Monday, April 13, 2015

Mamia ya wananchi wa kilosa na kilombero washiriki katika mazishi ya pamoja kwa abiria waliokufa kwenye ajali ya basi la Nganga.



Mamia ya wakazi wa wilaya za kilosa na kilombero  wamejitokeza    katika mazisha  ya pamoja ya  watu kumi na tano kati ya kumi na tisa waliofariki katika ajali ya basi ya nganga ambalo liligongana na fuso  kisha kuwaka moto katika eneo la Iyovi  na kuzikwa katika kaburi la pamoja kwenye makaburi ya Msamvu ruaha wilayani kilosa mkoani Morogoro.
Wakizungumza kwa niaba ya serikali mkuu wa wilaya ya kilosa Bw John Henjewele amesema serikali imewalazimu kufanya mazishi ya pamoja ya watu waliofariki kwenye  ajali hiyo ambao miili yao haijatambulika na kwamba serikali itaendelea na zoezi la ukaguzi wa magari amkoani  wa Morogoro ili kudhibiti ajali za mara kwa mara na kupoteza maisha ya watu huku wengine wakiachwa na vilemalema  vya maisha   ambapo mkuu wa wilaya ya kilombero Bw Lephy Gembe amewataka  wananchi  kuwa na uvumilivu katika msiba mkubwa walioupata.
Kwa upande wake Diwani  wa kata ya ruaha Rahel Nyangasa amesema wamepokea msiba huo kwa masikitiko makubwa kwani umekuwa ni pigo kubwa kwa wakazi wa wilaya hizo huku ndugu na waombolezaji wakisema msiba huo siwakusahaulika kwani umewastua sana ambapo naye  muinjilisti wa kanisa la kiinjili la kilutheri Issaya Chura akiomba serikali kuendelea kukabiliana na madereva wabovu.

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit, sed diam nonummy nibh euismod tincidunt ut laoreet dolore magna Veniam, quis nostrud exerci tation ullamcorper suscipit lobortis nisl ut aliquip ex ea commodo consequat.

0 comments:

Post a Comment

Contact Us

Phone :

+20 010 2517 8918

Address :

3rd Avenue, Upper East Side,
San Francisco

Email :

email_support@youradress.com




Mamia ya wakazi wa wilaya za kilosa na kilombero  wamejitokeza    katika mazisha  ya pamoja ya  watu kumi na tano kati ya kumi na tisa waliofariki katika ajali ya basi ya nganga ambalo liligongana na fuso  kisha kuwaka moto katika eneo la Iyovi  na kuzikwa katika kaburi la pamoja kwenye makaburi ya Msamvu ruaha wilayani kilosa mkoani Morogoro.
Wakizungumza kwa niaba ya serikali mkuu wa wilaya ya kilosa Bw John Henjewele amesema serikali imewalazimu kufanya mazishi ya pamoja ya watu waliofariki kwenye  ajali hiyo ambao miili yao haijatambulika na kwamba serikali itaendelea na zoezi la ukaguzi wa magari amkoani  wa Morogoro ili kudhibiti ajali za mara kwa mara na kupoteza maisha ya watu huku wengine wakiachwa na vilemalema  vya maisha   ambapo mkuu wa wilaya ya kilombero Bw Lephy Gembe amewataka  wananchi  kuwa na uvumilivu katika msiba mkubwa walioupata.
Kwa upande wake Diwani  wa kata ya ruaha Rahel Nyangasa amesema wamepokea msiba huo kwa masikitiko makubwa kwani umekuwa ni pigo kubwa kwa wakazi wa wilaya hizo huku ndugu na waombolezaji wakisema msiba huo siwakusahaulika kwani umewastua sana ambapo naye  muinjilisti wa kanisa la kiinjili la kilutheri Issaya Chura akiomba serikali kuendelea kukabiliana na madereva wabovu.

0 comments:

Post a Comment




Mamia ya wakazi wa wilaya za kilosa na kilombero  wamejitokeza    katika mazisha  ya pamoja ya  watu kumi na tano kati ya kumi na tisa waliofariki katika ajali ya basi ya nganga ambalo liligongana na fuso  kisha kuwaka moto katika eneo la Iyovi  na kuzikwa katika kaburi la pamoja kwenye makaburi ya Msamvu ruaha wilayani kilosa mkoani Morogoro.
Wakizungumza kwa niaba ya serikali mkuu wa wilaya ya kilosa Bw John Henjewele amesema serikali imewalazimu kufanya mazishi ya pamoja ya watu waliofariki kwenye  ajali hiyo ambao miili yao haijatambulika na kwamba serikali itaendelea na zoezi la ukaguzi wa magari amkoani  wa Morogoro ili kudhibiti ajali za mara kwa mara na kupoteza maisha ya watu huku wengine wakiachwa na vilemalema  vya maisha   ambapo mkuu wa wilaya ya kilombero Bw Lephy Gembe amewataka  wananchi  kuwa na uvumilivu katika msiba mkubwa walioupata.
Kwa upande wake Diwani  wa kata ya ruaha Rahel Nyangasa amesema wamepokea msiba huo kwa masikitiko makubwa kwani umekuwa ni pigo kubwa kwa wakazi wa wilaya hizo huku ndugu na waombolezaji wakisema msiba huo siwakusahaulika kwani umewastua sana ambapo naye  muinjilisti wa kanisa la kiinjili la kilutheri Issaya Chura akiomba serikali kuendelea kukabiliana na madereva wabovu.

