Sunday, March 22, 2015

DJ VIRUS KUTOKA MOSHI ASHIKA NAFASI YA PILI KATIKA MASHINDANO YA KUMTAFUTA DJ BORA UKANDA WA KASKAZINI YALIYOFANYIKA ARUSHA
 
DJ VIRUS AKIWA KATIKA AWAMU YA KWANZA YA MCHUANO


Ikiwa ni kwa mara ya kwanza kampuni ya Viceroy kuandaa mashindano ya kumtafuta dj bomba mwenye ujuzi mkubwa kwa ukanda wa kaskazini hatimaye mshindi apatikana.
Mashindano haya yalifanyika jana jijini Arusha maeneo ya Club D ambapo judge mkuu wa mashindano hayo alikuwa ni dj PQ kutoka clouds fm,clouds radio zilizopo jijini Dar es Salaam.
Mashindano haya ambayo yalisimamiwa na kampuni ya vinywaji vikali TDL(Tanzania Distillers Limited) kupitia kinywaji chake cha Viceroy ambapo kupitia promotion zao waliweza kutangaza mashindano hayo kupitia mikoa mitatu Manyara,Arusha pamoja na Kilimanjaro.
Baada ya kutoa fursa hiyo vijana wengi katika mikoa hiyo mitatu waliweza kuchukuwa fomu zao za usaili kwa ajili ya kushiriki mashindano hayo ambayo fainali zake zilifanyikia katika jiji la Arusha ndani ya club ya kisasa Afrika Mashariki iitwayo Club D.
Mpaka mwisho wa tarehe ya kuchukua fomu tayari washiriki 15 waliweza kupatikana na hatimaye kampuni hiyo iliweza kuandaa mchujo wa kwanza ambao waliweza kuwapata washiriki 8,siku iliyofuata mchujo mwingine uliweza kufanyika ambapo walipatikana ma Dj watano bomba Dj Virus(Moshi), Dj Kito(Moshi), Dj Bray(Arusha), Dj Q(Arusha), pamoja na Dj Ally(Arusha).
“Kiukweli nimefurahishwa sana na mchuano huu lakini nimeweza kuona changamoto nyingi sana kutoka kwa washiriki wetu moja ya changamoto ni mashine
ambayo walikuwa wanatumia washiriki, hii mashine ni kubwa sana(Pionner CDJ 800) hivyo ilikuwa ngumu sana kwa baadhi ya washiriki kuitumia”alisema Mr Mrema ambaye ni zone Manager wa kampuni hiyo.
Kabla ya fainal hizo kufanyika washiriki wote watano waliweza kupata nafasi ya kutembelea kituo cha redio kilichopo jijini Arusha kijulikanacho kama Radio 5 kuzungumzia juu ya fainali hizo ambapo kila dj aliweza kuzungumza kwa mtazamo wake mwishoni wa mazungumzo kila dj aliweza kupewa nafasi ya kuonyesha ujuzi wake katika mashine.
Hatimaye siku ya jumamos fainali hizi ziliweza kufanyia pale club D Arusha ambapo mchuano ulianza,Mzunguko wa kwanza ilianza kwa kila dj kupewa dakika tano za kuonyesha ujuzi wake  mpaka mwisho waliweza kupatikana ma dj wanne Dj Virus(Moshi), Dj Kito(Moshi), Dj Bray(Arusha), pamoja na Dj Ally(Arusha).
Baaa ya kuwapata ma dj hao mzunguko wa pili ulianza kwa kila dj kupewa dakika 3 za kuonyesha ujuzi wake tena na hatimaye hapo ndipo mshindi alipoweza kupatikana, mshindi wa kwanza alitokea jijini Arusha Dj Bray, mshindi wa pili alitokea Moshi Dj Virus na mshindi wa tatu alitokea Arusha, ushindi ambao ulitangazwa na Dj PQ.
Mshindi wa kwanza Dj Bray aliweza kuzawadiwa mashine aina ya Pionner CDJ 900 yenye thamani ya shillingi million 8, mshindi wa pili Dj Virus alipewa headphone aina ya beats by dre yenye thamani ya shillingi laki 4, saa,t-shirt-chupa ya Viceroy ya ml 750 pamoja na kwenda jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kusomea u dj katika chuo cha Dj PQ kwa muda wa miez mitatu bure na mshindi wa tatu Dj Ally aliweza kupewa saa,t-shirt na chupa ya Viceroy ya ml 750.
Dhumuni hasa la mashindano haya ni kuwafanya wale ma dj wote chipukizi waliopo katika tathnia hii ya burudani ya muziki kuweza kuonekana na jamii kuwa wao pia wanauwezo pamoja na kuwafanya waweze kupata ajira sehem tofauti tofauti.

