Saturday, March 28, 2015

Mr & Miss Talent Mwenge Catholic University apatikana

Kwa mara ya tatu mfululizo tangu 2012 shindano la kumsaka MR & Miss Talent Mwenge Catholic University lilifana sana usiku wa kuamkia jumamosi katika viwanja vya Kili Home Bar & Restaurant mkoani Kilimanjaro na kufanikiwa kuwapata wale wanaolishikilia taji hilo hadi pale mwaka 2016.

Shindano hilo ambalo lilijumuisha wadau mbali mbali toka viunga vyote vya kanda ya kaskazini lilikuwa chini ya udhamini wa Serengeti breweries kwa hisani ya kinywaji cha SMIRNOFF,Akiba Comercial Bank,Mwenge Catholic University,Innosykes Computers,Image Transfers, Msafiri  Maua Medics pamoja na  Kili Home Bar & Restaurant lilianza kupata uhai majira saa mbili usiku hadi pale washindi walipopatikana.

Washiriki wa kike waMr & Miss Talent Mwenge Catholic University wakicheza mbele ya waliohudhuria
 Washiriki wa kiume waMr & Miss Talent Mwenge Catholic University wakicheza mbele ya waliohudhuria
Katika kuhakikisha MR & Miss Talent anakuwa na vigezo vyote, washiriki wapatao kumi na moja ambao ni wanafunzi wa Mwenge Catholic University wakiwemo wasichana wanne na wavulana sita walitakiwa kuonesha  mitindo mbali mbali ya mavazi ikiwemo vazi la kawaida (casual wear) ,vazi la ofisini, vazi la usiku, ubunifu pamoja na vipaji vyao.
Majaji wakiwa makini kutizama nini washiriki wanafanya
Chini ya usimamizi mzuri wa Chief jaji Lui Ndakideme akisaidiana na majaji Furaha Hamadi, Uenice Mmari pamoja na Mr Benson washiriki walipata mchujo wa awali na kwa wale alioingia tano bora walikuwa ni Samuel Sixbert,Mkude Robert,Raphael Nyandi Suzan Modest,Happy Munuo pamoja na Noela Bernard Masao ambapo waliulizwa maswali na majaji na baada ya hapo MR & Miss Talent wakatangazwa ambao ni Mkude Robert Mwisaria na Noela Bernard Masao.
Wawakilishi wa Akiba Comercial Bank nao walikuwa makini kufuatila kila tukio

Chief jaji Lui Ndakideme
Kama ilivyoada burudani ni sehemu muhimu ya shughuli kama hizi wasanii kadha wakadha toka mkoani Kilimanjaro walipanda kwa steji na kuwatumbuiza mamia ya wadau waliohudhuria kivutio kikubwa kikiwa ni "Diamond wa Moshi" ambaye alokonga nyoyo za waliohudhuria halfa hiyo.
Diamond wa Moshi akifanya yake stejini 
Burudani ya sarakasi nayo ilikuwa sehemu ya tukioFROM FUNGUKA LIVE               

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit, sed diam nonummy nibh euismod tincidunt ut laoreet dolore magna Veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat.

0 comments:

Post a Comment

Contact Us

Phone :

+20 010 2517 8918

Address :

3rd Avenue, Upper East Side,
San Francisco

Email :

email_support@youradress.com

Kwa mara ya tatu mfululizo tangu 2012 shindano la kumsaka MR & Miss Talent Mwenge Catholic University lilifana sana usiku wa kuamkia jumamosi katika viwanja vya Kili Home Bar & Restaurant mkoani Kilimanjaro na kufanikiwa kuwapata wale wanaolishikilia taji hilo hadi pale mwaka 2016.

Shindano hilo ambalo lilijumuisha wadau mbali mbali toka viunga vyote vya kanda ya kaskazini lilikuwa chini ya udhamini wa Serengeti breweries kwa hisani ya kinywaji cha SMIRNOFF,Akiba Comercial Bank,Mwenge Catholic University,Innosykes Computers,Image Transfers, Msafiri  Maua Medics pamoja na  Kili Home Bar & Restaurant lilianza kupata uhai majira saa mbili usiku hadi pale washindi walipopatikana.