0 comments:

Post a Comment




Mamia ya wakazi wa wilaya za kilosa na kilombero  wamejitokeza    katika mazisha  ya pamoja ya  watu kumi na tano kati ya kumi na tisa waliofariki katika ajali ya basi ya nganga ambalo liligongana na fuso  kisha kuwaka moto katika eneo la Iyovi  na kuzikwa katika kaburi la pamoja kwenye makaburi ya Msamvu ruaha wilayani kilosa mkoani Morogoro.
Wakizungumza kwa niaba ya serikali mkuu wa wilaya ya kilosa Bw John Henjewele amesema serikali imewalazimu kufanya mazishi ya pamoja ya watu waliofariki kwenye  ajali hiyo ambao miili yao haijatambulika na kwamba serikali itaendelea na zoezi la ukaguzi wa magari amkoani  wa Morogoro ili kudhibiti ajali za mara kwa mara na kupoteza maisha ya watu huku wengine wakiachwa na vilemalema  vya maisha   ambapo mkuu wa wilaya ya kilombero Bw Lephy Gembe amewataka  wananchi  kuwa na uvumilivu katika msiba mkubwa walioupata.
Kwa upande wake Diwani  wa kata ya ruaha Rahel Nyangasa amesema wamepokea msiba huo kwa masikitiko makubwa kwani umekuwa ni pigo kubwa kwa wakazi wa wilaya hizo huku ndugu na waombolezaji wakisema msiba huo siwakusahaulika kwani umewastua sana ambapo naye  muinjilisti wa kanisa la kiinjili la kilutheri Issaya Chura akiomba serikali kuendelea kukabiliana na madereva wabovu.

0 comments:

Post a Comment

Mamia ya wananchi wa kilosa na kilombero washiriki katika mazishi ya pamoja kwa abiria waliokufa kwenye ajali ya basi la Nganga.

Mamia ya wananchi wa kilosa na kilombero washiriki katika mazishi ya pamoja kwa abiria waliokufa kwenye ajali ya basi la Nganga.




Mamia ya wakazi wa wilaya za kilosa na kilombero  wamejitokeza    katika mazisha  ya pamoja ya  watu kumi na tano kati ya kumi na tisa waliofariki katika ajali ya basi ya nganga ambalo liligongana na fuso  kisha kuwaka moto katika eneo la Iyovi  na kuzikwa katika kaburi la pamoja kwenye makaburi ya Msamvu ruaha wilayani kilosa mkoani Morogoro.
Wakizungumza kwa niaba ya serikali mkuu wa wilaya ya kilosa Bw John Henjewele amesema serikali imewalazimu kufanya mazishi ya pamoja ya watu waliofariki kwenye  ajali hiyo ambao miili yao haijatambulika na kwamba serikali itaendelea na zoezi la ukaguzi wa magari amkoani  wa Morogoro ili kudhibiti ajali za mara kwa mara na kupoteza maisha ya watu huku wengine wakiachwa na vilemalema  vya maisha   ambapo mkuu wa wilaya ya kilombero Bw Lephy Gembe amewataka  wananchi  kuwa na uvumilivu katika msiba mkubwa walioupata.
Kwa upande wake Diwani  wa kata ya ruaha Rahel Nyangasa amesema wamepokea msiba huo kwa masikitiko makubwa kwani umekuwa ni pigo kubwa kwa wakazi wa wilaya hizo huku ndugu na waombolezaji wakisema msiba huo siwakusahaulika kwani umewastua sana ambapo naye  muinjilisti wa kanisa la kiinjili la kilutheri Issaya Chura akiomba serikali kuendelea kukabiliana na madereva wabovu.

0 comments:

Post a Comment

Mamia ya wananchi wa kilosa na kilombero washiriki katika mazishi ya pamoja kwa abiria waliokufa kwenye ajali ya basi la Nganga.

Mamia ya wananchi wa kilosa na kilombero washiriki katika mazishi ya pamoja kwa abiria waliokufa kwenye ajali ya basi la Nganga.




Mamia ya wakazi wa wilaya za kilosa na kilombero  wamejitokeza    katika mazisha  ya pamoja ya  watu kumi na tano kati ya kumi na tisa waliofariki katika ajali ya basi ya nganga ambalo liligongana na fuso  kisha kuwaka moto katika eneo la Iyovi  na kuzikwa katika kaburi la pamoja kwenye makaburi ya Msamvu ruaha wilayani kilosa mkoani Morogoro.
Wakizungumza kwa niaba ya serikali mkuu wa wilaya ya kilosa Bw John Henjewele amesema serikali imewalazimu kufanya mazishi ya pamoja ya watu waliofariki kwenye  ajali hiyo ambao miili yao haijatambulika na kwamba serikali itaendelea na zoezi la ukaguzi wa magari amkoani  wa Morogoro ili kudhibiti ajali za mara kwa mara na kupoteza maisha ya watu huku wengine wakiachwa na vilemalema  vya maisha   ambapo mkuu wa wilaya ya kilombero Bw Lephy Gembe amewataka  wananchi  kuwa na uvumilivu katika msiba mkubwa walioupata.
Kwa upande wake Diwani  wa kata ya ruaha Rahel Nyangasa amesema wamepokea msiba huo kwa masikitiko makubwa kwani umekuwa ni pigo kubwa kwa wakazi wa wilaya hizo huku ndugu na waombolezaji wakisema msiba huo siwakusahaulika kwani umewastua sana ambapo naye  muinjilisti wa kanisa la kiinjili la kilutheri Issaya Chura akiomba serikali kuendelea kukabiliana na madereva wabovu.

0 comments:

Post a Comment