DJ VIRUS AKIWA RADIO 5 ARUSHA AKIONYESHA UWEZO WAKE WAKATI WA MAHOJIANO
DJ VIRUS AKIWA CLUB D KWA NJE KABLA YA MASHINDANDO

 CLUB D
DJ VIRUS AKIWA NA DJ PQ KUTOKA DAR ES SALAAM
BAADHI YA WASHIRIKI

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit, sed diam nonummy nibh euismod tincidunt ut laoreet dolore magna Veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat.

0 comments:

Post a Comment

Contact Us

Phone :

+20 010 2517 8918

Address :

3rd Avenue, Upper East Side,
San Francisco

Email :

email_support@youradress.com

 
DJ VIRUS AKIWA KATIKA AWAMU YA KWANZA YA MCHUANO


Ikiwa ni kwa mara ya kwanza kampuni ya Viceroy kuandaa mashindano ya kumtafuta dj bomba mwenye ujuzi mkubwa kwa ukanda wa kaskazini hatimaye mshindi apatikana.
Mashindano haya yalifanyika jana jijini Arusha maeneo ya Club D ambapo judge mkuu wa mashindano hayo alikuwa ni dj PQ kutoka clouds fm,clouds radio zilizopo jijini Dar es Salaam.
Mashindano haya ambayo yalisimamiwa na kampuni ya vinywaji vikali TDL(Tanzania Distillers Limited) kupitia kinywaji chake cha Viceroy ambapo kupitia promotion zao waliweza kutangaza mashindano hayo kupitia mikoa mitatu Manyara,Arusha pamoja na Kilimanjaro.
Baada ya kutoa fursa hiyo vijana wengi katika mikoa hiyo mitatu waliweza kuchukuwa fomu zao za usaili kwa ajili ya kushiriki mashindano hayo ambayo fainali zake zilifanyikia katika jiji la Arusha ndani ya club ya kisasa Afrika Mashariki iitwayo Club D.
Mpaka mwisho wa tarehe ya kuchukua fomu tayari washiriki 15 waliweza kupatikana na hatimaye kampuni hiyo iliweza kuandaa mchujo wa kwanza ambao waliweza kuwapata washiriki 8,siku iliyofuata mchujo mwingine uliweza kufanyika ambapo walipatikana ma Dj watano bomba Dj Virus(Moshi), Dj Kito(Moshi), Dj Bray(Arusha), Dj Q(Arusha), pamoja na Dj Ally(Arusha).
“Kiukweli nimefurahishwa sana na mchuano huu lakini nimeweza kuona changamoto nyingi sana kutoka kwa washiriki wetu moja ya changamoto ni mashine
ambayo walikuwa wanatumia washiriki, hii mashine ni kubwa sana(Pionner CDJ 800) hivyo ilikuwa ngumu sana kwa baadhi ya washiriki kuitumia”alisema Mr Mrema ambaye ni zone Manager wa kampuni hiyo.
Kabla ya fainal hizo kufanyika washiriki wote watano waliweza kupata nafasi ya kutembelea kituo cha redio kilichopo jijini Arusha kijulikanacho kama Radio 5 kuzungumzia juu ya fainali hizo ambapo kila dj aliweza kuzungumza kwa mtazamo wake mwishoni wa mazungumzo kila dj aliweza kupewa nafasi ya kuonyesha ujuzi wake katika mashine.
Hatimaye siku ya jumamos fainali hizi ziliweza kufanyia pale club D Arusha ambapo mchuano ulianza,Mzunguko wa kwanza ilianza kwa kila dj kupewa dakika tano za kuonyesha ujuzi wake  mpaka mwisho waliweza kupatikana ma dj wanne Dj Virus(Moshi), Dj Kito(Moshi), Dj Bray(Arusha), pamoja na Dj Ally(Arusha).
Baaa ya kuwapata ma dj hao mzunguko wa pili ulianza kwa kila dj kupewa dakika 3 za kuonyesha ujuzi wake tena na hatimaye hapo ndipo mshindi alipoweza kupatikana, mshindi wa kwanza alitokea jijini Arusha Dj Bray, mshindi wa pili alitokea Moshi Dj Virus na mshindi wa tatu alitokea Arusha, ushindi ambao ulitangazwa na Dj PQ.
Mshindi wa kwanza Dj Bray aliweza kuzawadiwa mashine aina ya Pionner CDJ 900 yenye thamani ya shillingi million 8, mshindi wa pili Dj Virus alipewa headphone aina ya beats by dre yenye thamani ya shillingi laki 4, saa,t-shirt-chupa ya Viceroy ya ml 750 pamoja na kwenda jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kusomea u dj katika chuo cha Dj PQ kwa muda wa miez mitatu bure na mshindi wa tatu Dj Ally aliweza kupewa saa,t-shirt na chupa ya Viceroy ya ml 750.
Dhumuni hasa la mashindano haya ni kuwafanya wale ma dj wote chipukizi waliopo katika tathnia hii ya burudani ya muziki kuweza kuonekana na jamii kuwa wao pia wanauwezo pamoja na kuwafanya waweze kupata ajira sehem tofauti tofauti.