Washiriki wa kike waMr & Miss Talent Mwenge Catholic University wakicheza mbele ya waliohudhuria
 Washiriki wa kiume waMr & Miss Talent Mwenge Catholic University wakicheza mbele ya waliohudhuria
Katika kuhakikisha MR & Miss Talent anakuwa na vigezo vyote, washiriki wapatao kumi na moja ambao ni wanafunzi wa Mwenge Catholic University wakiwemo wasichana wanne na wavulana sita walitakiwa kuonesha  mitindo mbali mbali ya mavazi ikiwemo vazi la kawaida (casual wear) ,vazi la ofisini, vazi la usiku, ubunifu pamoja na vipaji vyao.
Majaji wakiwa makini kutizama nini washiriki wanafanya
Chini ya usimamizi mzuri wa Chief jaji Lui Ndakideme akisaidiana na majaji Furaha Hamadi, Uenice Mmari pamoja na Mr Benson washiriki walipata mchujo wa awali na kwa wale alioingia tano bora walikuwa ni Samuel Sixbert,Mkude Robert,Raphael Nyandi Suzan Modest,Happy Munuo pamoja na Noela Bernard Masao ambapo waliulizwa maswali na majaji na baada ya hapo MR & Miss Talent wakatangazwa ambao ni Mkude Robert Mwisaria na Noela Bernard Masao.
Wawakilishi wa Akiba Comercial Bank nao walikuwa makini kufuatila kila tukio

Chief jaji Lui Ndakideme
Kama ilivyoada burudani ni sehemu muhimu ya shughuli kama hizi wasanii kadha wakadha toka mkoani Kilimanjaro walipanda kwa steji na kuwatumbuiza mamia ya wadau waliohudhuria kivutio kikubwa kikiwa ni "Diamond wa Moshi" ambaye alokonga nyoyo za waliohudhuria halfa hiyo.
Diamond wa Moshi akifanya yake stejini 
Burudani ya sarakasi nayo ilikuwa sehemu ya tukioFROM FUNGUKA LIVE               

0 comments:

Post a Comment

Kwa mara ya tatu mfululizo tangu 2012 shindano la kumsaka MR & Miss Talent Mwenge Catholic University lilifana sana usiku wa kuamkia jumamosi katika viwanja vya Kili Home Bar & Restaurant mkoani Kilimanjaro na kufanikiwa kuwapata wale wanaolishikilia taji hilo hadi pale mwaka 2016.

Shindano hilo ambalo lilijumuisha wadau mbali mbali toka viunga vyote vya kanda ya kaskazini lilikuwa chini ya udhamini wa Serengeti breweries kwa hisani ya kinywaji cha SMIRNOFF,Akiba Comercial Bank,Mwenge Catholic University,Innosykes Computers,Image Transfers, Msafiri  Maua Medics pamoja na  Kili Home Bar & Restaurant lilianza kupata uhai majira saa mbili usiku hadi pale washindi walipopatikana.

Washiriki wa kike waMr & Miss Talent Mwenge Catholic University wakicheza mbele ya waliohudhuria
 Washiriki wa kiume waMr & Miss Talent Mwenge Catholic University wakicheza mbele ya waliohudhuria
Katika kuhakikisha MR & Miss Talent anakuwa na vigezo vyote, washiriki wapatao kumi na moja ambao ni wanafunzi wa Mwenge Catholic University wakiwemo wasichana wanne na wavulana sita walitakiwa kuonesha  mitindo mbali mbali ya mavazi ikiwemo vazi la kawaida (casual wear) ,vazi la ofisini, vazi la usiku, ubunifu pamoja na vipaji vyao.
Majaji wakiwa makini kutizama nini washiriki wanafanya
Chini ya usimamizi mzuri wa Chief jaji Lui Ndakideme akisaidiana na majaji Furaha Hamadi, Uenice Mmari pamoja na Mr Benson washiriki walipata mchujo wa awali na kwa wale alioingia tano bora walikuwa ni Samuel Sixbert,Mkude Robert,Raphael Nyandi Suzan Modest,Happy Munuo pamoja na Noela Bernard Masao ambapo waliulizwa maswali na majaji na baada ya hapo MR & Miss Talent wakatangazwa ambao ni Mkude Robert Mwisaria na Noela Bernard Masao.
Wawakilishi wa Akiba Comercial Bank nao walikuwa makini kufuatila kila tukio

Chief jaji Lui Ndakideme
Kama ilivyoada burudani ni sehemu muhimu ya shughuli kama hizi wasanii kadha wakadha toka mkoani Kilimanjaro walipanda kwa steji na kuwatumbuiza mamia ya wadau waliohudhuria kivutio kikubwa kikiwa ni "Diamond wa Moshi" ambaye alokonga nyoyo za waliohudhuria halfa hiyo.
Diamond wa Moshi akifanya yake stejini 
Burudani ya sarakasi nayo ilikuwa sehemu ya tukioFROM FUNGUKA LIVE               

0 comments:

Post a Comment

Kwa mara ya tatu mfululizo tangu 2012 shindano la kumsaka MR & Miss Talent Mwenge Catholic University lilifana sana usiku wa kuamkia jumamosi katika viwanja vya Kili Home Bar & Restaurant mkoani Kilimanjaro na kufanikiwa kuwapata wale wanaolishikilia taji hilo hadi pale mwaka 2016.

