahali pamoja na kutoa fursa kwa watafiti kubuni fikra mpya zenye misingi ya fikra za Mwalimu Nyerere na kutumiwa kama nyenzo muhimu kufanya tafiti za kisayansi zitakazoiwezesha nchi kupiga hatua za maenedeleo kiuchumi kwa kuongeza ubunifu katika rasilimali kwa lengo lakuwanufaisha wananchi wote.

0 comments:

Post a Comment

Watawala na wasomi watakiwa kuwa wabunifu ili kuleta maendeleo nchini.

Watawala na wasomi watakiwa kuwa wabunifu ili kuleta maendeleo nchini.


Watawala, watendaji wa serikali pamoja na wasomi nchini wametakiwa kutoa fikra za kibunifu kwa kutumia sayansi na teknolojia juu ya namna ya kuliwezesha taifa kupiga hatua za maendeleo ya kiuchumi kwa kutumia rasilimali zilizopo pamoja na kuenzifikra za hayati Nyerere za kujenga umoja wa kitaifa na kuziba nyufa za matabaka ambayo yameanza kujidhihirisha miongoni mwa watanzania.
Changamoto hiyo imetolewa jijini Dar es Salaam na waziri mkuu mstaafu Mh David Cleopa Msuya katika uzinduzi wa kavazi la Mwalimu Nyerere na kuongeza kuwa tawala mbalimbali zilizopita hapa nchini kwa namna moja ama nyingine imeshindwa kutatua changamoto ya kulifanya taifa kupiga hatua za maendeleo kiuchumi kwa kutumia rasilimali zilizopo bila ya kutegemea wahisani na kwamba ni jukumu la watawala wa sasa pamoja na wasomi kutoa majibu kwa kutumia fursa ya maendeleo ya sayansi na teknolojia iliyopo.
 
Kwa upande wake mkurugenzi mkuu wa tume ya sayansi na teknolojia Dk Hassan Mshinda amesema rasilimali pekee bila ya ubunifu wa kutosha hazitoshi kulisaidia taifa kupiga maendeleo ya kiuchumi huku mkurugenzi wa kavazi Prof Issa Shivji akiwataka viongozi wa serikali kuwa na hulka ya upole na unyenyekevu jambo linalotoweka miongoni mwa viongozi wa sasa.
 
Baadhi ya viongozi wa kisiasa na wasomi waliohudhuria uzinduzi huo wamesema ni vyema taifa kutochukulia kwa mzaha amani na utulivu wa nchi uliopo hivi sasa na badala yake waziba nyufa zilizoanza kujitokeza sambamba na viongozi kutenda vile wanenavyo.
 
Kavazi la Mwalimu Nyerere limetafsiriwa kama mahali maalum ambapo kumbukumbu za Mwalimu Nyerere zilizokusanywa na watafiti zimehifadhiwa mahali pamoja na kutoa fursa kwa watafiti kubuni fikra mpya zenye misingi ya fikra za Mwalimu Nyerere na kutumiwa kama nyenzo muhimu kufanya tafiti za kisayansi zitakazoiwezesha nchi kupiga hatua za maenedeleo kiuchumi kwa kuongeza ubunifu katika rasilimali kwa lengo lakuwanufaisha wananchi wote.

0 comments:

Post a Comment

Watawala na wasomi watakiwa kuwa wabunifu ili kuleta maendeleo nchini.

Watawala na wasomi watakiwa kuwa wabunifu ili kuleta maendeleo nchini.


Watawala, watendaji wa serikali pamoja na wasomi nchini wametakiwa kutoa fikra za kibunifu kwa kutumia sayansi na teknolojia juu ya namna ya kuliwezesha taifa kupiga hatua za maendeleo ya kiuchumi kwa kutumia rasilimali zilizopo pamoja na kuenzifikra za hayati Nyerere za kujenga umoja wa kitaifa na kuziba nyufa za matabaka ambayo yameanza kujidhihirisha miongoni mwa watanzania.
Changamoto hiyo imetolewa jijini Dar es Salaam na waziri mkuu mstaafu Mh David Cleopa Msuya katika uzinduzi wa kavazi la Mwalimu Nyerere na kuongeza kuwa tawala mbalimbali zilizopita hapa nchini kwa namna moja ama nyingine imeshindwa kutatua changamoto ya kulifanya taifa kupiga hatua za maendeleo kiuchumi kwa kutumia rasilimali zilizopo bila ya kutegemea wahisani na kwamba ni jukumu la watawala wa sasa pamoja na wasomi kutoa majibu kwa kutumia fursa ya maendeleo ya sayansi na teknolojia iliyopo.
 
Kwa upande wake mkurugenzi mkuu wa tume ya sayansi na teknolojia Dk Hassan Mshinda amesema rasilimali pekee bila ya ubunifu wa kutosha hazitoshi kulisaidia taifa kupiga maendeleo ya kiuchumi huku mkurugenzi wa kavazi Prof Issa Shivji akiwataka viongozi wa serikali kuwa na hulka ya upole na unyenyekevu jambo linalotoweka miongoni mwa viongozi wa sasa.
 
Baadhi ya viongozi wa kisiasa na wasomi waliohudhuria uzinduzi huo wamesema ni vyema taifa kutochukulia kwa mzaha amani na utulivu wa nchi uliopo hivi sasa na badala yake waziba nyufa zilizoanza kujitokeza sambamba na viongozi kutenda vile wanenavyo.
 
Kavazi la Mwalimu Nyerere limetafsiriwa kama mahali maalum ambapo kumbukumbu za Mwalimu Nyerere zilizokusanywa na watafiti zimehifadhiwa mahali pamoja na kutoa fursa kwa watafiti kubuni fikra mpya zenye misingi ya fikra za Mwalimu Nyerere na kutumiwa kama nyenzo muhimu kufanya tafiti za kisayansi zitakazoiwezesha nchi kupiga hatua za maenedeleo kiuchumi kwa kuongeza ubunifu katika rasilimali kwa lengo lakuwanufaisha wananchi wote.

0 comments:

Post a Comment