DJ VIRUS AKIWA RADIO 5 ARUSHA AKIONYESHA UWEZO WAKE WAKATI WA MAHOJIANO
DJ VIRUS AKIWA CLUB D KWA NJE KABLA YA MASHINDANDO

 CLUB D
DJ VIRUS AKIWA NA DJ PQ KUTOKA DAR ES SALAAM
BAADHI YA WASHIRIKI

0 comments:

Post a Comment

 
DJ VIRUS AKIWA KATIKA AWAMU YA KWANZA YA MCHUANO


Ikiwa ni kwa mara ya kwanza kampuni ya Viceroy kuandaa mashindano ya kumtafuta dj bomba mwenye ujuzi mkubwa kwa ukanda wa kaskazini hatimaye mshindi apatikana.
Mashindano haya yalifanyika jana jijini Arusha maeneo ya Club D ambapo judge mkuu wa mashindano hayo alikuwa ni dj PQ kutoka clouds fm,clouds radio zilizopo jijini Dar es Salaam.
Mashindano haya ambayo yalisimamiwa na kampuni ya vinywaji vikali TDL(Tanzania Distillers Limited) kupitia kinywaji chake cha Viceroy ambapo kupitia promotion zao waliweza kutangaza mashindano hayo kupitia mikoa mitatu Manyara,Arusha pamoja na Kilimanjaro.
Baada ya kutoa fursa hiyo vijana wengi katika mikoa hiyo mitatu waliweza kuchukuwa fomu zao za usaili kwa ajili ya kushiriki mashindano hayo ambayo fainali zake zilifanyikia katika jiji la Arusha ndani ya club ya kisasa Afrika Mashariki iitwayo Club D.
Mpaka mwisho wa tarehe ya kuchukua fomu tayari washiriki 15 waliweza kupatikana na hatimaye kampuni hiyo iliweza kuandaa mchujo wa kwanza ambao waliweza kuwapata washiriki 8,siku iliyofuata mchujo mwingine uliweza kufanyika ambapo walipatikana ma Dj watano bomba Dj Virus(Moshi), Dj Kito(Moshi), Dj Bray(Arusha), Dj Q(Arusha), pamoja na Dj Ally(Arusha).
“Kiukweli nimefurahishwa sana na mchuano huu lakini nimeweza kuona changamoto nyingi sana kutoka kwa washiriki wetu moja ya changamoto ni mashine
ambayo walikuwa wanatumia washiriki, hii mashine ni kubwa sana(Pionner CDJ 800) hivyo ilikuwa ngumu sana kwa baadhi ya washiriki kuitumia”alisema Mr Mrema ambaye ni zone Manager wa kampuni hiyo.
Kabla ya fainal hizo kufanyika washiriki wote watano waliweza kupata nafasi ya kutembelea kituo cha redio kilichopo jijini Arusha kijulikanacho kama Radio 5 kuzungumzia juu ya fainali hizo ambapo kila dj aliweza kuzungumza kwa mtazamo wake mwishoni wa mazungumzo kila dj aliweza kupewa nafasi ya kuonyesha ujuzi wake katika mashine.
Hatimaye siku ya jumamos fainali hizi ziliweza kufanyia pale club D Arusha ambapo mchuano ulianza,Mzunguko wa kwanza ilianza kwa kila dj kupewa dakika tano za kuonyesha ujuzi wake  mpaka mwisho waliweza kupatikana ma dj wanne Dj Virus(Moshi), Dj Kito(Moshi), Dj Bray(Arusha), pamoja na Dj Ally(Arusha).
Baaa ya kuwapata ma dj hao mzunguko wa pili ulianza kwa kila dj kupewa dakika 3 za kuonyesha ujuzi wake tena na hatimaye hapo ndipo mshindi alipoweza kupatikana, mshindi wa kwanza alitokea jijini Arusha Dj Bray, mshindi wa pili alitokea Moshi Dj Virus na mshindi wa tatu alitokea Arusha, ushindi ambao ulitangazwa na Dj PQ.
Mshindi wa kwanza Dj Bray aliweza kuzawadiwa mashine aina ya Pionner CDJ 900 yenye thamani ya shillingi million 8, mshindi wa pili Dj Virus alipewa headphone aina ya beats by dre yenye thamani ya shillingi laki 4, saa,t-shirt-chupa ya Viceroy ya ml 750 pamoja na kwenda jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kusomea u dj katika chuo cha Dj PQ kwa muda wa miez mitatu bure na mshindi wa tatu Dj Ally aliweza kupewa saa,t-shirt na chupa ya Viceroy ya ml 750.
Dhumuni hasa la mashindano haya ni kuwafanya wale ma dj wote chipukizi waliopo katika tathnia hii ya burudani ya muziki kuweza kuonekana na jamii kuwa wao pia wanauwezo pamoja na kuwafanya waweze kupata ajira sehem tofauti tofauti.