Shindano hilo ambalo lilijumuisha wadau mbali mbali toka viunga vyote vya kanda ya kaskazini lilikuwa chini ya udhamini wa Serengeti breweries kwa hisani ya kinywaji cha SMIRNOFF,Akiba Comercial Bank,Mwenge Catholic University,Innosykes Computers,Image Transfers, Msafiri  Maua Medics pamoja na  Kili Home Bar & Restaurant lilianza kupata uhai majira saa mbili usiku hadi pale washindi walipopatikana.

Washiriki wa kike waMr & Miss Talent Mwenge Catholic University wakicheza mbele ya waliohudhuria
 Washiriki wa kiume waMr & Miss Talent Mwenge Catholic University wakicheza mbele ya waliohudhuria
Katika kuhakikisha MR & Miss Talent anakuwa na vigezo vyote, washiriki wapatao kumi na moja ambao ni wanafunzi wa Mwenge Catholic University wakiwemo wasichana wanne na wavulana sita walitakiwa kuonesha  mitindo mbali mbali ya mavazi ikiwemo vazi la kawaida (casual wear) ,vazi la ofisini, vazi la usiku, ubunifu pamoja na vipaji vyao.
Majaji wakiwa makini kutizama nini washiriki wanafanya
Chini ya usimamizi mzuri wa Chief jaji Lui Ndakideme akisaidiana na majaji Furaha Hamadi, Uenice Mmari pamoja na Mr Benson washiriki walipata mchujo wa awali na kwa wale alioingia tano bora walikuwa ni Samuel Sixbert,Mkude Robert,Raphael Nyandi Suzan Modest,Happy Munuo pamoja na Noela Bernard Masao ambapo waliulizwa maswali na majaji na baada ya hapo MR & Miss Talent wakatangazwa ambao ni Mkude Robert Mwisaria na Noela Bernard Masao.
Wawakilishi wa Akiba Comercial Bank nao walikuwa makini kufuatila kila tukio

Chief jaji Lui Ndakideme
Kama ilivyoada burudani ni sehemu muhimu ya shughuli kama hizi wasanii kadha wakadha toka mkoani Kilimanjaro walipanda kwa steji na kuwatumbuiza mamia ya wadau waliohudhuria kivutio kikubwa kikiwa ni "Diamond wa Moshi" ambaye alokonga nyoyo za waliohudhuria halfa hiyo.
Diamond wa Moshi akifanya yake stejini 
Burudani ya sarakasi nayo ilikuwa sehemu ya tukioFROM FUNGUKA LIVE               

0 comments:

Post a Comment

Mr & Miss Talent Mwenge Catholic University apatikana

Mr & Miss Talent Mwenge Catholic University apatikana

Kwa mara ya tatu mfululizo tangu 2012 shindano la kumsaka MR & Miss Talent Mwenge Catholic University lilifana sana usiku wa kuamkia jumamosi katika viwanja vya Kili Home Bar & Restaurant mkoani Kilimanjaro na kufanikiwa kuwapata wale wanaolishikilia taji hilo hadi pale mwaka 2016.

Shindano hilo ambalo lilijumuisha wadau mbali mbali toka viunga vyote vya kanda ya kaskazini lilikuwa chini ya udhamini wa Serengeti breweries kwa hisani ya kinywaji cha SMIRNOFF,Akiba Comercial Bank,Mwenge Catholic University,Innosykes Computers,Image Transfers, Msafiri  Maua Medics pamoja na  Kili Home Bar & Restaurant lilianza kupata uhai majira saa mbili usiku hadi pale washindi walipopatikana.