DJ VIRUS AKIWA RADIO 5 ARUSHA AKIONYESHA UWEZO WAKE WAKATI WA MAHOJIANO
DJ VIRUS AKIWA CLUB D KWA NJE KABLA YA MASHINDANDO

 CLUB D
DJ VIRUS AKIWA NA DJ PQ KUTOKA DAR ES SALAAM
BAADHI YA WASHIRIKI

0 comments:

Post a Comment

 
DJ VIRUS AKIWA KATIKA AWAMU YA KWANZA YA MCHUANO


Ikiwa ni kwa mara ya kwanza kampuni ya Viceroy kuandaa mashindano ya kumtafuta dj bomba mwenye ujuzi mkubwa kwa ukanda wa kaskazini hatimaye mshindi apatikana.
Mashindano haya yalifanyika jana jijini Arusha maeneo ya Club D ambapo judge mkuu wa mashindano hayo alikuwa ni dj PQ kutoka clouds fm,clouds radio zilizopo jijini Dar es Salaam.
Mashindano haya ambayo yalisimamiwa na kampuni ya vinywaji vikali TDL(Tanzania Distillers Limited) kupitia kinywaji chake cha Viceroy ambapo kupitia promotion zao waliweza kutangaza mashindano hayo kupitia mikoa mitatu Manyara,Arusha pamoja na Kilimanjaro.
Baada ya kutoa fursa hiyo vijana wengi katika mikoa hiyo mitatu waliweza kuchukuwa fomu zao za usaili kwa ajili ya kushiriki mashindano hayo ambayo fainali zake zilifanyikia katika jiji la Arusha ndani ya club ya kisasa Afrika Mashariki iitwayo Club D.
Mpaka mwisho wa tarehe ya kuchukua fomu tayari washiriki 15 waliweza kupatikana na hatimaye kampuni hiyo iliweza kuandaa mchujo wa kwanza ambao waliweza kuwapata washiriki 8,siku iliyofuata mchujo mwingine uliweza kufanyika ambapo walipatikana ma Dj watano bomba Dj Virus(Moshi), Dj Kito(Moshi), Dj Bray(Arusha), Dj Q(Arusha), pamoja na Dj Ally(Arusha).
“Kiukweli nimefurahishwa sana na mchuano huu lakini nimeweza kuona changamoto nyingi sana kutoka kwa washiriki wetu moja ya changamoto ni mashine
ambayo walikuwa wanatumia washiriki, hii mashine ni kubwa sana(Pionner CDJ 800) hivyo ilikuwa ngumu sana kwa baadhi ya washiriki kuitumia”alisema Mr Mrema ambaye ni zone Manager wa kampuni hiyo.
Kabla ya fainal hizo kufanyika washiriki wote watano waliweza kupata nafasi ya kutembelea kituo cha redio kilichopo jijini Arusha kijulikanacho kama Radio 5 kuzungumzia juu ya fainali hizo ambapo kila dj aliweza kuzungumza kwa mtazamo wake mwishoni wa mazungumzo kila dj aliweza kupewa nafasi ya kuonyesha ujuzi wake katika mashine.
Hatimaye siku ya jumamos fainali hizi ziliweza kufanyia pale club D Arusha ambapo mchuano ulianza,Mzunguko wa kwanza ilianza kwa kila dj kupewa dakika tano za kuonyesha ujuzi wake  mpaka mwisho waliweza kupatikana ma dj wanne Dj Virus(Moshi), Dj Kito(Moshi), Dj Bray(Arusha), pamoja na Dj Ally(Arusha).
Baaa ya kuwapata ma dj hao mzunguko wa pili ulianza kwa kila dj kupewa dakika 3 za kuonyesha ujuzi wake tena na hatimaye hapo ndipo mshindi alipoweza kupatikana, mshindi wa kwanza alitokea jijini Arusha Dj Bray, mshindi wa pili alitokea Moshi Dj Virus na mshindi wa tatu alitokea Arusha, ushindi ambao ulitangazwa na Dj PQ.
Mshindi wa kwanza Dj Bray aliweza kuzawadiwa mashine aina ya Pionner CDJ 900 yenye thamani ya shillingi million 8, mshindi wa pili Dj Virus alipewa headphone aina ya beats by dre yenye thamani ya shillingi laki 4, saa,t-shirt-chupa ya Viceroy ya ml 750 pamoja na kwenda jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kusomea u dj katika chuo cha Dj PQ kwa muda wa miez mitatu bure na mshindi wa tatu Dj Ally aliweza kupewa saa,t-shirt na chupa ya Viceroy ya ml 750.
Dhumuni hasa la mashindano haya ni kuwafanya wale ma dj wote chipukizi waliopo katika tathnia hii ya burudani ya muziki kuweza kuonekana na jamii kuwa wao pia wanauwezo pamoja na kuwafanya waweze kupata ajira sehem tofauti tofauti.

DJ VIRUS AKIWA RADIO 5 ARUSHA AKIONYESHA UWEZO WAKE WAKATI WA MAHOJIANO
DJ VIRUS AKIWA CLUB D KWA NJE KABLA YA MASHINDANDO

 CLUB D
DJ VIRUS AKIWA NA DJ PQ KUTOKA DAR ES SALAAM
BAADHI YA WASHIRIKI

0 comments:

Post a Comment

DJ VIRUS KUTOKA MOSHI ASHIKA NAFASI YA PILI KATIKA MASHINDANO YA KUMTAFUTA DJ BORA UKANDA WA KASKAZINI YALIYOFANYIKA ARUSHA

DJ VIRUS KUTOKA MOSHI ASHIKA NAFASI YA PILI KATIKA MASHINDANO YA KUMTAFUTA DJ BORA UKANDA WA KASKAZINI YALIYOFANYIKA ARUSHA

 
DJ VIRUS AKIWA KATIKA AWAMU YA KWANZA YA MCHUANO


Ikiwa ni kwa mara ya kwanza kampuni ya Viceroy kuandaa mashindano ya kumtafuta dj bomba mwenye ujuzi mkubwa kwa ukanda wa kaskazini hatimaye mshindi apatikana.
Mashindano haya yalifanyika jana jijini Arusha maeneo ya Club D ambapo judge mkuu wa mashindano hayo alikuwa ni dj PQ kutoka clouds fm,clouds radio zilizopo jijini Dar es Salaam.
Mashindano haya ambayo yalisimamiwa na kampuni ya vinywaji vikali TDL(Tanzania Distillers Limited) kupitia kinywaji chake cha Viceroy ambapo kupitia promotion zao waliweza kutangaza mashindano hayo kupitia mikoa mitatu Manyara,Arusha pamoja na Kilimanjaro.
Baada ya kutoa fursa hiyo vijana wengi katika mikoa hiyo mitatu waliweza kuchukuwa fomu zao za usaili kwa ajili ya kushiriki mashindano hayo ambayo fainali zake zilifanyikia katika jiji la Arusha ndani ya club ya kisasa Afrika Mashariki iitwayo Club D.
Mpaka mwisho wa tarehe ya kuchukua fomu tayari washiriki 15 waliweza kupatikana na hatimaye kampuni hiyo iliweza kuandaa mchujo wa kwanza ambao waliweza kuwapata washiriki 8,siku iliyofuata mchujo mwingine uliweza kufanyika ambapo walipatikana ma Dj watano bomba Dj Virus(Moshi), Dj Kito(Moshi), Dj Bray(Arusha), Dj Q(Arusha), pamoja na Dj Ally(Arusha).
“Kiukweli nimefurahishwa sana na mchuano huu lakini nimeweza kuona changamoto nyingi sana kutoka kwa washiriki wetu moja ya changamoto ni mashine
ambayo walikuwa wanatumia washiriki, hii mashine ni kubwa sana(Pionner CDJ 800) hivyo ilikuwa ngumu sana kwa baadhi ya washiriki kuitumia”alisema Mr Mrema ambaye ni zone Manager wa kampuni hiyo.