Washiriki wa kike waMr & Miss Talent Mwenge Catholic University wakicheza mbele ya waliohudhuria
 Washiriki wa kiume waMr & Miss Talent Mwenge Catholic University wakicheza mbele ya waliohudhuria
Katika kuhakikisha MR & Miss Talent anakuwa na vigezo vyote, washiriki wapatao kumi na moja ambao ni wanafunzi wa Mwenge Catholic University wakiwemo wasichana wanne na wavulana sita walitakiwa kuonesha  mitindo mbali mbali ya mavazi ikiwemo vazi la kawaida (casual wear) ,vazi la ofisini, vazi la usiku, ubunifu pamoja na vipaji vyao.
Majaji wakiwa makini kutizama nini washiriki wanafanya
Chini ya usimamizi mzuri wa Chief jaji Lui Ndakideme akisaidiana na majaji Furaha Hamadi, Uenice Mmari pamoja na Mr Benson washiriki walipata mchujo wa awali na kwa wale alioingia tano bora walikuwa ni Samuel Sixbert,Mkude Robert,Raphael Nyandi Suzan Modest,Happy Munuo pamoja na Noela Bernard Masao ambapo waliulizwa maswali na majaji na baada ya hapo MR & Miss Talent wakatangazwa ambao ni Mkude Robert Mwisaria na Noela Bernard Masao.
Wawakilishi wa Akiba Comercial Bank nao walikuwa makini kufuatila kila tukio

Chief jaji Lui Ndakideme
Kama ilivyoada burudani ni sehemu muhimu ya shughuli kama hizi wasanii kadha wakadha toka mkoani Kilimanjaro walipanda kwa steji na kuwatumbuiza mamia ya wadau waliohudhuria kivutio kikubwa kikiwa ni "Diamond wa Moshi" ambaye alokonga nyoyo za waliohudhuria halfa hiyo.
Diamond wa Moshi akifanya yake stejini 
Burudani ya sarakasi nayo ilikuwa sehemu ya tukioFROM FUNGUKA LIVE               

0 comments:

Post a Comment

Mr & Miss Talent Mwenge Catholic University apatikana

Mr & Miss Talent Mwenge Catholic University apatikana

Kwa mara ya tatu mfululizo tangu 2012 shindano la kumsaka MR & Miss Talent Mwenge Catholic University lilifana sana usiku wa kuamkia jumamosi katika viwanja vya Kili Home Bar & Restaurant mkoani Kilimanjaro na kufanikiwa kuwapata wale wanaolishikilia taji hilo hadi pale mwaka 2016.

Shindano hilo ambalo lilijumuisha wadau mbali mbali toka viunga vyote vya kanda ya kaskazini lilikuwa chini ya udhamini wa Serengeti breweries kwa hisani ya kinywaji cha SMIRNOFF,Akiba Comercial Bank,Mwenge Catholic University,Innosykes Computers,Image Transfers, Msafiri  Maua Medics pamoja na  Kili Home Bar & Restaurant lilianza kupata uhai majira saa mbili usiku hadi pale washindi walipopatikana.

Washiriki wa kike waMr & Miss Talent Mwenge Catholic University wakicheza mbele ya waliohudhuria
 Washiriki wa kiume waMr & Miss Talent Mwenge Catholic University wakicheza mbele ya waliohudhuria
Katika kuhakikisha MR & Miss Talent anakuwa na vigezo vyote, washiriki wapatao kumi na moja ambao ni wanafunzi wa Mwenge Catholic University wakiwemo wasichana wanne na wavulana sita walitakiwa kuonesha  mitindo mbali mbali ya mavazi ikiwemo vazi la kawaida (casual wear) ,vazi la ofisini, vazi la usiku, ubunifu pamoja na vipaji vyao.
Majaji wakiwa makini kutizama nini washiriki wanafanya
Chini ya usimamizi mzuri wa Chief jaji Lui Ndakideme akisaidiana na majaji Furaha Hamadi, Uenice Mmari pamoja na Mr Benson washiriki walipata mchujo wa awali na kwa wale alioingia tano bora walikuwa ni Samuel Sixbert,Mkude Robert,Raphael Nyandi Suzan Modest,Happy Munuo pamoja na Noela Bernard Masao ambapo waliulizwa maswali na majaji na baada ya hapo MR & Miss Talent wakatangazwa ambao ni Mkude Robert Mwisaria na Noela Bernard Masao.
Wawakilishi wa Akiba Comercial Bank nao walikuwa makini kufuatila kila tukio

Chief jaji Lui Ndakideme
Kama ilivyoada burudani ni sehemu muhimu ya shughuli kama hizi wasanii kadha wakadha toka mkoani Kilimanjaro walipanda kwa steji na kuwatumbuiza mamia ya wadau waliohudhuria kivutio kikubwa kikiwa ni "Diamond wa Moshi" ambaye alokonga nyoyo za waliohudhuria halfa hiyo.
Diamond wa Moshi akifanya yake stejini 
Burudani ya sarakasi nayo ilikuwa sehemu ya tukioFROM FUNGUKA LIVE               

0 comments:

Post a Comment