Kabla ya fainal hizo kufanyika washiriki wote watano waliweza kupata nafasi ya kutembelea kituo cha redio kilichopo jijini Arusha kijulikanacho kama Radio 5 kuzungumzia juu ya fainali hizo ambapo kila dj aliweza kuzungumza kwa mtazamo wake mwishoni wa mazungumzo kila dj aliweza kupewa nafasi ya kuonyesha ujuzi wake katika mashine.
Hatimaye siku ya jumamos fainali hizi ziliweza kufanyia pale club D Arusha ambapo mchuano ulianza,Mzunguko wa kwanza ilianza kwa kila dj kupewa dakika tano za kuonyesha ujuzi wake  mpaka mwisho waliweza kupatikana ma dj wanne Dj Virus(Moshi), Dj Kito(Moshi), Dj Bray(Arusha), pamoja na Dj Ally(Arusha).
Baaa ya kuwapata ma dj hao mzunguko wa pili ulianza kwa kila dj kupewa dakika 3 za kuonyesha ujuzi wake tena na hatimaye hapo ndipo mshindi alipoweza kupatikana, mshindi wa kwanza alitokea jijini Arusha Dj Bray, mshindi wa pili alitokea Moshi Dj Virus na mshindi wa tatu alitokea Arusha, ushindi ambao ulitangazwa na Dj PQ.
Mshindi wa kwanza Dj Bray aliweza kuzawadiwa mashine aina ya Pionner CDJ 900 yenye thamani ya shillingi million 8, mshindi wa pili Dj Virus alipewa headphone aina ya beats by dre yenye thamani ya shillingi laki 4, saa,t-shirt-chupa ya Viceroy ya ml 750 pamoja na kwenda jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kusomea u dj katika chuo cha Dj PQ kwa muda wa miez mitatu bure na mshindi wa tatu Dj Ally aliweza kupewa saa,t-shirt na chupa ya Viceroy ya ml 750.
Dhumuni hasa la mashindano haya ni kuwafanya wale ma dj wote chipukizi waliopo katika tathnia hii ya burudani ya muziki kuweza kuonekana na jamii kuwa wao pia wanauwezo pamoja na kuwafanya waweze kupata ajira sehem tofauti tofauti.

DJ VIRUS AKIWA RADIO 5 ARUSHA AKIONYESHA UWEZO WAKE WAKATI WA MAHOJIANO
DJ VIRUS AKIWA CLUB D KWA NJE KABLA YA MASHINDANDO

 CLUB D
DJ VIRUS AKIWA NA DJ PQ KUTOKA DAR ES SALAAM
BAADHI YA WASHIRIKI

0 comments:

Post a Comment

DJ VIRUS KUTOKA MOSHI ASHIKA NAFASI YA PILI KATIKA MASHINDANO YA KUMTAFUTA DJ BORA UKANDA WA KASKAZINI YALIYOFANYIKA ARUSHA

DJ VIRUS KUTOKA MOSHI ASHIKA NAFASI YA PILI KATIKA MASHINDANO YA KUMTAFUTA DJ BORA UKANDA WA KASKAZINI YALIYOFANYIKA ARUSHA

 
DJ VIRUS AKIWA KATIKA AWAMU YA KWANZA YA MCHUANO


Ikiwa ni kwa mara ya kwanza kampuni ya Viceroy kuandaa mashindano ya kumtafuta dj bomba mwenye ujuzi mkubwa kwa ukanda wa kaskazini hatimaye mshindi apatikana.
Mashindano haya yalifanyika jana jijini Arusha maeneo ya Club D ambapo judge mkuu wa mashindano hayo alikuwa ni dj PQ kutoka clouds fm,clouds radio zilizopo jijini Dar es Salaam.
Mashindano haya ambayo yalisimamiwa na kampuni ya vinywaji vikali TDL(Tanzania Distillers Limited) kupitia kinywaji chake cha Viceroy ambapo kupitia promotion zao waliweza kutangaza mashindano hayo kupitia mikoa mitatu Manyara,Arusha pamoja na Kilimanjaro.
Baada ya kutoa fursa hiyo vijana wengi katika mikoa hiyo mitatu waliweza kuchukuwa fomu zao za usaili kwa ajili ya kushiriki mashindano hayo ambayo fainali zake zilifanyikia katika jiji la Arusha ndani ya club ya kisasa Afrika Mashariki iitwayo Club D.
Mpaka mwisho wa tarehe ya kuchukua fomu tayari washiriki 15 waliweza kupatikana na hatimaye kampuni hiyo iliweza kuandaa mchujo wa kwanza ambao waliweza kuwapata washiriki 8,siku iliyofuata mchujo mwingine uliweza kufanyika ambapo walipatikana ma Dj watano bomba Dj Virus(Moshi), Dj Kito(Moshi), Dj Bray(Arusha), Dj Q(Arusha), pamoja na Dj Ally(Arusha).
“Kiukweli nimefurahishwa sana na mchuano huu lakini nimeweza kuona changamoto nyingi sana kutoka kwa washiriki wetu moja ya changamoto ni mashine
ambayo walikuwa wanatumia washiriki, hii mashine ni kubwa sana(Pionner CDJ 800) hivyo ilikuwa ngumu sana kwa baadhi ya washiriki kuitumia”alisema Mr Mrema ambaye ni zone Manager wa kampuni hiyo.
Kabla ya fainal hizo kufanyika washiriki wote watano waliweza kupata nafasi ya kutembelea kituo cha redio kilichopo jijini Arusha kijulikanacho kama Radio 5 kuzungumzia juu ya fainali hizo ambapo kila dj aliweza kuzungumza kwa mtazamo wake mwishoni wa mazungumzo kila dj aliweza kupewa nafasi ya kuonyesha ujuzi wake katika mashine.
Hatimaye siku ya jumamos fainali hizi ziliweza kufanyia pale club D Arusha ambapo mchuano ulianza,Mzunguko wa kwanza ilianza kwa kila dj kupewa dakika tano za kuonyesha ujuzi wake  mpaka mwisho waliweza kupatikana ma dj wanne Dj Virus(Moshi), Dj Kito(Moshi), Dj Bray(Arusha), pamoja na Dj Ally(Arusha).
Baaa ya kuwapata ma dj hao mzunguko wa pili ulianza kwa kila dj kupewa dakika 3 za kuonyesha ujuzi wake tena na hatimaye hapo ndipo mshindi alipoweza kupatikana, mshindi wa kwanza alitokea jijini Arusha Dj Bray, mshindi wa pili alitokea Moshi Dj Virus na mshindi wa tatu alitokea Arusha, ushindi ambao ulitangazwa na Dj PQ.
Mshindi wa kwanza Dj Bray aliweza kuzawadiwa mashine aina ya Pionner CDJ 900 yenye thamani ya shillingi million 8, mshindi wa pili Dj Virus alipewa headphone aina ya beats by dre yenye thamani ya shillingi laki 4, saa,t-shirt-chupa ya Viceroy ya ml 750 pamoja na kwenda jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kusomea u dj katika chuo cha Dj PQ kwa muda wa miez mitatu bure na mshindi wa tatu Dj Ally aliweza kupewa saa,t-shirt na chupa ya Viceroy ya ml 750.
Dhumuni hasa la mashindano haya ni kuwafanya wale ma dj wote chipukizi waliopo katika tathnia hii ya burudani ya muziki kuweza kuonekana na jamii kuwa wao pia wanauwezo pamoja na kuwafanya waweze kupata ajira sehem tofauti tofauti.

DJ VIRUS AKIWA RADIO 5 ARUSHA AKIONYESHA UWEZO WAKE WAKATI WA MAHOJIANO
DJ VIRUS AKIWA CLUB D KWA NJE KABLA YA MASHINDANDO

 CLUB D
DJ VIRUS AKIWA NA DJ PQ KUTOKA DAR ES SALAAM
BAADHI YA WASHIRIKI

0 comments:

Post a Comment